Furukombe : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d Bot: Migrating 30 interwiki links, now provided by Wikidata on d:q147403 (translate me) |
No edit summary |
||
Mstari 15: | Mstari 15: | ||
''[[Ichthyophaga]]'' <small>[[René-Primevère Lesson|Lesson]], 1843</small> |
''[[Ichthyophaga]]'' <small>[[René-Primevère Lesson|Lesson]], 1843</small> |
||
}} |
}} |
||
'''Furukombe''', '''fukombe''', '''kwazi''', '''yowe''' au '''tai mlasamaki''' ni [[ndege (mnyama)|ndege]] |
'''Furukombe''', '''fukombe''', '''kwazi''', '''yowe''' au '''tai mlasamaki''' ni [[ndege (mnyama)|ndege]] mbuai wa [[nusufamilia]] [[Haliaeetinae]] katika [[familia (biolojia)|familia]] [[Accipitridae]]. |
||
Ndege hao ni baina ya [[tai]] wakubwa kabisa. [[Uzito]] wao unatofautiana kutoka [[kg]] 2 (furukombe wa Sanford) mpaka 9 (furukombe wa Steller). |
|||
[[Unyoya|Manyoya]] yao yana [[rangi]] ya [[kahawia]] mpaka [[nyeusi]] lakini [[kichwa]], [[mkia]], [[kidari]] na [[tumbo]] ni [[nyeupe]] kufuatana na [[spishi]]. [[Furukombe wa Madagaska]], wa Sanford na wa [[Ulaya]] wana kichwa [[hudhurungi]]. |
|||
[[Spishi]] zote zinatokea karibu na [[maji]] ama [[baridi]] ama ya [[bahari]]. Hula [[samaki]] hasa lakini ndege wengine, [[mzoga|mizoga]] na mara kwa mara [[mnyama|wanyama]] wadogo pia. |
|||
Hujenga tago lao kwa vijiti juu ya [[mti]] au [[mwamba]]. Jike hutaga [[yai|mayai]] 1-3. |
|||
==Spishi za Afrika== |
==Spishi za Afrika== |
Toleo la sasa la 06:52, 20 Januari 2020
Furukombe | ||||||||||||||||
---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|
Uainishaji wa kisayansi | ||||||||||||||||
|
Furukombe, fukombe, kwazi, yowe au tai mlasamaki ni ndege mbuai wa nusufamilia Haliaeetinae katika familia Accipitridae.
Ndege hao ni baina ya tai wakubwa kabisa. Uzito wao unatofautiana kutoka kg 2 (furukombe wa Sanford) mpaka 9 (furukombe wa Steller).
Manyoya yao yana rangi ya kahawia mpaka nyeusi lakini kichwa, mkia, kidari na tumbo ni nyeupe kufuatana na spishi. Furukombe wa Madagaska, wa Sanford na wa Ulaya wana kichwa hudhurungi.
Spishi zote zinatokea karibu na maji ama baridi ama ya bahari. Hula samaki hasa lakini ndege wengine, mizoga na mara kwa mara wanyama wadogo pia.
Hujenga tago lao kwa vijiti juu ya mti au mwamba. Jike hutaga mayai 1-3.
Spishi za Afrika[hariri | hariri chanzo]
- Haliaeetus vocifer, Furukombe wa Afrika (African Fish Eagle)
- Haliaeetus vociferoides, Furukombe wa Madagaska (Madagascar Fish Eagle)
Spishi za mabara mengine[hariri | hariri chanzo]
- Haliaeetus albicilla (White-tailed Eagle)
- Haliaeetus leucocephalus (Bald Eagle)
- Haliaeetus leucogaster (White-bellied Sea Eagle)
- Haliaeetus leucoryphus (Pallas's Fish Eagle)
- Haliaeetus pelagicus (Steller's Sea Eagle)
- Haliaeetus sanfordi (Sanford's Sea Eagle)
- Ichthyophaga humilis (Lesser Fish Eagle)
- Ichthyophaga ichthyaetus (Grey-headed Fish Eagle)
Picha[hariri | hariri chanzo]
-
Furukombe wa Afrika
-
Furukombe wa Madagaska
-
White-tailed eagle
-
Bald eagle
-
White-bellied sea eagle
-
Pallas's fish eagle
-
Steller's sea eagle
-
Lesser fish eagle
-
Grey-headed fish eagle