Lugha ya kuundwa : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
No edit summary
Mstari 4: Mstari 4:


Mara chache '''lugha ya kuundwa''' maana yake ni lugha za [[kompyuta]] au za kuandaa [[programu]] (angalia [[lugha asilia]]). Kwa sababu ya [[utata]] huo watu wengi, hasa [[Kiesperanto|Waesperanto]], hawapendi kutumia neno ''lugha ya kuundwa'', na badala yake wanasema ''[[lugha ya kupangwa]]''. Msemo ''lugha ya kupangwa'' unatumika kwa lugha zile tu ambazo ziliundwa kwa ajili ya utumiaji wa kawaida baina ya watu, kama [[Kiesperanto]].
Mara chache '''lugha ya kuundwa''' maana yake ni lugha za [[kompyuta]] au za kuandaa [[programu]] (angalia [[lugha asilia]]). Kwa sababu ya [[utata]] huo watu wengi, hasa [[Kiesperanto|Waesperanto]], hawapendi kutumia neno ''lugha ya kuundwa'', na badala yake wanasema ''[[lugha ya kupangwa]]''. Msemo ''lugha ya kupangwa'' unatumika kwa lugha zile tu ambazo ziliundwa kwa ajili ya utumiaji wa kawaida baina ya watu, kama [[Kiesperanto]].

= Lugha ya ubadirishi =
==T.E.D..net Subtitles - swa==
*https://www.ted.com › participate › translate › our-translators › swahili


== Marejeo ==
== Marejeo ==

Pitio la 15:34, 1 Oktoba 2019

Lugha ya kuundwa (au lugha unde) ni lugha ambayo misamiati na sarufi zake zimetungwa na watu badala ya kukua kama sehemu ya utamaduni wa umma fulani. Kwa kawaida zinaundwa kwa ajili ya kuwasiliana kati ya watu sawasawa na lugha asilia. Nyingi zinatengenezwa ili kuwa lugha saidizi za kimataifa, lakini nyingine zinaundwa kwa ajili ya usiri au majaribio ya isimu au bila sababu fulani.

Lugha ya kuundwa inayozungumzwa zaidi ni Kiesperanto.

Mara chache lugha ya kuundwa maana yake ni lugha za kompyuta au za kuandaa programu (angalia lugha asilia). Kwa sababu ya utata huo watu wengi, hasa Waesperanto, hawapendi kutumia neno lugha ya kuundwa, na badala yake wanasema lugha ya kupangwa. Msemo lugha ya kupangwa unatumika kwa lugha zile tu ambazo ziliundwa kwa ajili ya utumiaji wa kawaida baina ya watu, kama Kiesperanto.

Lugha ya ubadirishi

T.E.D..net Subtitles - swa

Marejeo

  • TUKI 1990, "Kamusi Sanifu ya Isimu na Lugha", Chuo Kikuu cha Dar es Salaam
  • Massamba, David 2004, "Kamusi ya Isimu na Falsafa ya Lugha", Chuo Kikuu cha Dar es Salaam
Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Lugha ya kuundwa kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.