Urujuanimno : Tofauti kati ya masahihisho
No edit summary |
No edit summary |
||
Mstari 1: | Mstari 1: | ||
[[Picha:Nuru inayoonekana katika spektra.jpg|450px|thumbnail|Urujuanimno upande wa lukoka fupi zaidi ya spektra inayoonekana]] |
[[Picha:Nuru inayoonekana katika spektra.jpg|450px|thumbnail|Urujuanimno upande wa lukoka fupi zaidi ya spektra inayoonekana]] |
||
'''Urujuanimno''' ([[ |
'''Urujuanimno''' (kwa [[Kiingereza]]: ''ultraviolet'', [[kifupi]]: '''UV''') ni aina ya [[nuru]] isiyoonekana na [[binadamu]] ila na [[wanyama]] mbalimbali. Kwa [[lugha]] nyingine na makini zaidi ni sehemu ya [[mnururisho wa sumakuumeme]] wenye [[lukoka]] (''wavelength'') baina ya [[nanomita]] 400 hadi 10, ambayo ni lukoka fupi kuliko [[urujuani]] inayoonekana lakini ndefu kuliko [[eksirei]]. |
||
Wanyama wengi pamoja na wadudu kadhaa, mamba, ndege wengine wadogo wanaweza kutambua urujuanimno. |
Wanyama wengi pamoja na [[wadudu]] kadhaa, [[mamba]], [[Ndege (mnyama)|ndege]] wengine wadogo wanaweza kutambua urujuanimno. |
||
Mnururisho wa urujuanimno unafika duniani kama sehemu ya nuru ya jua. |
Mnururisho wa urujuanimno unafika [[duniani]] kama sehemu ya nuru ya [[jua]]. |
||
==Mnururisho wa urujuanimno na afya ya watu== |
==Mnururisho wa urujuanimno na afya ya watu== |
||
Viwango vikubwa vya mnururisho wa urujuanimno vinaweza kusababisha uharibifu kwa [[seli]] za binadamu. [[Ngozi]] ya binadamu inajenga rangi ya [[melanini]] kama kinga dhidi yake. [[Ozoni|Tabaka |
Viwango vikubwa vya mnururisho wa urujuanimno vinaweza kusababisha uharibifu kwa [[seli]] za binadamu. [[Ngozi]] ya binadamu inajenga [[rangi]] ya [[melanini]] kama kinga dhidi yake. [[Ozoni|Tabaka la ozoni]] katika [[angahewa]] ya [[Dunia]] inachuja sehemu ya mnururisho huo lakini kwenye maeneo ya [[ikweta]] kiwango kinachofika hadi uso wa dunia ni kikubwa zaidi. |
||
Ndiyo sababu ya kwamba watu katika maeneo karibu na ikweta wana rangi [[nyeusi]] zaidi. Watu wanaoishi mbali na ikweta hawahitaji kiwango hicho cha kinga dhidi ya mnururisho wa urujuanimno na kwa sababu hiyo watu wenye rangi [[nyeupe]] zaidi waliweza kuendelea huko [[kaskazini]]. Pale ambako watu kutoka sehemu za kaskazini walihamia katika maeneo ya ikweta wana hatari kubwa zaidi ya kupata [[kansa ya ngozi]] na hii inaonekana katika [[asilimia]] kubwa ya [[kansa]] hiyo kati ya Wazungu wa [[Australia]]. |
|||
Asilimia kubwa ya [[kansa ya ngozi]] kati ya watu walioathiriwa na [[ |
Asilimia kubwa ya [[kansa ya ngozi]] kati ya watu walioathiriwa na [[uzeruzeru]] katika [[Afrika]] ina sababu hiyohiyo. |
||
[[Uga sumaku |
[[Uga sumaku ya Dunia]] hukengeusha kiasi kikubwa cha mnururisho wa urujuanimno pamoja na [[Upepo jua|upepo Jua]] kutoka [[angahewa]] na kwa njia hiyo inakinga angahewa yetu. |
||
⚫ | |||
⚫ | |||
⚫ | |||
==Kujisomea== |
==Kujisomea== |
||
⚫ | |||
⚫ | |||
* {{Cite journal |
* {{Cite journal |
||
| last = Hu |
| last = Hu |
||
Mstari 63: | Mstari 57: | ||
}} |
}} |
||
⚫ | |||
⚫ | |||
⚫ | |||
⚫ | |||
⚫ | |||
{{mbegu-sayansi}} |
|||
[[jamii:Fizikia]] |
[[jamii:Fizikia]] |
Pitio la 10:08, 30 Desemba 2019
Urujuanimno (kwa Kiingereza: ultraviolet, kifupi: UV) ni aina ya nuru isiyoonekana na binadamu ila na wanyama mbalimbali. Kwa lugha nyingine na makini zaidi ni sehemu ya mnururisho wa sumakuumeme wenye lukoka (wavelength) baina ya nanomita 400 hadi 10, ambayo ni lukoka fupi kuliko urujuani inayoonekana lakini ndefu kuliko eksirei.
Wanyama wengi pamoja na wadudu kadhaa, mamba, ndege wengine wadogo wanaweza kutambua urujuanimno. Mnururisho wa urujuanimno unafika duniani kama sehemu ya nuru ya jua.
Mnururisho wa urujuanimno na afya ya watu
Viwango vikubwa vya mnururisho wa urujuanimno vinaweza kusababisha uharibifu kwa seli za binadamu. Ngozi ya binadamu inajenga rangi ya melanini kama kinga dhidi yake. Tabaka la ozoni katika angahewa ya Dunia inachuja sehemu ya mnururisho huo lakini kwenye maeneo ya ikweta kiwango kinachofika hadi uso wa dunia ni kikubwa zaidi.
Ndiyo sababu ya kwamba watu katika maeneo karibu na ikweta wana rangi nyeusi zaidi. Watu wanaoishi mbali na ikweta hawahitaji kiwango hicho cha kinga dhidi ya mnururisho wa urujuanimno na kwa sababu hiyo watu wenye rangi nyeupe zaidi waliweza kuendelea huko kaskazini. Pale ambako watu kutoka sehemu za kaskazini walihamia katika maeneo ya ikweta wana hatari kubwa zaidi ya kupata kansa ya ngozi na hii inaonekana katika asilimia kubwa ya kansa hiyo kati ya Wazungu wa Australia.
Asilimia kubwa ya kansa ya ngozi kati ya watu walioathiriwa na uzeruzeru katika Afrika ina sababu hiyohiyo.
Uga sumaku ya Dunia hukengeusha kiasi kikubwa cha mnururisho wa urujuanimno pamoja na upepo Jua kutoka angahewa na kwa njia hiyo inakinga angahewa yetu.
Kujisomea
- Hu, S; Ma, F; Collado-Mesa, F; Kirsner, R. S. (July 2004). "UV radiation, latitude, and melanoma in US Hispanics and blacks". Arch. Dermatol. 140 (7): 819–824. PMID 15262692. doi:10.1001/archderm.140.7.819. Check date values in:
|date=
(help) - Hockberger, Philip E. (2002). "A History of Ultraviolet Photobiology for Humans, Animals and Microorganisms" (– Scholar search). Photochemisty and Photobiology 76 (6): 561–569. PMID 12511035. doi:10.1562/0031-8655(2002)076<0561:AHOUPF>2.0.CO;2.
- Allen, Jeannie (6 September 2001). Ultraviolet Radiation: How it Affects Life on Earth. Earth Observatory. NASA, USA. Check date values in:
|date=
(help)
Viungo vya Nje
Makala hii kuhusu mambo ya sayansi bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Urujuanimno kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |