Kiluba-Kasai : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d kuondoa kiungo cha ramani using AWB |
1991,lugha |
||
Mstari 1: | Mstari 1: | ||
'''Kiluba-Kasai''' ni [[Lugha za Kibantu|lugha ya Kibantu]] nchini [[Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo]] inayozungumzwa na [[Waluba-Kasai]]. Mwaka wa 1991 idadi ya wasemaji wa Kiluba-Kasai imehesabiwa kuwa watu milioni sita na laki tatu. Kufuatana na uainishaji wa lugha za Kibantu wa [[Malcolm Guthrie]] Kiluba-Kasai iko katika kundi la L30. |
'''Kiluba-Kasai''' ni [[Lugha za Kibantu|lugha ya Kibantu]] nchini [[Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo]] inayozungumzwa na [[Waluba-Kasai]]. Mwaka wa [[1991]] idadi ya wasemaji wa Kiluba-Kasai imehesabiwa kuwa watu milioni sita na laki tatu. Kufuatana na uainishaji wa [[lugha]] za Kibantu wa [[Malcolm Guthrie]] Kiluba-Kasai iko katika kundi la L30. |
||
==Viungo vya nje== |
==Viungo vya nje== |
Pitio la 14:23, 18 Aprili 2020
Kiluba-Kasai ni lugha ya Kibantu nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo inayozungumzwa na Waluba-Kasai. Mwaka wa 1991 idadi ya wasemaji wa Kiluba-Kasai imehesabiwa kuwa watu milioni sita na laki tatu. Kufuatana na uainishaji wa lugha za Kibantu wa Malcolm Guthrie Kiluba-Kasai iko katika kundi la L30.
Viungo vya nje
- lugha ya Kiluba-Kasai kwenye Multitree
- makala za OLAC kuhusu Kiluba-Kasai
- lugha ya Kiluba-Kasai katika Glottolog
- http://www.ethnologue.com/language/lua
Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Kiluba-Kasai kama historia yake, uenezi au maendeleo yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |