Bongo Flava : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d roboti Badiliko: en:African hip hop#Tanzania |
|||
Mstari 19: | Mstari 19: | ||
[[de:Bongo Flava]] |
[[de:Bongo Flava]] |
||
[[en: |
[[en:African hip hop#Tanzania]] |
Pitio la 22:43, 12 Februari 2008
Bongo Flava ni muziki kutoka Tanzania. Bongo Flava sio staili moja ya muziki. Ni mseto wa staili za muziki ambazo zimepewa umaarufu na ubunifu mkubwa wa vijana nchini Tanzania, hasa katika jiji la Dar Es Salaam. Ni mchangayiko wa R&B, Rap, Hip Hop, na midundo ya asili, n.k. Muziki huu hujulikana pia kwa jina la Muziki wa Kizazi Kipya.
Viungo vya nje
- Tovuti ya Bongo Flava
- Tovuti ya Swahili Remix
- Tovuti ya Mzibo
- Nani ni nani katika Bongo Flava?
- Tovuti ya Mahusiano
- Tovuti ya Bongo Radio
- Tovuti ya African hiphop
- Tovuti ya Africanizers Music
Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |