Shemasi : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
Addbot (majadiliano | michango)
d Bot: Migrating 51 interwiki links, now provided by Wikidata on d:q161944 (translate me)
Holder (majadiliano | michango)
d corr using AWB
Mstari 1: Mstari 1:
Shemasi ni kiongozi wa [[Kanisa]] anayeunganisha wenye daraja za juu na walei. Ushemasi ni daraja ya tatu na ya mwisho katika [[Kanisa Katoliki]] na madhehebu mengine kadhaa. Unatolewa na [[Askofu]] kwa kumwekea mtu mikono na kumuombea ili atoe huduma ya Neno la Mungu, ya liturujia na ya upendo. Unaweza kutolewa kwa namna ya kudumu au kama hatua ya kuelekea daraja ya [[upadri]].
Shemasi ni kiongozi wa [[Kanisa]] anayeunganisha wenye daraja za juu na walei. Ushemasi ni daraja ya tatu na ya mwisho katika [[Kanisa Katoliki]] na madhehebu mengine kadhaa. Unatolewa na [[Askofu]] kwa kumwekea mtu mikono na kumuombea ili atoe huduma ya Neno la Mungu, ya liturujia na ya upendo. Unaweza kutolewa kwa namna ya kudumu au kama hatua ya kuelekea daraja ya [[upadri]].


[[Jamii: Dini]]
[[Jamii:Dini]]
[[Jamii: Ukristo]]
[[Jamii:Ukristo]]
[[Jamii: Kanisa]]
[[Jamii:Kanisa]]
[[Jamii: Kanisa Katoliki]]
[[Jamii:Kanisa Katoliki]]

Pitio la 09:18, 3 Oktoba 2019

Shemasi ni kiongozi wa Kanisa anayeunganisha wenye daraja za juu na walei. Ushemasi ni daraja ya tatu na ya mwisho katika Kanisa Katoliki na madhehebu mengine kadhaa. Unatolewa na Askofu kwa kumwekea mtu mikono na kumuombea ili atoe huduma ya Neno la Mungu, ya liturujia na ya upendo. Unaweza kutolewa kwa namna ya kudumu au kama hatua ya kuelekea daraja ya upadri.