Mwese : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
kunyosha nyongeza kisarufi na kitahajia
No edit summary
Mstari 18: Mstari 18:


}}
}}
'''Mwese''' ni jina la kata ya [[Wilaya ya Mpanda Vijijini]] katika [[Mkoa wa Katavi]], [[Tanzania]]. Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2012, kata ilikuwa na wakazi wapatao 7,520 waishio humo.
'''Mwese''' ni [[kata]] ya [[Wilaya ya Mpanda Vijijini]] katika [[Mkoa wa Katavi]], [[Tanzania]]. Kwa mujibu wa [[sensa]] iliyofanyika [[mwaka]] wa [[2012]], kata ilikuwa na wakazi wapatao 7,520 waishio humo<ref>[http://www.wavuti.weebly.com/uploads/3/0/7/6/3076464/census20general20report20-202920march202013_combined_final20for20printing1.pdf Sensa ya 2012, Katavi - Mpanda District Council]</ref>, wengi wao wakiwa [[Wachagga]] kutoka [[mkoa wa Kilimanjaro]] waliohamishiwa hapo na [[Mwalimu Nyerere]] mwanzoni mwa [[miaka ya 1970]].
<ref>[http://www.wavuti.weebly.com/uploads/3/0/7/6/3076464/census20general20report20-202920march202013_combined_final20for20printing1.pdf Sensa ya 2012, Katavi - Mpanda District Council]</ref>


Kata ya Mwese inashabihiana na mkoa wa Kilimanjaro kuanzia [[kilimo]] cha [[migomba]] na [[kahawa]]. Katika kata ya Mwese pia wanatumia [[vinywaji]] maarufu vinavyopatikana Kilimanjaro kama vile [[mbege]].


Pia wapo wachache wanaotokana na [[kabila]] la [[Watutsi]] waliopokea [[uraia]] na [[Wakikuyu]] ambao walibakia Tanznaia baada ya [[Uhuru]].
Kata ya Mwese ilianzishwa na Wachgga waliopelekwa hapa na serikali ya Julius Nyerere kwenye miaka ya mwanzo ya 1970 walioleta kilimo cha [[migomba]] na [[kahawa]].

Pia wapo wachache wanaotokana na kabila la [[Watutsi]] waliopokea uraia na Wakikuyu ambao walibakia Tanznaia baada ya Uhuru.

Kwenye kata ya Mwese kuna moto ambao unajulikana kama Mto Mapacha ambao unaaminika kuwa wanaokunywa maji yake basi wakikutana wana uwezekano mkubwa wa kupata mapacha.

Katika kata ya Mwese pia wanatumia vinywaji maarufu vinavyopatikana Kilimanjaro kama [[mbege]] .


Kwenye kata ya Mwese kuna [[mto]] ambao unajulikana kama [[Mto Mapacha]] ambao unaaminika kuwa wanaokunywa [[maji]] yake basi wakikutana wana uwezekano mkubwa wa kupata watoto pacha.


==Marejeo==
==Marejeo==
{{marejeo}}
{{marejeo}}


{{Kata za Wilaya ya Wilaya ya Mpanda Vijijini}}
{{Mbegu-jio-katavi}}
{{Mbegu-jio-katavi}}
{{Kata za Wilaya ya Wilaya ya Mpanda Vijijini}}

[[Jamii:Mkoa wa Katavi]]
[[Jamii:Mkoa wa Katavi]]
[[Jamii:Wilaya ya Mpanda Vijijini]]
[[Jamii:Wilaya ya Mpanda Vijijini]]

Pitio la 12:17, 18 Oktoba 2019


Kata ya Mwese
Nchi Tanzania
Mkoa Rukwa
Wilaya Mpanda
Idadi ya wakazi
 - Wakazi kwa ujumla 7,520

Mwese ni kata ya Wilaya ya Mpanda Vijijini katika Mkoa wa Katavi, Tanzania. Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2012, kata ilikuwa na wakazi wapatao 7,520 waishio humo[1], wengi wao wakiwa Wachagga kutoka mkoa wa Kilimanjaro waliohamishiwa hapo na Mwalimu Nyerere mwanzoni mwa miaka ya 1970.

Kata ya Mwese inashabihiana na mkoa wa Kilimanjaro kuanzia kilimo cha migomba na kahawa. Katika kata ya Mwese pia wanatumia vinywaji maarufu vinavyopatikana Kilimanjaro kama vile mbege.

Pia wapo wachache wanaotokana na kabila la Watutsi waliopokea uraia na Wakikuyu ambao walibakia Tanznaia baada ya Uhuru.

Kwenye kata ya Mwese kuna mto ambao unajulikana kama Mto Mapacha ambao unaaminika kuwa wanaokunywa maji yake basi wakikutana wana uwezekano mkubwa wa kupata watoto pacha.

Marejeo

Kigezo:Kata za Wilaya ya Wilaya ya Mpanda Vijijini

Makala hii kuhusu maeneo ya Mkoa wa Katavi bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu eneo hilo kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Tafadhali usiingize majina ya maafisa au viongozi wa sasa maana wanabadilika mno.