Nabii Yoeli : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
|||
Mstari 9: | Mstari 9: | ||
*[[Watakatifu wa Agano la Kale]] |
*[[Watakatifu wa Agano la Kale]] |
||
*[[Orodha ya Watakatifu Wakristo]] |
*[[Orodha ya Watakatifu Wakristo]] |
||
*[[Orodha ya Watakatifu wa Afrika]] |
|||
*[[Orodha ya Watakatifu Wafransisko]] |
*[[Orodha ya Watakatifu Wafransisko]] |
||
Pitio la 10:00, 8 Novemba 2019
Nabii Yoeli (kwa Kiebrania יואל, Yoel, maana yake YHWH ni Mungu) alikuwa nabii wa Israeli ya Kale, labda katikati ya karne ya 4 KK.
Ujumbe wake unapatikana katika gombo la Manabii Wadogo la Biblia, kwa jina la Kitabu cha Yoeli.
Anaheshimiwa kama mtakatifu. Sikukuu yake huwa tarehe 19 Oktoba.
Tazama pia
- Watakatifu wa Agano la Kale
- Orodha ya Watakatifu Wakristo
- Orodha ya Watakatifu wa Afrika
- Orodha ya Watakatifu Wafransisko
Viungo vya nje
- Four Prophets at Chabad.org
Makala hii kuhusu mtu wa Biblia bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Nabii Yoeli kama habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |