Ngonjera : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
No edit summary
Mstari 7: Mstari 7:
==Tanbihi==
==Tanbihi==
{{reflist}}
{{reflist}}
{{Fasihi simulizi}}
{{mbegu-lugha}}
{{mbegu-lugha}}



Pitio la 12:33, 21 Machi 2020

Ngonjera ni aina ya mashairi ya majibizano baina ya pande / watu wawili au zaidi. Muundo ni sawa kabisa na mashairi.

Aghalabu mazungumzo hayo huwa na mijadala ya malumbano yenye kusudio la kutoa ujumbe maalumu kwa hadhira au jamii husika. Msemaji mmoja huuliza swali katika ubeti mmoja na mwingine hutoa jibu katika ubeti unaofuata na majibizano ya hoja kuendelea hivyo hadi kukamilisha mada ya mjadala husika. Kutokana na sifa hiyo, ndiyo maana kipera cha ngonjera kinapatikana katika utanzu wa ushairi na katika utanzu wa maagizo.

Aina hii ya mashairi ilibuniwa na mshairi maarufu Tanzania Mathias Mnyampala. [1]

Tanbihi

  1. Mathias Eugen Mnyampala (en). Mwananchi. Iliwekwa mnamo 2020-01-26.
Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Ngonjera kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.