Marangu : Tofauti kati ya masahihisho
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika 'thumb|Lango la kuingia Kilimanjaro National Park. File:Marangu waterfalls.jpg|thumb|Maporomoko ya Maji ya M...' |
(Hakuna tofauti)
|
Pitio la 09:04, 26 Juni 2019
Marangu ni mji ulioko katika Mkoa wa Kilimanjaro.
Historia
Kabla ya uhuru mwaka 1961, mji wa Marangu ulikuwa ni makao makuu ya wilaya ya Vunjoiliyokuwa chini ya (Mangi Mwitori) Petro Itosi Marealle na (Mangi Mkuu) Thomas Marealle, aliyepewa ufalme mwaka 1951, ambaye aliishi katika mji wa Mosh. Neno "Marangu" linamaanisha mahali penye vijiti vingi vya maji. Mji huu ni kati ya maeneo maarufu nchini Tanzania.
Uchumi
Wakazi wengi wa Marangu ni wakulima wa ndizi, mboga za majani na kahawa. Hata hivyo, chanzo kikuu cha mapato ni utalii kutokana na Mlima Kilimanjaro na vivutio vingine.
Elimu
Shule mbalimbali na vyuo, kama vile Chuo cha Ualimu cha Marangu na Shule ya Washichana ya Ashira, ziko katika mji huu zikitoa huduma kwa wanafunzi toka maeneo mbalimbali ya Tanzania.
Tazama pia
Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |