Tomas Tranströmer : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika 'left|80px '''Tomas Tranströmer''' (amezaliwa 15 Aprili, 1931 mjini Stockholm) ni mshairi, mwanasaikolojia na mfasiri kuto...'
 
#WPWP#WPWPTZ
Mstari 1: Mstari 1:
[[Image:Tuzo Nobel.png|left|80px]]
[[Image:Tuzo Nobel.png|left|80px]]
[[picha: Transtroemer.jpg|thumbnail|right|200px|Tomas Tranströmer]]


'''Tomas Tranströmer''' (amezaliwa [[15 Aprili]], [[1931]] mjini [[Stockholm]]) ni mshairi, mwanasaikolojia na mfasiri kutoka nchi ya [[Uswidi]]. Hasa ameandika mashairi kuhusu majira ya baridi nchini mwake. Mwaka wa [[2011]] alikuwa mshindi wa '''[[Tuzo ya Nobel ya Fasihi]]'''.
'''Tomas Tranströmer''' (amezaliwa [[15 Aprili]], [[1931]] mjini [[Stockholm]]) ni mshairi, mwanasaikolojia na mfasiri kutoka nchi ya [[Uswidi]]. Hasa ameandika mashairi kuhusu majira ya baridi nchini mwake. Mwaka wa [[2011]] alikuwa mshindi wa '''[[Tuzo ya Nobel ya Fasihi]]'''.

Pitio la 15:20, 25 Julai 2020

Tomas Tranströmer

Tomas Tranströmer (amezaliwa 15 Aprili, 1931 mjini Stockholm) ni mshairi, mwanasaikolojia na mfasiri kutoka nchi ya Uswidi. Hasa ameandika mashairi kuhusu majira ya baridi nchini mwake. Mwaka wa 2011 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi.

Maandishi yake

  • 17 dikter ("Mashairi kumi na saba", 1954)
  • Hemligheter på vägen ("Siri njiani", 1958)
  • Fängelse ("Gereza", 2001)
Makala hii kuhusu mshindi wa Tuzo ya Nobel bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Tomas Tranströmer kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.