William Moerner : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika 'left|80px '''William Esco Moerner''' (amezaliwa 24 Juni, 1953) ni mwanakemia kutoka nchi ya Marekani. Hasa alichunguza mam...'
 
#WPWP#WPWPTZ
 
Mstari 1: Mstari 1:
[[Image:Tuzo Nobel.png|left|80px]]
[[Image:Tuzo Nobel.png|left|80px]]
[[picha:WE_Moerner.jpg|thumbnail|right|200px|William Moerner]]


'''William Esco Moerner''' (amezaliwa [[24 Juni]], [[1953]]) ni mwanakemia kutoka nchi ya [[Marekani]]. Hasa alichunguza mambo ya [[hadubini]] kwa ajili ya kuonekanisha [[molekuli]] moja peke yake. Mwaka wa [[2014]], pamoja na [[Stefan Hell]] na [[Eric Betzig]], alikuwa mshindi wa '''[[Tuzo ya Nobel ya Kemia]]'''.
'''William Esco Moerner''' (amezaliwa [[24 Juni]], [[1953]]) ni mwanakemia kutoka nchi ya [[Marekani]]. Hasa alichunguza mambo ya [[hadubini]] kwa ajili ya kuonekanisha [[molekuli]] moja peke yake. Mwaka wa [[2014]], pamoja na [[Stefan Hell]] na [[Eric Betzig]], alikuwa mshindi wa '''[[Tuzo ya Nobel ya Kemia]]'''.

Toleo la sasa la 12:33, 1 Agosti 2020

William Moerner

William Esco Moerner (amezaliwa 24 Juni, 1953) ni mwanakemia kutoka nchi ya Marekani. Hasa alichunguza mambo ya hadubini kwa ajili ya kuonekanisha molekuli moja peke yake. Mwaka wa 2014, pamoja na Stefan Hell na Eric Betzig, alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia.

Makala hii kuhusu mshindi wa Tuzo ya Nobel bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu William Moerner kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.