Usafiri : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
d Masahihisho aliyefanya 142.227.239.204 (Majadiliano) yalirejeshwa hadi sahihisho la mwisho na Riccardo Riccioni Tag: Rollback |
||
Mstari 2: | Mstari 2: | ||
[[Picha:DarEsSalaam-Skyline.jpg|thumb|right|Feri kwenye bandari ya [[Dar es Salaam]]]] |
[[Picha:DarEsSalaam-Skyline.jpg|thumb|right|Feri kwenye bandari ya [[Dar es Salaam]]]] |
||
[[Picha:Pia.b747-300.ap-bfx.may06.arp.jpg|thumb|right|Ndege ya [[Boeing 747-300]]]] |
[[Picha:Pia.b747-300.ap-bfx.may06.arp.jpg|thumb|right|Ndege ya [[Boeing 747-300]]]] |
||
https://en.wikipedia.org/wiki/Dar_es_Salaam#/media/File:Ship_dar.JPG |
|||
[[Picha:Dar_es_Salaam#/media/File:Ship_dar.JPG|thumb|right|Feri kwenye bandari ya [[Dar es Salaam]]]] |
|||
Dar_es_Salaam#/media/File:Ship_dar.JPG |
|||
'''Usafiri''' ni uhamisho wa [[watu]] au [[kitu|vitu]] na [[bidhaa]] kutoka mahali pamoja kwenda mahali pengine. |
'''Usafiri''' ni uhamisho wa [[watu]] au [[kitu|vitu]] na [[bidhaa]] kutoka mahali pamoja kwenda mahali pengine. |
Pitio la 13:03, 15 Agosti 2019
Usafiri ni uhamisho wa watu au vitu na bidhaa kutoka mahali pamoja kwenda mahali pengine.
Usafiri unakuja pamoja na muundombinu kama njia za usafiri, vyombo vya usafiri na wahusika wake kama makampuni, shirika na abiria.
Njia za usafiri
Njia za usafiri hutofautishwa kufuatana na aina yake kama ni:
- usafiri wa nchi kavu kwa kutumia barabara au reli
- usafiri wa majini kwa kutumia bahari, maziwa, mito na mifereji
- usafiri wa hewani kwa kutumia vyomboanga na viwanja vya ndege
- usafiri wa mabomba ambayo husafirisha maji, gesi na mafuta.
Vyombo vya usafiri
Vyombo vya usafiri hulingana na njia zinazotumia.
Usafiri wa nchini hutumia motokaa, treni, baisikeli au pikipiki.
Usafiri wa majini hutumia meli, boti, jahazi na mengine
Usafiri wa hewani hutumia ndege, helikopta au ndegeputo
Faida ya usafiri
- Husaidia katika kufikisha haraka vyakula au matunda yanayooza mapema.
- Husaidia kufikisha haraka habari zilizo kwenye majarida n.k.
- Huwezesha mahusiano kati ya nchi na nchi.
- Husaidia biashara za masafa marefu kuendelea.
- Pia husaidia katika maendeleo ya nchi (kimapato)
Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |