1 Juni : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
→Waliozaliwa: Andy Griffith, 1926. |
|||
Mstari 31: | Mstari 31: | ||
==Sikukuu== |
==Sikukuu== |
||
[[Wakristo]] wengi, wakifuata [[mapokeo ya Roma]], huadhimisha [[kumbukumbu]] |
[[Wakristo]] wengi, wakifuata [[mapokeo ya Roma]], huadhimisha [[kumbukumbu]] za [[watakatifu]] [[Yustino mfiadini]], [[Karitoni, Karito na wenzao]], [[Amoni na wenzake]], [[Iskirioni na wenzake|Iskirioni]], [[Prokolo wa Bologna]], [[Fortunati wa Montefalco]], [[Kaprasi]], [[Simeoni wa Siracusa]], [[Enekoni]], [[Yosefu Tuc]], [[Anibale Maria di Francia]] n.k. |
||
==Viungo vya nje== |
==Viungo vya nje== |
Pitio la 12:43, 2 Desemba 2019
Mei - Juni - Jul | ||||||
1 | 2 | 3 | 4 | 5 | 6 | 7 |
8 | 9 | 10 | 11 | 12 | 13 | 14 |
15 | 16 | 17 | 18 | 19 | 20 | 21 |
22 | 23 | 24 | 25 | 26 | 27 | 28 |
29 | 30 | |||||
Kalenda ya Gregori |
Tarehe 1 Juni ni siku ya 152 ya mwaka (ya 153 katika miaka mirefu). Mpaka uishe zinabaki siku 213.
Matukio
Waliozaliwa
- 1801 - Brigham Young, kiongozi wa Umormoni
- 1804 - Mikhail Glinka, mtunzi wa muziki kutoka Urusi
- 1917 - William Knowles, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 2001
- 1926
- Andy Griffith
- Marilyn Monroe, mwigizaji wa filamu kutoka Marekani
- 1937 - Morgan Freeman, mwigizaji wa filamu kutoka Marekani
- 1955 - Chiyonofuji Mitsugu, mwanamwereka wa Japani
- 1956 - Lisa Hartman-Black
- 1957 - Yasuhiro Yamashita, mshindani wa Judo kutoka Japani
- 1968 - Jason Donovan
- 1971 - Ghil'ad Zuckermann, mtaalamu wa isimu
- 1974 - Alanis Morissette
- 1977 - Sarah Wayne Callies, mwigizaji wa filamu kutoka Marekani
Waliofariki
- 193 - Didius Julianus, Kaisari wa Dola la Roma
- 1841 - Nicolas Appert, mvumbuzi Mfaransa
- 1846 - Papa Gregori XVI
- 1868 - James Buchanan, Rais wa Marekani (1857-1861)
- 1925 - Thomas Marshall, Kaimu Rais wa Marekani
- 1968 - Helen Keller, mwandishi asiyeona wala kusikia kutoka nchini Marekani
- 1968 - Charles Howard McIlwain, mwanahistoria kutoka Marekani
- 1979 - Werner Forssmann, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1956
Sikukuu
Wakristo wengi, wakifuata mapokeo ya Roma, huadhimisha kumbukumbu za watakatifu Yustino mfiadini, Karitoni, Karito na wenzao, Amoni na wenzake, Iskirioni, Prokolo wa Bologna, Fortunati wa Montefalco, Kaprasi, Simeoni wa Siracusa, Enekoni, Yosefu Tuc, Anibale Maria di Francia n.k.
Viungo vya nje
Makala hii kuhusu mambo ya kihistoria bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu 1 Juni kama enzi zake au matokeo yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |