Krispino wa Viterbo : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
|||
Mstari 9: | Mstari 9: | ||
*[[Watakatifu wa Agano la Kale]] |
*[[Watakatifu wa Agano la Kale]] |
||
*[[Orodha ya Watakatifu Wakristo]] |
*[[Orodha ya Watakatifu Wakristo]] |
||
*[[Orodha ya Watakatifu wa Afrika]] |
|||
*[[Orodha ya Watakatifu Wafransisko]] |
*[[Orodha ya Watakatifu Wafransisko]] |
||
Pitio la 11:15, 31 Julai 2019
Krispino wa Viterbo (13 Novemba 1668 – 19 Mei 1750) alikuwa bradha wa shirika la Ndugu Wadogo Wakapuchini.
Mtu asiye na elimu, alijiwekea lengo la kulingana na bradha Felix wa Cantalice, mtakatifu wa kwanza wa shirika lake.
Alitangazwa mwenye heri na Papa Pius VII tarehe 7 Septemba 1806, akawa mtakatifu wa kwanza kutangazwa na Papa Yohane Paulo II (20 Juni 1982).
Tazama pia
- Watakatifu wa Agano la Kale
- Orodha ya Watakatifu Wakristo
- Orodha ya Watakatifu wa Afrika
- Orodha ya Watakatifu Wafransisko
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |