Tabakamwamba : Tofauti kati ya masahihisho
No edit summary |
No edit summary |
||
Mstari 1: | Mstari 1: | ||
⚫ | [[Picha:Earth-cutaway-schematic-numbered.svg|thumb|350px|Muundo wa [[Dunia]]: 1: Ganda la Dunia (kibahari 1a na kibara 1b unene km 0 hadi 80); 2: Koti la Dunia; 3: Kiini cha Dunia; 3a: Kiini cha nje (kiowevu); 3b: Kiini cha ndani (thabiti); 4: Tabakamwamba (ganda pamoja na sehemu ya juu ya koti); 5: Asthenosphere.]] |
||
⚫ | |||
⚫ | '''Tabakamwamba''' (kwa [[Kiingereza]] ''lithosphere'')<ref>IPA: lith'usfēr, kutoka maneno ya [[Kigiriki]] λίθος ''líthos'' (jiwe, mwamba) na σφαίρα ''sfaira'' (tufe, tabaka)</ref> ni sehemu thabiti ya nje ya [[sayari]] ya [[Dunia]]. Hiyo inamaanisha [[ganda la Dunia]], pamoja na chini yake sehemu ya juu ya "koti la dunia". Tabakamwamba linakaa juu ya sehemu [[moto]] na laini ya ndani zaidi ya koti la Dunia. |
||
⚫ | |||
⚫ | [[Picha:Earth-cutaway-schematic-numbered.svg|thumb|350px| |
||
⚫ | |||
⚫ | '''Tabakamwamba''' ( |
||
⚫ | |||
⚫ | |||
⚫ | |||
⚫ | |||
⚫ | |||
== Aina za tabakamwamba == |
== Aina za tabakamwamba == |
||
Kuna aina mbili za tabakamwamba: |
Kuna aina mbili za tabakamwamba: |
||
# Tabakamwamba chini ya bahari; mabamba gandunia huachana katika vilindi vya bahari na |
# Tabakamwamba chini ya [[bahari]]; mabamba gandunia huachana katika vilindi vya bahari na hapo [[magma|magma joto]] inapanda juu na kujenga hivyo miamba mipya ikipoa na kuganda. Hivyo ganda la Dunia chini ya bahari ina [[umri]] mdogo zaidi na [[unene]] mdogo wa [[kilomita]] 50-100. |
||
# Tabakamwamba |
# Tabakamwamba la [[bara]]. Hapa tunakuta miamba ya kale zaidi na unene wake ni km 100 hadi 200. |
||
==Mzunguko wa tabakamwamba== |
==Mzunguko wa tabakamwamba== |
||
Sehemu kubwa za tabakamwamba ziko katika mwendo wa kutokea na kupotea tena. Kenye vilindi vya bahari ambako mabamba gandunia yanaachana, magma inapanda na kuunda miamba |
Sehemu kubwa za tabakamwamba ziko katika mwendo wa kutokea na kupotea tena. Kenye vilindi vya bahari ambako mabamba gandunia yanaachana, magma inapanda na kuunda miamba mipya. Mchakato endelevu unasukuma mabamba jirani mbali kutoka mistari hii. Kwa upande mwingine kuna sehemu ambako mabamba yanasukumana na hapa bamba moja husukumwa chini ya bamba jingine na kwa namna hiyo kuunda [[mifereji]] ya bahari. Kadiri miamba inavyozama chini na kuingia katika vilindi vyenye joto kubwa inayeyushwa tena na kujiunga na magma ya koti la Dunia. |
||
== Marejeo == |
== Marejeo == |
||
{{Reflist}} |
{{Reflist}} |
||
== |
==Marejeo mengine == |
||
⚫ | |||
⚫ | |||
* Barrell J. 1914a, b & c. Nguvu ya ukoko wa Dunia. Jarida la Jiolojia. '''22''', 425-433; 441-468; 655-683. |
* Barrell J. 1914a, b & c. Nguvu ya ukoko wa Dunia. Jarida la Jiolojia. '''22''', 425-433; 441-468; 655-683. |
||
* Daly, R. 1940 Nguvu na muundo wa Dunia. New York: Jumba la Prentice. |
* Daly, R. 1940 Nguvu na muundo wa Dunia. New York: Jumba la Prentice. |
||
* Chernicoff, Stanley na Whitney, Donna. 2007. ''Jiolojia. utangulizi wa jiolojia ya mwili'', 4th, Pearson 2007 |
* Chernicoff, Stanley na Whitney, Donna. 2007. ''Jiolojia. utangulizi wa jiolojia ya mwili'', 4th, Pearson 2007 |
||
== |
== Viungo vya nje == |
||
⚫ | |||
⚫ | |||
* [http://sd71.bc.ca/sd71/school/courtmid/Library/subject_resources/science/chapter_7_composition.htm Links for Middle School students on the Earth's composition] |
* [http://sd71.bc.ca/sd71/school/courtmid/Library/subject_resources/science/chapter_7_composition.htm Links for Middle School students on the Earth's composition] |
||
{{mbegu-sayansi}} |
|||
[[Jamii:Jiolojia]] |
Pitio la 07:54, 24 Desemba 2019
Tabakamwamba (kwa Kiingereza lithosphere)[1] ni sehemu thabiti ya nje ya sayari ya Dunia. Hiyo inamaanisha ganda la Dunia, pamoja na chini yake sehemu ya juu ya "koti la dunia". Tabakamwamba linakaa juu ya sehemu moto na laini ya ndani zaidi ya koti la Dunia.
Kwenye mpaka kati ya tabakamwamba na koti lenyewe liko tabaka kasiduni (ing. asthenosphere) ambayo ni nyumbufu kiasi.
Tabakamwamba linafanywa na miamba imara, tofauti na sehemu za ndani zaidi ya Dunia ambako mwamba na madini yote vinapatikana kwa hali nyumbufu au giligili kutokana na joto kali na shinikizo kubwa.
Eneo la tabakamwamba linagawiwa kwa vipande vikubwa ambavyo vinaelea juu ya sehemu moto za ndani. Vipande hivyo ni mabamba ya ganda la Dunia au kwa kifupi mabamba gandunia.
Aina za tabakamwamba
Kuna aina mbili za tabakamwamba:
- Tabakamwamba chini ya bahari; mabamba gandunia huachana katika vilindi vya bahari na hapo magma joto inapanda juu na kujenga hivyo miamba mipya ikipoa na kuganda. Hivyo ganda la Dunia chini ya bahari ina umri mdogo zaidi na unene mdogo wa kilomita 50-100.
- Tabakamwamba la bara. Hapa tunakuta miamba ya kale zaidi na unene wake ni km 100 hadi 200.
Mzunguko wa tabakamwamba
Sehemu kubwa za tabakamwamba ziko katika mwendo wa kutokea na kupotea tena. Kenye vilindi vya bahari ambako mabamba gandunia yanaachana, magma inapanda na kuunda miamba mipya. Mchakato endelevu unasukuma mabamba jirani mbali kutoka mistari hii. Kwa upande mwingine kuna sehemu ambako mabamba yanasukumana na hapa bamba moja husukumwa chini ya bamba jingine na kwa namna hiyo kuunda mifereji ya bahari. Kadiri miamba inavyozama chini na kuingia katika vilindi vyenye joto kubwa inayeyushwa tena na kujiunga na magma ya koti la Dunia.
Marejeo
Marejeo mengine
- Barrell J. 1914a, b & c. Nguvu ya ukoko wa Dunia. Jarida la Jiolojia. 22, 425-433; 441-468; 655-683.
- Daly, R. 1940 Nguvu na muundo wa Dunia. New York: Jumba la Prentice.
- Chernicoff, Stanley na Whitney, Donna. 2007. Jiolojia. utangulizi wa jiolojia ya mwili, 4th, Pearson 2007
Viungo vya nje
- Ukoko wa ardhi, litholojia na anga
- Ukoko na Lithosphere
- Links for Middle School students on the Earth's composition
Makala hii kuhusu mambo ya sayansi bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Tabakamwamba kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |