Chui milia : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
No edit summary
No edit summary
Mstari 1: Mstari 1:
{{Uainishaji
{{Uainishaji
| rangi = #D3D3A4
| rangi = #D3D3A4
| jina = Chui milia
| jina = Chui milia
| picha = Tigerramki.jpg
| picha = Tigerramki.jpg
| upana_wa_picha = 250px
| upana_wa_picha = 250px
| maelezo_ya_picha = Chui milia wa [[Bengali]]
| maelezo_ya_picha = Chui milia wa [[Bengali]]
| domeni =
| domeni =
| himaya = [[Mnyama|Animalia]] (Wanyama)
| himaya = [[Mnyama|Animalia]] (Wanyama)
| faila = [[Chordata]] (Wanyama wenye ugwe wa neva mgongoni)
| faila = [[Chordata]] (Wanyama wenye ugwe wa neva mgongoni)
| ngeli = [[Mamalia]] (Wanyama wenye viwele wanaonyonyesha wadogo wao)
| ngeli = [[Mamalia]] (Wanyama wenye viwele wanaonyonyesha watoto wao)
| oda = [[Carnivora]] (Wanyama mbua)
| oda = [[Carnivora]] (Wanyama mbua)
| nusuoda = [[Feliformia]] (Wanyama kama [[paka]])
| nusuoda = [[Feliformia]] (Wanyama kama [[paka]])
| familia = [[Felidae]] (Wanyama walio na mnasaba na paka)
| familia = [[Felidae]] (Wanyama walio na mnasaba na paka)
| nusufamilia = [[Pantherinae]] (Wanyama wanaofanana na [[chui]])
| nusufamilia = [[Pantherinae]] (Wanyama wanaofanana na [[chui]])
| jenasi = ''[[Panthera]]''
| jenasi = ''[[Panthera]]''
| spishi = ''[[Panthera tigris]]''
| spishi = ''[[Panthera tigris]]''
| bingwa_wa_spishi = ([[Carolus Linnaeus|Linnaeus]], 1758)
| bingwa_wa_spishi = ([[Carolus Linnaeus|Linnaeus]], 1758)
Mstari 24: Mstari 24:
''[[Panthera t. tigris]]''<br />
''[[Panthera t. tigris]]''<br />
}}
}}
'''Chui milia''' (pia: '''babara''' kutoka [[Kiarabu]]: [[:ar:ببر|babar]]; Kisayansi: ''Panthera tigris''; Kiingereza: ''tiger'') ni mnyama mkubwa mla nyama wa familia ya felidae katika ngeli ya mamalia kwa hiyo chui milia hufanana na paka mkubwa.
'''Chui milia''' (pia: '''babara''' kutoka [[Kiarabu]]: [[:ar:ببر|babar]]; [[jina la kisayansi]]: ''Panthera tigris''; kwa [[Kiingereza]]: ''tiger'') ni [[mnyama]] mkubwa [[Walanyama|mlanyama]] wa [[Familia (biolojia)|familia]] ya Felidae katika ngeli ya [[mamalia]], kwa hiyo chui milia hufanana na [[paka]] mkubwa.


Chui milia wanaishi katika Asia katika pembetatu kati ya [[Uhindi]], [[Siberia]] ya kusini na [[Indonesia]]. Mazingira wanayoendelea ni misitu. Siku hizi idadi ya chui milia imepungua sana kutokana na upotevu wa maeneo na kuvindwa.
Chui milia wanaishi katika [[Asia]] katika pembetatu kati ya [[Uhindi]], [[Siberia]] ya [[kusini]] na [[Indonesia]]. [[Mazingira]] wanayoendelea ni [[misitu]]. Siku hizi [[idadi]] ya chui milia imepungua sana kutokana na upotevu wa maeneo na kuwindwa.


Chakula chao ni nyama inayopatikana kwa kuwinda wanyama. Kama wanyama wengi wanaofanana paka chui milia hupendelea kuvinda pekee yake. Kila mmoja ana eneo lake analoweka alama za kojo na kuitetea dhidi ya chui milia wengine.
[[Chakula]] chao ni nyama inayopatikana kwa kuwinda wanyama wengine. Kama wanyama wengi wanaofanana na paka, chui milia hupendelea kuwinda peke yake. Kila mmoja ana eneo lake analoweka [[alama]] za [[mkojo]] na kulitetea dhidi ya chui milia wengine.


Ukubwa wa wanyama hao hutofautiana kutokana na maeneo yao na nususpishi zao. Wale wa [[Sumatra]] ni wadogo wakiwa na urefu wa mwili (pamoja na kichwa bila mkia) sentimita 140 pekee na uzito wa 120 [[kg]]. Mkubwa ni chui milia wa Siberia mwenye urefu unaopita mita 2 na uzito wa kilogramu 150 (jike) hadi 250 (dume). Aina ya Siberia ni kubwa kushinda simba Mwafrika.
Ukubwa wa wanyama hao hutofautiana kutokana na maeneo yao na [[nususpishi]] zao. Wale wa [[Sumatra]] ni wadogo, wakiwa na [[urefu]] wa [[mwili]] (pamoja na [[kichwa]] bila [[mkia]]) [[sentimita]] 140 pekee na [[uzito]] wa [[kg]] 120. Mkubwa zaidi ni chui milia wa Siberia mwenye urefu unaopita [[mita]] 2 na uzito wa kilogramu 150 (jike) hadi 250 (dume). Aina ya Siberia ni kubwa kushinda [[simba]] wa [[Afrika]].
Jike anazaa wadogo 2-3 na kuwatunza kwa miaka 2 - 3. Baadaye wanapaswa kujitafutia eneo lao. Kwa umri wa miaka 3-4 anaweza kuzaa na kufikia umri wa miaka 20 - 25.
Jike anazaa watoto 2-3 na kuwatunza kwa miaka 2 - 3. Baadaye wanapaswa kujitafutia eneo lao. Kwa [[umri]] wa miaka 3-4 anaweza kuzaa na kufikia umri wa miaka 20 - 25.


[[Picha:Tiger distribution3.PNG|thumb|300px|left|Ramani inaonyesha maeneo yaliyokaliwa na chui milia mnamo 1900 (chungwa) na eneo linalobaki leo (nyekundu)]]
[[Picha:Tiger distribution3.PNG|thumb|300px|left|[[Ramani]] inayoonyesha maeneo yaliyokaliwa na chui milia mnamo [[1900]] (chungwa) na eneo lililowabakia leo (nyekundu).]]
== Viungo vya Nje ==
== Viungo vya nje ==
{{commons|Panthera tigris}}
* [http://swahili.cri.cn/1/2006/06/22/1@38528.htm Redio China: Habari za chui milia huko China (sw)]
* [http://swahili.cri.cn/1/2006/06/22/1@38528.htm Redio China: Habari za chui milia huko China (sw)]


{{mbegu-mnyama}}
{{commons|Panthera tigris}}


[[Jamii:Paka na jamaa]]
[[Jamii:Paka na jamaa]]

Pitio la 14:54, 6 Aprili 2020

Chui milia
Chui milia wa Bengali
Chui milia wa Bengali
Uainishaji wa kisayansi
Himaya: Animalia (Wanyama)
Faila: Chordata (Wanyama wenye ugwe wa neva mgongoni)
Ngeli: Mamalia (Wanyama wenye viwele wanaonyonyesha watoto wao)
Oda: Carnivora (Wanyama mbua)
Nusuoda: Feliformia (Wanyama kama paka)
Familia: Felidae (Wanyama walio na mnasaba na paka)
Nusufamilia: Pantherinae (Wanyama wanaofanana na chui)
Jenasi: Panthera
Spishi: Panthera tigris
(Linnaeus, 1758)
Nususpishi: Panthera t. altaica

Panthera t. amoyensis
Panthera t. altaica
Panthera t. corbetti
Panthera t. jacksoni
Panthera t. sumatrae
Panthera t. tigris

Chui milia (pia: babara kutoka Kiarabu: babar; jina la kisayansi: Panthera tigris; kwa Kiingereza: tiger) ni mnyama mkubwa mlanyama wa familia ya Felidae katika ngeli ya mamalia, kwa hiyo chui milia hufanana na paka mkubwa.

Chui milia wanaishi katika Asia katika pembetatu kati ya Uhindi, Siberia ya kusini na Indonesia. Mazingira wanayoendelea ni misitu. Siku hizi idadi ya chui milia imepungua sana kutokana na upotevu wa maeneo na kuwindwa.

Chakula chao ni nyama inayopatikana kwa kuwinda wanyama wengine. Kama wanyama wengi wanaofanana na paka, chui milia hupendelea kuwinda peke yake. Kila mmoja ana eneo lake analoweka alama za mkojo na kulitetea dhidi ya chui milia wengine.

Ukubwa wa wanyama hao hutofautiana kutokana na maeneo yao na nususpishi zao. Wale wa Sumatra ni wadogo, wakiwa na urefu wa mwili (pamoja na kichwa bila mkia) sentimita 140 pekee na uzito wa kg 120. Mkubwa zaidi ni chui milia wa Siberia mwenye urefu unaopita mita 2 na uzito wa kilogramu 150 (jike) hadi 250 (dume). Aina ya Siberia ni kubwa kushinda simba wa Afrika.

Jike anazaa watoto 2-3 na kuwatunza kwa miaka 2 - 3. Baadaye wanapaswa kujitafutia eneo lao. Kwa umri wa miaka 3-4 anaweza kuzaa na kufikia umri wa miaka 20 - 25.

Ramani inayoonyesha maeneo yaliyokaliwa na chui milia mnamo 1900 (chungwa) na eneo lililowabakia leo (nyekundu).

Viungo vya nje

WikiMedia Commons
WikiMedia Commons
Makala hii kuhusu mnyama fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Chui milia kama uainishaji wake wa kibiolojia, maisha au uenezi wake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.