Tlaxcala (jimbo) : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d Bot: Migrating 1 interwiki links, now provided by Wikidata on d:q82681 (translate me) |
+Estado_de_Tlaxcala.jpg #WPWP #WPWPTZ |
||
Mstari 1: | Mstari 1: | ||
[[Picha:Estado_de_Tlaxcala.jpg|thumbnail|right|200px|Tlaxcala, Mexico]] |
|||
[[Picha:Flag of Tlaxcala.svg|thumb|Bendera ya Tlaxcala]] |
[[Picha:Flag of Tlaxcala.svg|thumb|Bendera ya Tlaxcala]] |
||
[[Picha:Mexico map, MX-TLA.svg|thumb|Mahali pa Tlaxcala katika [[Mexiko]]]] |
[[Picha:Mexico map, MX-TLA.svg|thumb|Mahali pa Tlaxcala katika [[Mexiko]]]] |
Toleo la sasa la 04:37, 3 Agosti 2020
Tlaxcala (IPA: [tlasˈkala]) ni moja kati ya majimbo 31 ya Mexiko upande wa kati ya nchi. Mji mkuu ni Tlaxcala na mji mkubwa ni Vicente Guerrero.
Imepakana na Mexico (jimbo), Hidalgo na Puebla. Jimbo lina wakazi wapatao 1,068,207 (2005) wanaokalia katika eneo la kilomita za mraba zipatazo 4,016.
Gavana wa jimbo ni Héctor Ortiz Ortiz.
Lugha rasmi ni Kihispania.
Miji Mikubwa[hariri | hariri chanzo]
- Vicente Guerrero (55,760)
- Apizaco (49,459)
- Huamantla (47,286)
- Chiautempan (46,776)
Viungo vya Nje[hariri | hariri chanzo]
- (Kihispania) Estado de Tlaxcala Sitio oficial
Makala hii kuhusu maeneo ya Mexiko bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Tlaxcala (jimbo) kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |