Shemasi : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
No edit summary
No edit summary
Mstari 1: Mstari 1:
[[Image:DeaconsingingExsultet2007.jpg|thumb|right|Shemasi wa Kanisa Katoliki huko [[Polandi]] akiimba [[Mbiu ya Pasaka|mbiu]] ''[[Exsultet]]'' [[usiku wa Pasaka]].]]
[[Image:DeaconsingingExsultet2007.jpg|thumb|right|Shemasi wa Kanisa Katoliki huko [[Polandi]] akiimba [[Mbiu ya Pasaka|mbiu]] ''[[Exsultet]]'' [[usiku wa Pasaka]].]]
[[Image:Orthodox Deacon.jpg|thumb|Shemasi wa [[Kiorthodoksi]] katika [[mavazi]] yake rasmi.]]
[[Image:Orthodox Deacon.jpg|thumb|Shemasi wa [[Kiorthodoksi]] katika [[mavazi]] yake rasmi.]]
'''Shemasi''' (kutoka [[neno]] la [[Kiarabu]]; kwa [[Kigiriki]]: διάκονος, ''diákonos''<ref>{{cite web | title = deacon | publisher = Bartleby | url = http://www.bartleby.com/61/11/D0051100.html | work = The American Heritage Dictionary of the English Language | edition = 4th | year = 2000 | accessdate = 2008-08-17 | url-status = dead | archiveurl = https://web.archive.org/web/20090125205604/http://www.bartleby.com/61/11/D0051100.html | archivedate = 2009-01-25 }}</ref> maana yake "mtumishi", "msaidizi", "mhudumu", au "mjumbe".<ref>{{cite book |url= http://www.perseus.tufts.edu/cgi-bin/ptext?doc=Perseus%3Atext%3A1999.04.0058%3Aentry%3D%237832 |title=An Intermediate Greek-English Lexicon | last1 =Liddell | first1 = Henry George | last2 =Scott | first2 = Robert | author2-link =Robert Scott (philologist) | author1-link=Henry Liddell |year=1889 | publisher =Clarendon Press |location=Oxford | accessdate=2007-10-18 |isbn = 0-19-910206-6}}</ref>) ni [[kiongozi]] wa [[Kanisa]] anayeunganisha wenye [[Daraja takatifu|daraja]] za juu na [[walei]].
'''Shemasi''' ni [[kiongozi]] wa [[Kanisa]] anayeunganisha wenye [[Daraja takatifu|daraja]] za juu na [[walei]].


Hii ni kwa sababu ushemasi ni daraja ya [[tatu]] na ya mwisho katika [[Kanisa Katoliki]] na [[madhehebu]] mengine kadhaa ya [[Ukristo]]. Unatolewa na [[Askofu]] kwa kumwekea muumini [[mikono]] na kumuombea ili atoe vizuri [[huduma]] ya [[Neno la Mungu]], ya [[liturujia]] na ya matendo ya [[upendo]]. Unaweza kutolewa kwa namna ya kudumu au kama hatua ya kuelekea daraja ya [[upadri]].
Hii ni kwa sababu ushemasi ni daraja ya [[tatu]] na ya mwisho katika [[Kanisa Katoliki]] na [[madhehebu]] mengine kadhaa ya [[Ukristo]]. Unatolewa na [[Askofu]] kwa kumwekea muumini [[mikono]] na kumuombea ili atoe vizuri [[huduma]] ya [[Neno la Mungu]], ya [[liturujia]] na ya matendo ya [[upendo]]. Unaweza kutolewa kwa namna ya kudumu au kama hatua ya kuelekea daraja ya [[upadri]].
Mstari 9: Mstari 9:
Katika [[historia ya Kanisa]] mashemasi waliotoa mchango mkubwa, mara nyingi kwa kukamilisha [[ushuhuda]] wao kwa [[kifodini|kumfia]] [[Yesu]].
Katika [[historia ya Kanisa]] mashemasi waliotoa mchango mkubwa, mara nyingi kwa kukamilisha [[ushuhuda]] wao kwa [[kifodini|kumfia]] [[Yesu]].


Kati yao maarufu zaidi ni [[Laurenti Mfiadini]] na [[Fransisko wa Asizi]].
Kati yao maarufu zaidi ni [[Laurenti Mfiadini]], [[Efrem wa Syria]], na [[Fransisko wa Asizi]].

==Katika Biblia==
Imezoeleka kusema ushemasi ulianzishwa na [[Mitume wa Yesu|Mitume]] walipoweka viongozi [[Saba (namba)|saba]] wenye kusema Kigiriki kuwasaidia katika kuongoza Kanisa la [[Yerusalemu]]<ref>{{CathEncy |id=04647c | title =Deacons |first= Herbert |last = Thurston | accessdate=2007-10-18}}</ref><ref>{{cite web |last=Hopko |first=Thomas |title=Holy Orders |url=http://www.oca.org/OCchapter.asp?SID=2&ID=57 |accessdate=2007-10-18 |url-status=dead |archiveurl=https://web.archive.org/web/20071021131809/http://oca.org/OCchapter.asp?SID=2&ID=57 |archivedate=2007-10-21 }}</ref>. Wa kwanza wao alikuwa [[Stefano]] <ref>[[Mdo]] 6</ref>. Hata hivyo [[wataalamu]] wengine wanasema hao saba hawakuwa mashemasi tu.

Kwa vyovyote [[cheo]] cha ushemasi kinazungumziwa na [[Agano Jipya]], hasa katika [[Nyaraka za Kichungaji]], [[Mtume Paulo]] anapotaja sifa za shemasi ([[1Tim]] 3:1-13).

==Viungo vya nje==
{{Commonscat|Deacons}}
{{mbegu-Ukristo}}
{{mbegu-Ukristo}}
[[Jamii:Viongozi wa Kikristo]]
[[Jamii:Viongozi wa Kikristo]]

Pitio la 06:25, 15 Juni 2020

Shemasi wa Kanisa Katoliki huko Polandi akiimba mbiu Exsultet usiku wa Pasaka.
Shemasi wa Kiorthodoksi katika mavazi yake rasmi.

Shemasi (kutoka neno la Kiarabu; kwa Kigiriki: διάκονος, diákonos[1] maana yake "mtumishi", "msaidizi", "mhudumu", au "mjumbe".[2]) ni kiongozi wa Kanisa anayeunganisha wenye daraja za juu na walei.

Hii ni kwa sababu ushemasi ni daraja ya tatu na ya mwisho katika Kanisa Katoliki na madhehebu mengine kadhaa ya Ukristo. Unatolewa na Askofu kwa kumwekea muumini mikono na kumuombea ili atoe vizuri huduma ya Neno la Mungu, ya liturujia na ya matendo ya upendo. Unaweza kutolewa kwa namna ya kudumu au kama hatua ya kuelekea daraja ya upadri.

Katika Kanisa la Moravian ushemasi ni ngazi ya kwanza ya uchungaji.

Katika historia ya Kanisa mashemasi waliotoa mchango mkubwa, mara nyingi kwa kukamilisha ushuhuda wao kwa kumfia Yesu.

Kati yao maarufu zaidi ni Laurenti Mfiadini, Efrem wa Syria, na Fransisko wa Asizi.

Katika Biblia

Imezoeleka kusema ushemasi ulianzishwa na Mitume walipoweka viongozi saba wenye kusema Kigiriki kuwasaidia katika kuongoza Kanisa la Yerusalemu[3][4]. Wa kwanza wao alikuwa Stefano [5]. Hata hivyo wataalamu wengine wanasema hao saba hawakuwa mashemasi tu.

Kwa vyovyote cheo cha ushemasi kinazungumziwa na Agano Jipya, hasa katika Nyaraka za Kichungaji, Mtume Paulo anapotaja sifa za shemasi (1Tim 3:1-13).

Viungo vya nje

Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii kuhusu dini ya Ukristo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Shemasi kama historia yake, matokeo au athari zake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
  1. "deacon". The American Heritage Dictionary of the English Language (toleo la 4th). Bartleby. 2000. Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2009-01-25. Iliwekwa mnamo 2008-08-17.  Unknown parameter |url-status= ignored (help)
  2. Liddell, Henry George; Scott, Robert (1889). An Intermediate Greek-English Lexicon. Oxford: Clarendon Press. ISBN 0-19-910206-6. Iliwekwa mnamo 2007-10-18. 
  3. Thurston, Herbert (1913). "Deacons". Catholic Encyclopedia. New York: Robert Appleton Company. http://www.newadvent.org/cathen/04647c.htm. Retrieved 2007-10-18.
  4. Hopko, Thomas. "Holy Orders". Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2007-10-21. Iliwekwa mnamo 2007-10-18.  Unknown parameter |url-status= ignored (help)
  5. Mdo 6