Qatar : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
No edit summary
Mstari 68: Mstari 68:


[[Mji mkuu]] wa Qatar ni '''[[Doha]]'''.
[[Mji mkuu]] wa Qatar ni '''[[Doha]]'''.

== Historia ==
Maeneo ya Qatar, pamoja na [[Falme za Kiarabu]] na [[Bahrain]] yalikuwa nyumbani kwa [[Kabila|makabila]] madogo na [[chifu]] zao.

Tangu [[mwaka]] [[1820]] walikuwa na [[Mkataba|mikataba]] na [[Uingereza]] walipoahidi kuachana na [[uharamia]] na kupokea [[ulinzi]] wa Uingereza. Ulinzi huo ulizuia [[uvamizi]] wa Saudia katika [[karne ya 20]].

Falme hizo zilikuwa [[nchi lindwa]] chini ya [[Uingereza]] hadi mwaka [[1971]], ambapo [[madola]] hayo madogo yalipata [[uhuru]].


==Siasa==
==Siasa==
Miaka ya mwisho Qatar imejihusisha na [[siasa]] ya [[Mashariki ya Kati]] kwa kuwapa [[silaha]] Waislamu wenye [[itikadi kali]] kama vile huko [[Palestina]], [[Syria]] na [[Iraq]].
Miaka ya mwisho Qatar imejihusisha na [[siasa]] ya [[Mashariki ya Kati]] kwa kuwapa [[silaha]] [[Waislamu]] wenye [[itikadi kali]] kama vile huko [[Palestina]], [[Syria]] na [[Iraq]], na hata [[DAISH]].


==Watu==
==Watu==
Wananchi wengi wa Qatar kwa asili ni [[Waarabu]] na [[Waafrika]] ([[utumwa]] nchini ulichelewa sana kufutwa). Lakini kati ya wakazi wote, hao ni asilimia 15 tu (278,000), yaani idadi kubwa sana si Waqatari wenyewe bali ni [[wafanyakazi]] kutoka nchi mbalimbali, hasa [[India]] (zaidi ya 25%) na nchi za kandokando yake.
Wananchi wengi wa Qatar kwa [[asili]] ni [[Waarabu]] na [[Waafrika]] ([[utumwa]] nchini ulichelewa sana kufutwa). Lakini kati ya wakazi wote, hao ni asilimia 15 tu (278,000), yaani idadi kubwa sana si Waqatari wenyewe bali ni [[wafanyakazi]] kutoka nchi mbalimbali, hasa [[India]] (zaidi ya 25%) na nchi za kandokando yake.


[[Kiarabu]] ni [[lugha rasmi]] ya nchi lakini [[Kiingereza]] hutumiwa mara nyingi kwa mawasiliano ya [[biashara]] na [[ofisi]]ni.
[[Kiarabu]] ni [[lugha rasmi]] ya nchi lakini [[Kiingereza]] hutumiwa mara nyingi kwa mawasiliano ya [[biashara]] na [[ofisi]]ni.
Mstari 80: Mstari 87:


==Uchumi==
==Uchumi==
[[Uchumi]] wote wa Qatar una msingi wa mafuta ya [[petroli]] na [[gesi]] yake.
[[Uchumi]] wote wa Qatar una msingi wa mafuta ya [[petroli]] na [[gesi]] yake. Kwa [[wastani]] wakazi wake wana kipato kikubwa kuliko watu wa nchi zote [[duniani]].


==Tazama pia==
==Tazama pia==

Pitio la 07:22, 16 Januari 2020

Qatar

Qatar (kwa Kiarabu: قطر ) ni emirati ndogo wa Uarabuni kwenye rasi ya Qatar ambayo ni sehemu ya rasi kubwa ya Uarabuni.

Imepakana na Saudia upande wa kusini. Mipaka mingine ni ya Ghuba ya Uajemi. Kisiwa cha Bahrain kiko karibu.

Mji mkuu wa Qatar ni Doha.

Historia

Maeneo ya Qatar, pamoja na Falme za Kiarabu na Bahrain yalikuwa nyumbani kwa makabila madogo na chifu zao.

Tangu mwaka 1820 walikuwa na mikataba na Uingereza walipoahidi kuachana na uharamia na kupokea ulinzi wa Uingereza. Ulinzi huo ulizuia uvamizi wa Saudia katika karne ya 20.

Falme hizo zilikuwa nchi lindwa chini ya Uingereza hadi mwaka 1971, ambapo madola hayo madogo yalipata uhuru.

Siasa

Miaka ya mwisho Qatar imejihusisha na siasa ya Mashariki ya Kati kwa kuwapa silaha Waislamu wenye itikadi kali kama vile huko Palestina, Syria na Iraq, na hata DAISH.

Watu

Wananchi wengi wa Qatar kwa asili ni Waarabu na Waafrika (utumwa nchini ulichelewa sana kufutwa). Lakini kati ya wakazi wote, hao ni asilimia 15 tu (278,000), yaani idadi kubwa sana si Waqatari wenyewe bali ni wafanyakazi kutoka nchi mbalimbali, hasa India (zaidi ya 25%) na nchi za kandokando yake.

Kiarabu ni lugha rasmi ya nchi lakini Kiingereza hutumiwa mara nyingi kwa mawasiliano ya biashara na ofisini.

Waqatari wenyewe ni Waislamu (hasa Wasuni) lakini watu kutoka nje hufuata pia dini mbalimbali: hivyo kati ya wakazi wote 13.8% ni Wakristo na 13.8% tena ni Wahindu.

Uchumi

Uchumi wote wa Qatar una msingi wa mafuta ya petroli na gesi yake. Kwa wastani wakazi wake wana kipato kikubwa kuliko watu wa nchi zote duniani.

Tazama pia

Viungo vya nje

WikiMedia Commons
WikiMedia Commons
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Nchi na maeneo ya Asia

Afghanistan | Armenia2 | Azerbaijan | Bahrain | Bangladesh | Bhutan | Brunei | China | Falme za Kiarabu | Georgia2 | Hong Kong3 | Indonesia | Iraq | Israel | Jamhuri ya China (Taiwan) | Japani | Kamboja | Kazakhstan | Kirgizia | Korea Kaskazini | Korea Kusini | Kupro2 | Kuwait | Laos | Lebanoni | Macau3 | Malaysia | Maldivi | Mongolia | Myanmar | Nepal | Omani | Pakistan | Palestina | Qatar | Saudia | Singapuri | Sri Lanka | Syria | Tajikistan | Timor ya Mashariki | Turkmenistan | Uajemi | Ufilipino | Uhindi | Urusi1 | Uthai | Uturuki1 | Uzbekistan | Vietnam | Yemen | Yordani

1. Nchi ina maeneo katika Asia na Ulaya. 2. Nchi iko Asia lakini inahesabiwa pia kati ya nchi za Ulaya kwa sababu za historia au utamaduni. 3. Eneo la pekee la China.


Makala hii kuhusu maeneo ya Asia bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Qatar kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.