Palau : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
No edit summary
No edit summary
Mstari 4: Mstari 4:
|common_name = Palau
|common_name = Palau
|image_flag = Flag of Palau.svg
|image_flag = Flag of Palau.svg
|image_coat =Coat_of_arms_of_Palau.gif
|image_coat = Seal of Palau.svg
|image_map = LocationPalau.png
|image_map = LocationPalau.png
|national_motto =
|national_motto =

Pitio la 22:17, 12 Oktoba 2019

Palau


Ramani ya Palau

Palau (kwa Kipalau: Belau) ni nchi ya visiwani ya Mikronesia katika Bahari ya Pasifiki. Iko takriban km 500 upande wa mashariki wa Ufilipino.

Jumla kuna visiwa 250 hadi 350: idadi inategemea namna gani mtazamaji anapendelea kuhesabu sehemu ya nchi kavu kuwa kisiwa kufuatana na ukubwa au udogo wake. Visiwa tisa vimekaliwa na watu na kisiwa kikubwa chenye km² 331 ni Babelthuap.

Hadi mwaka 1994 ilikuwa nchi lindwa chini ya Marekani kwa niaba ya Umoja wa Mataifa. Marekani inaendelea kuwajibika kwa mambo ya kijeshi kufuatana na mkataba uliofanywa baada ya uhuru.

Mji mkuu ni Melekeok kwenye kisiwa cha Babelthuap.

Wakazi ni 18,000 hivi, ambao 70% ni wenyeji wenye asili mchanganyiko kutoka visiwa vya Pasifiki.

Kuna lugha tano ambazo huzungumzwa nchini Palau.

Upande wa dini, 49.5% ni Wakatoliki, 21.3% Waprotestanti mbali ya 5.3% ambao ni Waadventista Wasabato. 8.7% wanafuata dini ya Modekngei ambayo inachanganya Ukristo na dini ya jadi.

Mikoa 16 ya Palau

Tazama pia


Makala hii kuhusu eneo fulani bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu eneo hilo kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Je, unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.


Usitaje majina ya madiwani na viongozi au maafisa wengine wa sasa maana wanabadilika haraka mno.