Dionysius Mwareopago : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
Mstari 14: Mstari 14:
*[[Watakatifu wa Agano la Kale]]
*[[Watakatifu wa Agano la Kale]]
*[[Orodha ya Watakatifu Wakristo]]
*[[Orodha ya Watakatifu Wakristo]]
*[[Orodha ya Watakatifu wa Afrika]]
*[[Orodha ya Watakatifu Wafransisko]]
*[[Orodha ya Watakatifu Wafransisko]]



Pitio la 09:09, 30 Julai 2019

Picha takatifu ya Mt. Dionysius kutoka Ugiriki.

Dionysius Mwareopago (kwa Kigiriki Διονύσιος ὁ Ἀρεοπαγίτης) aliishi Athene, Ugiriki, katika karne ya 1.

Umaarufu wake umetokana na Mdo 17:34 kusimulia kwamba alikuwa kati ya wachache waliosadiki hotuba aliyoitoa Mtume Paulo katika Areopago kuhusu Kristo na ufufuko.

Mapokeo yanasema akawa askofu wa kwanza wa Athene.[1]

Umaarufu uliongezeka baada ya mtu asiyejulikana kutoka Siria kuandika vitabu mbalimbali akitumia jina la Dyonisius huyo mwanzoni mwa karne ya 6.

Anaheshimiwa kama mtakatifu mfiadini.

Tazama pia

Opera omnia, 1756

Tanbihi

  1. Eusebius, Historia Ecclesiae III: iv

Marejeo

  • Owen Gingerich, The Book Nobody Read, Penguin Books, 2004, pp. 190–191

Viungo vya nje

Makala hii kuhusu mtu wa Biblia bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Dionysius Mwareopago kama habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.