Tlaxcala (jimbo) : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
Legobot (majadiliano | michango)
d Bot: Migrating 1 interwiki links, now provided by Wikidata on d:q82681 (translate me)
+Estado_de_Tlaxcala.jpg #WPWP #WPWPTZ
 
Mstari 1: Mstari 1:
[[Picha:Estado_de_Tlaxcala.jpg|thumbnail|right|200px|Tlaxcala, Mexico]]
[[Picha:Flag of Tlaxcala.svg|thumb|Bendera ya Tlaxcala]]
[[Picha:Flag of Tlaxcala.svg|thumb|Bendera ya Tlaxcala]]
[[Picha:Mexico map, MX-TLA.svg|thumb|Mahali pa Tlaxcala katika [[Mexiko]]]]
[[Picha:Mexico map, MX-TLA.svg|thumb|Mahali pa Tlaxcala katika [[Mexiko]]]]

Toleo la sasa la 04:37, 3 Agosti 2020

Tlaxcala, Mexico
Bendera ya Tlaxcala
Mahali pa Tlaxcala katika Mexiko

Tlaxcala (IPA: [tlasˈkala]) ni moja kati ya majimbo 31 ya Mexiko upande wa kati ya nchi. Mji mkuu ni Tlaxcala na mji mkubwa ni Vicente Guerrero.

Imepakana na Mexico (jimbo), Hidalgo na Puebla. Jimbo lina wakazi wapatao 1,068,207 (2005) wanaokalia katika eneo la kilomita za mraba zipatazo 4,016.

Gavana wa jimbo ni Héctor Ortiz Ortiz.

Lugha rasmi ni Kihispania.

Miji Mikubwa[hariri | hariri chanzo]

  1. Vicente Guerrero (55,760)
  2. Apizaco (49,459)
  3. Huamantla (47,286)
  4. Chiautempan (46,776)

Viungo vya Nje[hariri | hariri chanzo]



Makala hii kuhusu maeneo ya Mexiko bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Tlaxcala (jimbo) kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.