Missouri (mto) : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
Legobot (majadiliano | michango)
d Bot: Migrating 1 interwiki links, now provided by Wikidata on d:q5419 (translate me)
+Lower_Missouri_River.jpg #WPWP #WPWPTZ
Mstari 1: Mstari 1:
[[Picha: Lower_Missouri_River.jpg|thumbnail|right|280px|Mto Missouri ]]
[[Picha:Wpdms nasa topo missouri river.jpg|200px|thumb|Ramani ya beseni ya Missouri]]
[[Picha:Wpdms nasa topo missouri river.jpg|200px|thumb|Ramani ya beseni ya Missouri]]



Pitio la 09:39, 30 Julai 2020

Mto Missouri
Ramani ya beseni ya Missouri

Mto Missouri ni mto mkubwa wa Marekani na tawimto muhimu zaidi la Mississippi. Ni mto mrefu kushinda ule wa Missisippi na ni mto mrefu katika Amerika ya Kaskazini.

Chanzo cha mto kipo kwenye milima ya Rocky Mountains katika jimbo la Montana. Missouri inaendelea kupita majimbo ya North Dakota, South Dakota, Iowa, Nebraska, Missouri na Kansas.

Inaishia katika Missisippi karibu na mji wa Saint Louis, Missouri.