Mtakatifu Marko : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
Mstari 14: | Mstari 14: | ||
*[[Watakatifu wa Agano la Kale]] |
*[[Watakatifu wa Agano la Kale]] |
||
*[[Orodha ya Watakatifu Wakristo]] |
*[[Orodha ya Watakatifu Wakristo]] |
||
*[[Orodha ya Watakatifu wa Afrika]] |
|||
*[[Orodha ya Watakatifu Wafransisko]] |
*[[Orodha ya Watakatifu Wafransisko]] |
||
Pitio la 09:16, 1 Agosti 2019
Mtakatifu Marko (kwa Kilatini Mārcus; kwa Kigiriki Μᾶρκος) aliishi katika karne ya 1 BK. Alikuwa Myahudi wa Yerusalemu aliyeongokea mapema Ukristo pamoja na Maria mama yake. Kanisa la kwanza lilikuwa linakusanyika nyumbani mwao.
Alifanya kazi na mitume Paulo na Barnaba katika kuhubiri Injili huko Kupro na Uturuki wa leo.
Baadaye alikuwa na Mtume Petro na Paulo katika mji wa Roma hadi walipouawa na serikali ya Kaisari Nero (dhuluma ya miaka 64-68).
Ndipo alipoamua kuandika Injili ya kwanza, iliyotumiwa na kufuatwa na Mtume Mathayo na Mwinjili Luka, ingawa katika orodha za Biblia inashika nafasi ya pili.
Kadiri ya mapokeo alifariki wakati akifanya kazi hiyo huko Alexandria nchini Misri.
Tazama pia
- Watakatifu wa Agano la Kale
- Orodha ya Watakatifu Wakristo
- Orodha ya Watakatifu wa Afrika
- Orodha ya Watakatifu Wafransisko
Marejeo
- "The Apostle and Evangelist Mark (40–62)". Official web site of the Greek Orthodox Patriarchate of Alexandria and All Africa. Iliwekwa mnamo 2011-02-07.
Viungo vya nje
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
- The Life, Miracles and Martyrdom of St. Mark the Evangelist of Jesus Christ
- H.B. Swete, 'St. Mark in the New Testament'
- H.B. Swete, 'St. Mark in Early Tradition'
- St. Mark the Apostle, Evangelist, and Preacher of the Christian Faith in Africa
- Joseph MacRory (1913). "St. Mark". Catholic Encyclopedia. New York: Robert Appleton Company.
- Apostle Mark the Evangelist of the Seventy Orthodox icon and synaxarion
Makala hii kuhusu mambo ya Biblia bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mtakatifu Marko kama historia yake au athari wake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |