Ernst Ruska : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d Bot: Migrating 40 interwiki links, now provided by Wikidata on d:q71022 (translate me) |
+ Ernst_Ruska.jpg #WPWP #WPWPTZ |
||
Mstari 1: | Mstari 1: | ||
[[Picha:Ernst_Ruska.jpg |thumbnail|right|280px|Ernst_Ruska]] |
|||
[[Image:Tuzo Nobel.png|left|80px]] |
[[Image:Tuzo Nobel.png|left|80px]] |
||
Pitio la 16:49, 27 Julai 2020
Ernst August Friedrich Ruska (25 Desemba 1906 – 27 Mei 1988) alikuwa fundisanifu wa umeme kutoka nchi ya Ujerumani. Hasa anajulikana kwa kubuni hadubini ya elektroni. Mwaka wa 1986, pamoja na Gerd Binnig na Heinrich Rohrer alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia.
Makala hii kuhusu mwanasayansi fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Ernst Ruska kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |