Ummy Ally Mwalimu : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
d corr using AWB |
||
Mstari 5: | Mstari 5: | ||
==Marejeo== |
==Marejeo== |
||
<references/> {{Mbegu-wanasiasa-Tanzania}} [[Jamii:Wanasiasa wa Tanzania]] |
<references/> {{Mbegu-wanasiasa-Tanzania}} [[Jamii:Wanasiasa wa Tanzania]] |
||
[[Jamii:Bunge la Tanzania]][[Jamii:Wanasiasa wanawake Tanzania]] |
Pitio la 04:45, 31 Oktoba 2019
Ummy Ally Mwalimu ni mwanasiasa Mtanzania na mwanachama wa chama cha kisiasa cha CCM. Amechaguliwa kuwa mbunge wa Viti maalum vya wanawake kwa miaka 2010 - 2015, akarudishwa bungeni mwaka 2015. [1]
Mwaka 2017 alikuwa waziri wa Afya, Mendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto.[2]
Marejeo
- ↑ Tovuti ya Bunge la Tanzania, iliangaliwa Mei 2017
- ↑ About The Ministry, tovuti ya wizara, iliangaliwa Juni 2017
Makala hiyo kuhusu mwanasiasa wa Tanzania bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |