John Samwel Malecela : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
+kuboresha makala |
No edit summary |
||
Mstari 4: | Mstari 4: | ||
==Marejeo== |
==Marejeo== |
||
{{marejeo}} |
{{marejeo}} |
||
==Viungo vya nnje== |
|||
* Tovuti ya [https://www.bunge.go.tz Bunge la Tanzania] |
|||
{{start box}} |
{{start box}} |
||
{{s-off}} |
{{s-off}} |
Pitio la 10:41, 26 Januari 2020
John Samwel Malecela (amezaliwa tar. 20 Aprili 1934) ni mbunge wa jimbo la Mtera katika bunge la kitaifa huko nchini Tanzania.[1] Anatokea katika chama cha CCM. Pia alishawahi kuwa Naibu Mwenyekiti wa CCM (2005-2009), Waziri Mkuu (1990-1994), Kamishina Mkuu wa Tanzania huko Uingereza (1989-1999), Waziri wa Utamaduni Chakula na Usalama (1975-1980), na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa (1972-1975).
Tazama pia
Marejeo
Viungo vya nnje
- Tovuti ya Bunge la Tanzania
Ofisi za Kisiasa | ||
---|---|---|
Alitanguliwa na Joseph Sinde Warioba |
Waziri Mkuu wa Tanzania 1990-1994 |
Akafuatiwa na Cleopa David Msuya |
Alitanguliwa na Salim Ahmed Salim |
Makamu wa Rais wa Tanzania 1990-1994 |
Akafuatiwa na Cleopa David Msuya |
Makala hii kuhusu mwanasiasa fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu John Samwel Malecela kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |