Waraka kwa Wakolosai : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
No edit summary
No edit summary
Mstari 1: Mstari 1:
{{Agano Jipya}}
{{Agano Jipya}}
[[File:Harleianus 5557 (first page of Colossians).jpg|thumb|right|220px|[[Ukurasa]] wa kwanza wa [[waraka]] huu katika [[gombo]] [[Minuscule 321]].]]
[[File:Harleianus 5557 (first page of Colossians).jpg|thumb|right|220px|[[Ukurasa]] wa kwanza wa [[waraka]] huu katika [[gombo]] [[Minuscule 321]].]]
'''Waraka kwa [[Wakolosai]]''' ni kati ya [[vitabu]] 27 vya [[Agano Jipya]] ambalo pamoja na [[Agano la Kale]] linaunda [[Biblia]] ya [[Wakristo]].
'''Waraka kwa Wakolosai''' ni kati ya [[vitabu]] 27 vya [[Agano Jipya]] ambalo pamoja na [[Agano la Kale]] linaunda [[Biblia]] ya [[Wakristo]].


Kama vitabu vingine vyote vya [[Biblia]], hiki pia kinatakiwa kisomwe katika mfululizo wa [[historia ya wokovu]] ili kukielewa kadiri ya maendeleo ya [[ufunuo]] wa [[Mungu]] kwa [[binadamu]].
Kama vitabu vingine vyote vya [[Biblia]], hiki pia kinatakiwa kisomwe katika mfululizo wa [[historia ya wokovu]] ili kukielewa kadiri ya [[maendeleo]] ya [[ufunuo]] wa [[Mungu]] kwa [[binadamu]].


== Muda wa uandishi ==
== Muda wa uandishi ==
[[Barua]] hiyo ni mojawapo kati ya zile za mwishomwisho za [[Mtume Paulo]] na inaonyesha maendeleo ya [[teolojia]] yake, hasa kutokana na muda mrefu wa kutafakari aliojaliwa kifungoni.
[[Barua]] hiyo ni mojawapo kati ya zile za mwishomwisho za [[Mtume Paulo]] na inaonyesha maendeleo ya [[teolojia]] yake, hasa kutokana na [[muda]] mrefu wa kutafakari aliojaliwa kifungoni.


== Mazingira ==
== Mazingira ==
[[Kanisa]] la [[Kolosai]], mji wa biashara karibu na [[Efeso]] lilianzishwa na mwanafunzi wa Paulo, labda [[Epafra]], halafu likaingiwa na mafundisho ya ajabuajabu yaliyochanganya mambo ya [[Kiyahudi]] na ya Kipagani na yaliyozingatia mno ukuu wa [[malaika]] juu ya ulimwengu.
[[Kanisa]] la [[Kolosai]], [[mji]] wa [[biashara]] karibu na [[Efeso]] lilianzishwa na [[mwanafunzi]] wa Paulo, labda [[Epafra]], halafu likaingiwa na mafundisho ya ajabuajabu yaliyochanganya mambo ya [[Kiyahudi]] na ya [[Upagani|Kipagani]] na yaliyozingatia mno ukuu wa [[malaika]] juu ya [[ulimwengu]].


Ndiyo sababu huenda Paulo, akiwa kifungoni [[Roma]] kati ya miaka 61 na 63, akawajibika kuliandikia barua inayoonyesha kuwa [[Yesu Kristo]] ni mkuu kuliko wote: vyote kabisa viliumbwa kwa njia yake na kwa ajili yake, tena katika ubinadamu wake umo utimilifu wote wa [[Mungu]].
Ndiyo sababu huenda Paulo, akiwa kifungoni [[Roma]] kati ya miaka [[61]] na [[63]], akawajibika kuliandikia barua inayoonyesha kuwa [[Yesu Kristo]] ni mkuu kuliko wote: vyote kabisa viliumbwa kwa njia yake na kwa ajili yake, tena katika [[ubinadamu]] wake umo utimilifu wote wa [[Mungu]].


Yeye ndiye “[[fumbo]]” kwa kuwa Mungu ametimiza mpango wa [[wokovu]] kwa njia yake.
Yeye ndiye “[[fumbo]]” kwa kuwa Mungu ametimiza mpango wa [[wokovu]] kwa njia yake.


Hakuna sababu ya kutafuta kwingine [[hekima]] na maarifa, wala ya kujiwekea masharti ya kibinadamu yasiyosaidia kuokoka (Kol 1:13-29; 2:6-3:4; 3:5-17).
Hakuna sababu ya kutafuta kwingine [[hekima]] na [[maarifa]], wala ya kujiwekea masharti ya kibinadamu yasiyosaidia kuokoka (Kol 1:13-29; 2:6-3:4; 3:5-17).


== Mpangilio ==
== Mpangilio ==
Mpangilio wa barua ni kama kawaida ya barua za Paulo: utangulizi, mafundisho ya imani, maonyo kuhusu uzushi, mawaidha na hatima.
Mpangilio wa barua ni kama kawaida ya barua za Paulo: utangulizi, mafundisho ya [[imani]], maonyo kuhusu [[uzushi]], [[mawaidha]] na hatima.


==Marejeo==
==Marejeo==
Mstari 27: Mstari 27:


== Viungo vya nje ==
== Viungo vya nje ==
{{wikisource|Colossians (Bible)|Colossians}}
===Tafsiri ya Kiswahili===
{{wikiquote}}=

==Tafsiri ya Kiswahili===
* [http://www.intratext.com/IXT/SWA0013/_INDEX.HTM] Agano Jipya kwa lugha ya Kiswahili
* [http://www.intratext.com/IXT/SWA0013/_INDEX.HTM] Agano Jipya kwa lugha ya Kiswahili


===Vinginevyo===
===Vingine===
{{wikisource|Colossians (Bible)|Colossians}}
{{wikiquote}}
* [http://www.gospelhall.org/bible/bible.php?passage=Colossians+1 ''Online Bible'' at GospelHall.org]
* [http://www.gospelhall.org/bible/bible.php?passage=Colossians+1 ''Online Bible'' at GospelHall.org]
* [http://www.earlychristianwritings.com/colossians.html Collection of translations and commentary on Colossians]
* [http://www.earlychristianwritings.com/colossians.html Collection of translations and commentary on Colossians]
Mstari 39: Mstari 40:
[[Jamii:Vitabu vya Agano Jipya|Kol]]
[[Jamii:Vitabu vya Agano Jipya|Kol]]
[[Jamii:Mtume Paulo]]
[[Jamii:Mtume Paulo]]
[[Jamii:Kolosai]]

Pitio la 08:09, 28 Juni 2019

Agano Jipya

Ukurasa wa kwanza wa waraka huu katika gombo Minuscule 321.

Waraka kwa Wakolosai ni kati ya vitabu 27 vya Agano Jipya ambalo pamoja na Agano la Kale linaunda Biblia ya Wakristo.

Kama vitabu vingine vyote vya Biblia, hiki pia kinatakiwa kisomwe katika mfululizo wa historia ya wokovu ili kukielewa kadiri ya maendeleo ya ufunuo wa Mungu kwa binadamu.

Muda wa uandishi

Barua hiyo ni mojawapo kati ya zile za mwishomwisho za Mtume Paulo na inaonyesha maendeleo ya teolojia yake, hasa kutokana na muda mrefu wa kutafakari aliojaliwa kifungoni.

Mazingira

Kanisa la Kolosai, mji wa biashara karibu na Efeso lilianzishwa na mwanafunzi wa Paulo, labda Epafra, halafu likaingiwa na mafundisho ya ajabuajabu yaliyochanganya mambo ya Kiyahudi na ya Kipagani na yaliyozingatia mno ukuu wa malaika juu ya ulimwengu.

Ndiyo sababu huenda Paulo, akiwa kifungoni Roma kati ya miaka 61 na 63, akawajibika kuliandikia barua inayoonyesha kuwa Yesu Kristo ni mkuu kuliko wote: vyote kabisa viliumbwa kwa njia yake na kwa ajili yake, tena katika ubinadamu wake umo utimilifu wote wa Mungu.

Yeye ndiye “fumbo” kwa kuwa Mungu ametimiza mpango wa wokovu kwa njia yake.

Hakuna sababu ya kutafuta kwingine hekima na maarifa, wala ya kujiwekea masharti ya kibinadamu yasiyosaidia kuokoka (Kol 1:13-29; 2:6-3:4; 3:5-17).

Mpangilio

Mpangilio wa barua ni kama kawaida ya barua za Paulo: utangulizi, mafundisho ya imani, maonyo kuhusu uzushi, mawaidha na hatima.

Marejeo

  • R. McL. Wilson, Colossians and Philemon (International Critical Commentary; London: T&T Clark, 2005)
  • Jerry Sumney, Colossians (New Testament Library; Louisville; Ky.: Westminster John Knox, 2008)
  • TIB = The Interpreter’s Bible, The Holy Scriptures in the King James and Revised Standard versions with general articles and introduction, exegesis, [and] exposition for each book of the Bible in twelve volumes, George Arthur Buttrick, Commentary Editor, Walter Russell Bowie, Associate Editor of Exposition, Paul Scherer, Associate Editor of Exposition, John Knox Associate Editor of New Testament Introduction and Exegesis, Samuel Terrien, Associate Editor of Old Testament Introduction and Exegesis, Nolan B. Harmon Editor, Abingdon Press, copyright 1955 by Pierce and Washabaugh, set up printed, and bound by the Parthenon Press, at Nashville, Tennessee, Volume XI, Philippians, Colossians [Introduction and Exegesis by Francis W. Beare, Exposition by G. Preston MacLeod], Thessalonians, Pastoral Epistles [The First and Second Epistles to Timothy, and the Epistle to Titus], Philemon, Hebrews
  • TNJBC = The New Jerome Biblical Commentary, Edited by Raymond E. Brown, S.S., Union Theological Seminary, New York; NY, Maurya P. Horgan [Colossians]; Roland E. Murphy, O. Carm. (emeritus) The Divinity School, Duke University, Durham, NC, with a foreword by His Eminence Carlo Maria Cardinal Martini, S.J.; Prentice Hall, Englewood Cliffs, New Jersey, 1990

Viungo vya nje

Wikiquote ina mkusanyiko wa dondoo kuhusu:

=

Tafsiri ya Kiswahili=

  • [1] Agano Jipya kwa lugha ya Kiswahili

Vingine

Makala hii kuhusu mambo ya Agano Jipya bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Waraka kwa Wakolosai kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.