Harmonize : Tofauti kati ya masahihisho
d nimebadilisha ili kuongeza taarifa |
No edit summary |
||
Mstari 1: | Mstari 1: | ||
{{Infobox musical artist|thumb|Jina=Harmonize|Img=|Img_capt=|Background=solo_singer|Jina la kuzaliwa=Rajab Abdul Kahali|Pia anajulikana kama=Harmonize|Amezaliwa={{birth date and age|1994|4|15|df=yes}}|Asili yake=[[Mtwara]],[[Tanzania]]|Ala=[[Piano]], [[Mwimbaji|sauti]]|Aina=[[Bongo Flava]],''Afro Pop''|Kazi yake=[[Mwimbaji]]-[[mtunzi wa nyimbo|mtunzi]], [[mtayarishaji wa rekodi]]|Miaka ya kazi=2011–mpaka sasa|Studio=[[Wasafi Records]]|Ameshirikiana na=[[Rayvanny]], [[Diamond Platnumz]]|Tovuti=[http://www.djlytmas.blogspot.com/ Tovuti Halisi]}}'''Harmonize''' (kwa [[jina]] lake halisi '''Rajab Abdul Kahali''';amezaliwa [[15 Aprili]] [[1994]] ni [[mwimbaji]] na mtunzi wa muziki kutoka [[Tanzania]]. Harmonize ana asili ya mkoa |
{{Infobox musical artist|thumb|Jina=Harmonize|Img=|Img_capt=|Background=solo_singer|Jina la kuzaliwa=Rajab Abdul Kahali|Pia anajulikana kama=Harmonize|Amezaliwa={{birth date and age|1994|4|15|df=yes}}|Asili yake=[[Mtwara]],[[Tanzania]]|Ala=[[Piano]], [[Mwimbaji|sauti]]|Aina=[[Bongo Flava]],''Afro Pop''|Kazi yake=[[Mwimbaji]]-[[mtunzi wa nyimbo|mtunzi]], [[mtayarishaji wa rekodi]]|Miaka ya kazi=2011–mpaka sasa|Studio=[[Wasafi Records]]|Ameshirikiana na=[[Rayvanny]], [[Diamond Platnumz]]|Tovuti=[http://www.djlytmas.blogspot.com/ Tovuti Halisi]}} |
||
'''Harmonize''' (kwa [[jina]] lake halisi '''Rajab Abdul Kahali'''; mara kadhaa hujiita "Konde Boy"; amezaliwa [[15 Aprili]] [[1994]]) ni [[mwimbaji]] na [[mtunzi]] wa [[muziki]] kutoka [[Tanzania]]. |
|||
Harmonize ana asili ya [[mkoa wa Mtwara]]. Alianza kuvuma kwa kibao chake cha kwanza cha "[[Aiyola]]" (2015), [[Bado]] (2016), [[Matatizo]] (2016) na baadaye akatoa nyimbo na msanii mwenzie kutoka lebo moja ya wcb ambaye ni [[Diamond Platnumz]]. |
|||
Kwangalu ni wimbo ambao ulibamba karibia maeneo yote ya East Afrika na akatoa kibao kingine kiitwacho inama nyimbo ambayo aliimba na msanii kutoka nje ya tanzania ambaye anaitwa burma na dimond platnimz alikuwepo kwenye uo wimbo na sasa hivi anatamba na kibao kiitwacho never give up wimbo ambao unaelezea historia ya maisha yake kuanzia alivyo kuwa na maisha magumu sana Harmonize anasimamiwa na [[Joel V. Joseph|Joel Joseph]] au kwa jina lingine Mr Puaz |
|||
==Maisha ya Awali== |
==Maisha ya Awali== |
Pitio la 14:40, 28 Julai 2019
Harmonize | |
---|---|
Jina la kuzaliwa | Rajab Abdul Kahali |
Pia anajulikana kama | Harmonize |
Amezaliwa | 15 Aprili 1994 |
Asili yake | Mtwara,Tanzania |
Aina ya muziki | Bongo Flava,Afro Pop |
Kazi yake | Mwimbaji-mtunzi, mtayarishaji wa rekodi |
Ala | Piano, sauti |
Miaka ya kazi | 2011–mpaka sasa |
Studio | Wasafi Records |
Ame/Wameshirikiana na | Rayvanny, Diamond Platnumz |
Tovuti | Tovuti Halisi |
Harmonize (kwa jina lake halisi Rajab Abdul Kahali; mara kadhaa hujiita "Konde Boy"; amezaliwa 15 Aprili 1994) ni mwimbaji na mtunzi wa muziki kutoka Tanzania.
Harmonize ana asili ya mkoa wa Mtwara. Alianza kuvuma kwa kibao chake cha kwanza cha "Aiyola" (2015), Bado (2016), Matatizo (2016) na baadaye akatoa nyimbo na msanii mwenzie kutoka lebo moja ya wcb ambaye ni Diamond Platnumz.
Kwangalu ni wimbo ambao ulibamba karibia maeneo yote ya East Afrika na akatoa kibao kingine kiitwacho inama nyimbo ambayo aliimba na msanii kutoka nje ya tanzania ambaye anaitwa burma na dimond platnimz alikuwepo kwenye uo wimbo na sasa hivi anatamba na kibao kiitwacho never give up wimbo ambao unaelezea historia ya maisha yake kuanzia alivyo kuwa na maisha magumu sana Harmonize anasimamiwa na Joel Joseph au kwa jina lingine Mr Puaz
Maisha ya Awali
harmonize mwanzoni alibeba maji ili kupata tonge la chakula kabla ya sauti yake kutambulika mitaani kisha baadae kuchukuliwa na lebo ya Diamond platnumz.
Diskografia
Nambari | Mada ya wimbo | Mwaka |
---|---|---|
1. | "Aiyola" | 2015[1] |
2. | "Bado"ft Diamond Platnumz | 2016 |
3. | "Matatizo" | 2017 |
4. | "Happy Birthday" | 2017 |
5. | "Sina" | 2017 |
Tuzo na teuzi
Mwaka | Kazi iliyoteuliwa | Tuzo | Matokeo |
---|---|---|---|
2016 | Bado Ft Diamond Platnumz | WatsUp TV Tuzo la Video Bora zaidi ya Mwimbaji Chipukizi | Ameshinda[2] |
Yeye Mwenyewe | African Muzik Magazine Awards (AFRIMMA) kwa Mwimbaji Chipukizi | Ameshinda[3] | |
African Entertainment Awards (AEAUSA) kwa Msanii Chipukizi Bora zaidi | Ameshinda[4] |
Tanbihi
- ↑ "Harmonize on Apple Music". iTunes (kwa en-us). Iliwekwa mnamo 2017-09-07.
- ↑ http://www.beeniewords.com/full-list-of-winners-watsup-tv-africa-music-video-awards-2016/
- ↑ "Full List Of The AFRIMMA Awards 2016 Winners - HBR 103.5FM". 17 October 2016. Check date values in:
|date=
(help) - ↑ "African Entertainment Awards USA Full Nominees List". 2 September 2016. Check date values in:
|date=
(help)
Makala hii kuhusu mwanamuziki/wanamuziki fulani wa Tanzania bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Harmonize kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |