Hiroshima : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
No edit summary
No edit summary
Mstari 4: Mstari 4:
|pushpin_map =
|pushpin_map =
|pushpin_map_caption = Mahali pa katika Japani
|pushpin_map_caption = Mahali pa katika Japani
|picha_ya_bendera = Flag of .png
|picha_ya_bendera = Flag of Hiroshima City.svg
|ukubwa_wa_picha = 100px
|ukubwa_wa_picha = 100px
|picha_ya_seal = Seal .png
|picha_ya_seal = Seal .png
Mstari 21: Mstari 21:


}}
}}
[[Picha:Flag of Hiroshima City.svg|left|80px|Bendera ya mji.]]
[[Picha:HiroshimaGembakuDome.jpg|thumb|260px|[[Jengo]] la "[[Kuba ya Bomu la nyuklia]]" ni [[ghofu]] la [[nyumba]] linalohifadhiwa kama [[kumbukumbu]] ya [[mlipuko]] wa mwaka 1945.]]
[[Picha:HiroshimaGembakuDome.jpg|thumb|260px|[[Jengo]] la "[[Kuba ya Bomu la nyuklia]]" ni [[ghofu]] la [[nyumba]] linalohifadhiwa kama [[kumbukumbu]] ya [[mlipuko]] wa mwaka 1945.]]
'''Hiroshima''' ndio [[mji mkuu]] wa [[Mkoa wa Hiroshima]].
'''Hiroshima''' ndio [[mji mkuu]] wa [[Mkoa wa Hiroshima]].


Kwa mujibu wa [[sensa]] iliyofanyika mwaka wa [[2009]], [[mji]] huo una wakazi wapatao milioni 1.2.
Kwa mujibu wa [[sensa]] iliyofanyika [[mwaka]] wa [[2009]], [[mji]] huo una wakazi wapatao [[milioni]] 1.2.


Uko kwenye [[kisiwa]] cha [[Honshu]].
Uko kwenye [[kisiwa]] cha [[Honshu]].


Mji umekuwa maarufu sana [[dunia]]ni kwa sababu ulikuwa mji wa kwanza katika [[historia]] kushambuliwa kwa [[bomu ya nyuklia]]. Tarehe [[6 Agosti]] [[1945]] [[ndege ya kivita]] ya [[Marekani]] ilitupa [[bomu]] moja lililoua watu 75,000 mara moja na takriban 60,000 wengine walikufa baadaye kutokana na [[mnururisho wa kinyuklia]]. Wengine waliendelea kufa kwa sababu ya [[kansa]] iliyosababishwa na [[mnururisho]].
Mji umekuwa maarufu sana [[duniani]] kwa sababu ulikuwa mji wa kwanza katika [[historia]] kushambuliwa kwa [[bomu la nyuklia]]. Tarehe [[6 Agosti]] [[1945]] [[ndege ya kivita]] ya [[Marekani]] ilitupa [[bomu]] moja lililoua watu 75,000 mara moja na takriban 60,000 wengine walikufa baadaye kutokana na [[mnururisho wa kinyuklia]]. Wengine waliendelea kufa kwa sababu ya [[kansa]] iliyosababishwa na [[mnururisho]].


Mji ukajengwa upya baada ya [[vita kuu ya pili ya dunia]]. Jengo la "Kuba ya Bomu ya nyuklia" ni ghofu la nyumba linalohifadhiwa kama kumbukumbu ya mlipuko. Imeingizwa katika [[orodha]] ya [[urithi wa dunia]].
Mji ukajengwa upya baada ya [[vita kuu ya pili ya dunia]]. Jengo la "Kuba ya Bomu ya nyuklia" ni ghofu la nyumba linalohifadhiwa kama kumbukumbu ya mlipuko. Imeingizwa katika [[orodha]] ya [[urithi wa dunia]].
Mstari 44: Mstari 43:
[[Jamii:Mkoa wa Hiroshima]]
[[Jamii:Mkoa wa Hiroshima]]
[[Jamii:Honshu]]
[[Jamii:Honshu]]
[[Jamii:Vita vikuu vya pili]]
[[Jamii:Vita Vikuu vya pili]]

Pitio la 07:22, 19 Machi 2020








Hiroshima

Bendera
Nchi Japani
Kanda Chūgoku
Mkoa Hiroshima
Idadi ya wakazi
 - Wakazi kwa ujumla 1,169,018
Tovuti:  www.city.hiroshima.jp
Jengo la "Kuba ya Bomu la nyuklia" ni ghofu la nyumba linalohifadhiwa kama kumbukumbu ya mlipuko wa mwaka 1945.

Hiroshima ndio mji mkuu wa Mkoa wa Hiroshima.

Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2009, mji huo una wakazi wapatao milioni 1.2.

Uko kwenye kisiwa cha Honshu.

Mji umekuwa maarufu sana duniani kwa sababu ulikuwa mji wa kwanza katika historia kushambuliwa kwa bomu la nyuklia. Tarehe 6 Agosti 1945 ndege ya kivita ya Marekani ilitupa bomu moja lililoua watu 75,000 mara moja na takriban 60,000 wengine walikufa baadaye kutokana na mnururisho wa kinyuklia. Wengine waliendelea kufa kwa sababu ya kansa iliyosababishwa na mnururisho.

Mji ukajengwa upya baada ya vita kuu ya pili ya dunia. Jengo la "Kuba ya Bomu ya nyuklia" ni ghofu la nyumba linalohifadhiwa kama kumbukumbu ya mlipuko. Imeingizwa katika orodha ya urithi wa dunia.

Tovuti za Nje

Makala hii kuhusu maeneo ya Japani bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Hiroshima kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.