Korongo (Gruidae) : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
Badiliko la jamii
Nyongeza subdivision kwenye sanduku
Mstari 9: Mstari 9:
| nusufaila = [[Vertebrata]] (Wanyama wenye uti wa mgongo)
| nusufaila = [[Vertebrata]] (Wanyama wenye uti wa mgongo)
| ngeli = [[Ndege|Aves]] (Ndege)
| ngeli = [[Ndege|Aves]] (Ndege)
| oda = [[Gruiformes]] (Ndege kama [[korongo (Gruidae)|makorongo]])
| oda = [[Gruiformes]] (Ndege kama [[korongo (Gruidae)|korongo]])
| familia = [[Gruidae]] (Ndege walio na mnasaba na makorongo)
| familia = [[Gruidae]] (Ndege walio na mnasaba na korongo)
| bingwa_wa_familia = [[Nicholas Aylward Vigors|Vigors]], 1825
| bingwa_wa_familia = [[Nicholas Aylward Vigors|Vigors]], 1825
| subdivision = '''Jenasi 4:'''
| jenasi = ''[[Anthropoides]]'' <small>[[Louis Jean Pierre Vieillot|Vieillot]], 1816</small><br />
''[[Balearica]]'' <small>[[Mathurin Jacques Brisson|Brisson]], 1760</small><br />
* ''[[Anthropoides]]'' <small>[[Louis Jean Pierre Vieillot|Vieillot]], 1816</small>
''[[Bugeranus]]'' <small>[[Constantin Wilhelm Lambert Gloger|Gloger]], 1841</small><br />
* ''[[Balearica]]'' <small>[[Mathurin Jacques Brisson|Brisson]], 1760</small>
''[[Grus]]'' <small>[[Mathurin Jacques Brisson|Brisson]], 1760</small><br />
* ''[[Bugeranus]]'' <small>[[Constantin Wilhelm Lambert Gloger|Gloger]], 1841</small>
* ''[[Grus]]'' <small>[[Mathurin Jacques Brisson|Brisson]], 1760</small>
}}
}}
'''Korongo''' hawa (pia '''mana''') ni [[ndege]] wa [[familia (biolojia)|familia]] ya [[Gruidae]] wenye domo fupi na jembamba kuliko lile la [[korongo (Ciconiidae)|korongo]] wa familia ya [[Ciconiidae]]. [[Spishi]] nyingi hufanya mikogo ya kubembeleza jike wakitoa sauti kubwa. Huugana kwa maishi yao yote. Spishi za nchi za halijoto wastani huhama kila mwaka kabla ya wakati wa baridi. Korongo hawa hupenda kuwa pamoja na huhama kwa makundi makubwa. Hula kila kitu kinachopatikana, kama [[panya]], [[mtambaazi|watambaazi]], [[amfibia]] au [[samaki]], hata [[nafaka]] na [[tunda|matunda]] madogo. Spishi za korongo zinatokea mabara yote ghairi ya [[Amerika ya Kusini]].
'''Korongo''' hawa (pia '''mana''') ni [[ndege]] wa [[familia (biolojia)|familia]] ya [[Gruidae]] wenye domo fupi na jembamba kuliko lile la [[korongo (Ciconiidae)|korongo]] wa familia ya [[Ciconiidae]]. [[Spishi]] nyingi hufanya mikogo ya kubembeleza jike wakitoa sauti kubwa. Huugana kwa maishi yao yote. Spishi za nchi za halijoto wastani huhama kila mwaka kabla ya wakati wa baridi. Korongo hawa hupenda kuwa pamoja na huhama kwa makundi makubwa. Hula kila kitu kinachopatikana, kama [[panya]], [[mtambaazi|watambaazi]], [[amfibia]] au [[samaki]], hata [[nafaka]] na [[tunda|matunda]] madogo. Spishi za korongo zinatokea mabara yote ghairi ya [[Amerika ya Kusini]].

Pitio la 11:22, 24 Agosti 2019

Korongo
Korongo-taji kijivu
Uainishaji wa kisayansi
Himaya: Animalia (Wanyama)
Faila: Chordata (Wanyama wenye ugwe wa neva mgongoni)
Nusufaila: Vertebrata (Wanyama wenye uti wa mgongo)
Ngeli: Aves (Ndege)
Oda: Gruiformes (Ndege kama korongo)
Familia: Gruidae (Ndege walio na mnasaba na korongo)
Vigors, 1825
Ngazi za chini

Jenasi 4:

Korongo hawa (pia mana) ni ndege wa familia ya Gruidae wenye domo fupi na jembamba kuliko lile la korongo wa familia ya Ciconiidae. Spishi nyingi hufanya mikogo ya kubembeleza jike wakitoa sauti kubwa. Huugana kwa maishi yao yote. Spishi za nchi za halijoto wastani huhama kila mwaka kabla ya wakati wa baridi. Korongo hawa hupenda kuwa pamoja na huhama kwa makundi makubwa. Hula kila kitu kinachopatikana, kama panya, watambaazi, amfibia au samaki, hata nafaka na matunda madogo. Spishi za korongo zinatokea mabara yote ghairi ya Amerika ya Kusini.

Spishi za Afrika

Spishi za mabara mengi

Picha