25 Februari : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
Mstari 17: | Mstari 17: | ||
==Sikukuu== |
==Sikukuu== |
||
[[Wakristo]] wengi, wakifuata [[mapokeo ya Roma]], huadhimisha [[kumbukumbu]] |
[[Wakristo]] wengi, wakifuata [[mapokeo ya Roma]], huadhimisha [[kumbukumbu]] za [[watakatifu]] [[Nestori wa Magido]], [[Sesari wa Nazienzi]], [[Walburga]], [[Laurenti Bai Xiaoman]], [[Turibio Romo]], [[Alois Versiglia]], [[Kalisti Caravario]] n.k. |
||
==Viungo vya nje== |
==Viungo vya nje== |
Pitio la 14:57, 15 Novemba 2019
Jan - Februari - Mac | ||||||
1 | 2 | 3 | 4 | 5 | 6 | 7 |
8 | 9 | 10 | 11 | 12 | 13 | 14 |
15 | 16 | 17 | 18 | 19 | 20 | 21 |
22 | 23 | 24 | 25 | 26 | 27 | 28 |
29 | ||||||
Kalenda ya Gregori |
Tarehe 25 Februari ni siku ya hamsini na sita ya mwaka. Mpaka uishe zinabaki siku 309 (310 katika miaka mirefu).
Matukio
Waliozaliwa
- 1906 - Mary Chase, mwandishi kutoka Marekani
- 1952 - Mohamed Said, mwandishi kutoka Tanzania
- 1954 - Renate Dorrestein, mwandishi wa kike kutoka Uholanzi
- 1965 - Carrot Top, mwigizaji wa filamu kutoka Marekani
Waliofariki
- 1950 - George Minot, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1934
- 1975 - Elijah Muhammad, kiongozi wa Nation of Islam nchini Marekani (1934-1975)
- 1983 - Tennessee Williams, mwandishi kutoka Marekani
- 1999 - Glenn Seaborg, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1951
Sikukuu
Wakristo wengi, wakifuata mapokeo ya Roma, huadhimisha kumbukumbu za watakatifu Nestori wa Magido, Sesari wa Nazienzi, Walburga, Laurenti Bai Xiaoman, Turibio Romo, Alois Versiglia, Kalisti Caravario n.k.
Viungo vya nje
Makala hii kuhusu mambo ya kihistoria bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu 25 Februari kama enzi zake au matokeo yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |