Mwese : Tofauti kati ya masahihisho
No edit summary Tags: Mobile edit Mobile web edit |
No edit summary |
||
Mstari 18: | Mstari 18: | ||
}} |
}} |
||
'''Mwese''' ni |
'''Mwese''' ni [[kata]] ya [[Wilaya ya Mpanda Vijijini]] katika [[Mkoa wa Katavi]], [[Tanzania]]. Kwa mujibu wa [[sensa]] iliyofanyika [[mwaka]] wa [[2012]], kata ilikuwa na wakazi wapatao 7,520 waishio humo<ref>[http://www.wavuti.weebly.com/uploads/3/0/7/6/3076464/census20general20report20-202920march202013_combined_final20for20printing1.pdf Sensa ya 2012, Katavi - Mpanda District Council]</ref>, wengi wao wakiwa [[Wachagga]] kutoka [[mkoa wa Kilimanjaro]] waliohamishiwa hapo na [[Mwalimu Nyerere]] mwanzoni mwa [[miaka ya 1970]]. |
||
Wengi wao wakiwa Wacchagga KUtoka mkoa wa KILIMANJARO waliohamishiwa hapo na Mwalimu Nyerere miaka ya 1970. |
|||
Kata ya |
Kata ya Mwese inashabihiana na mkoa wa Kilimanjaro kuanzia [[kilimo]] cha [[migomba]] na [[kahawa]]. Katika kata ya Mwese pia wanatumia [[vinywaji]] maarufu vinavyopatikana Kilimanjaro kama vile [[mbege]]. |
||
Pia wapo wachache wanaotokana na kabila la Watutsi |
Pia wapo wachache wanaotokana na [[kabila]] la [[Watutsi]] na [[Wakikuyu]] ambao walibakia Tanzania baada ya [[Uhuru]]. |
||
Kati ya vivutio vya kitalii kwenye kata ya Mwese kuna [[mto]] ambao unajulikana kama [[Mto Mapacha]] ambao unaaminika kuwa wanaokunywa [[maji]] yake basi wakikutana wana uwezekano mkubwa wa kupata [[watoto]] [[Mapacha|pacha]]; sehemu kubwa ya wakazi wa Mwese wamebarikiwa mapacha. |
|||
Katika kata ya Mwese pia wanatumia vinywaji maarufu vinavyopatikana KILIMANJARO kama Mbegge . |
|||
<ref>[http://www.wavuti.weebly.com/uploads/3/0/7/6/3076464/census20general20report20-202920march202013_combined_final20for20printing1.pdf Sensa ya 2012, Katavi - Mpanda District Council]</ref> |
|||
==Marejeo== |
==Marejeo== |
||
{{marejeo}} |
{{marejeo}} |
||
{{Mbegu-jio-katavi}} |
{{Mbegu-jio-katavi}} |
||
{{Kata za Wilaya ya Wilaya ya Mpanda Vijijini}} |
{{Kata za Wilaya ya Wilaya ya Mpanda Vijijini}} |
Pitio la 08:05, 13 Oktoba 2019
Kata ya Mwese | |
Nchi | Tanzania |
---|---|
Mkoa | Rukwa |
Wilaya | Mpanda |
Idadi ya wakazi | |
- Wakazi kwa ujumla | 7,520 |
Mwese ni kata ya Wilaya ya Mpanda Vijijini katika Mkoa wa Katavi, Tanzania. Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2012, kata ilikuwa na wakazi wapatao 7,520 waishio humo[1], wengi wao wakiwa Wachagga kutoka mkoa wa Kilimanjaro waliohamishiwa hapo na Mwalimu Nyerere mwanzoni mwa miaka ya 1970.
Kata ya Mwese inashabihiana na mkoa wa Kilimanjaro kuanzia kilimo cha migomba na kahawa. Katika kata ya Mwese pia wanatumia vinywaji maarufu vinavyopatikana Kilimanjaro kama vile mbege.
Pia wapo wachache wanaotokana na kabila la Watutsi na Wakikuyu ambao walibakia Tanzania baada ya Uhuru.
Kati ya vivutio vya kitalii kwenye kata ya Mwese kuna mto ambao unajulikana kama Mto Mapacha ambao unaaminika kuwa wanaokunywa maji yake basi wakikutana wana uwezekano mkubwa wa kupata watoto pacha; sehemu kubwa ya wakazi wa Mwese wamebarikiwa mapacha.
Marejeo
Makala hii kuhusu maeneo ya Mkoa wa Katavi bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu eneo hilo kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. Tafadhali usiingize majina ya maafisa au viongozi wa sasa maana wanabadilika mno. |