Utendi : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
No edit summary
No edit summary
Mstari 1: Mstari 1:
'''Utendi''' (pia: '''utenzi'''; kutoka [[kitenzi]] "kutenda") ni aina ya [[ushairi]] na [[tanzu]] mojawapo ya [[fasihi simulizi]]. Kwa kawaida, utendi husimulia [[maisha]] na matendo ya mhusika [[shujaa]] au wa [[kisasili|visasili]].
'''Utendi''' (pia: '''utenzi'''; kutoka [[kitenzi]] "kutenda") ni aina ya [[ushairi]] na [[tanzu]] mojawapo ya [[fasihi simulizi]]. Kwa kawaida, utendi husimulia [[maisha]] na matendo ya mhusika [[shujaa]] au wa [[kisasili|visasili]]<ref>Knappert (1967)</ref>.


Maarufu katika [[fasihi]] ya [[Ulaya]], kuna tendi kama ''wimbo wa [[Troya]]'', ''wimbo wa [[Odisei]]'' na wimbo wa [[kabila]] la ''[[Nibelungi]]''; [[India]] kuna ''wimbo wa [[Mahabharata]]''; [[Afrika]] kuna ''[[utendi wa Sundiata]]'' na ''wimbo wa [[Oduduwa]]''. Hizo zote mara nyingi hudondolewa kama mifano ya utendi.
Maarufu katika [[fasihi]] ya [[Ulaya]], kuna tendi kama ''wimbo wa [[Troya]]'', ''wimbo wa [[Odisei]]'' na wimbo wa [[kabila]] la ''[[Nibelungi]]''; [[India]] kuna ''wimbo wa [[Mahabharata]]''; [[Afrika]] kuna ''[[utendi wa Sundiata]]'' na ''wimbo wa [[Oduduwa]]''. Hizo zote mara nyingi hudondolewa kama mifano ya utendi.
Mstari 7: Mstari 7:
Kwa [[Wakristo]] wanaotumia [[Kiswahili]] [[tahajia]] "utenzi" inataja hasa nyimbo za kiroho.
Kwa [[Wakristo]] wanaotumia [[Kiswahili]] [[tahajia]] "utenzi" inataja hasa nyimbo za kiroho.


==Tenzi za Kiswahili==
==Tenzi maarufu za Kiswahili==
* [[Utenzi wa Tambuka]] (kazi ya [[Bwana Mwengu]], [[karne ya 18]]
* [[Utenzi wa Tambuka]] ([[kazi]] ya [[Bwana Mwengu]], [[karne ya 18]]
* [[Utenzi wa Shufaka]] (mtunzi na wakati hawajulikani)
* [[Utenzi wa Shufaka]] ([[mtunzi]] na [[wakati]] hawajulikani)
* [[Utenzi wa Mwana Kupona]] (kazi ya [[Mwana Kupona]], [[karne ya 19]])
* [[Utenzi wa Mwana Kupona]] (kazi ya [[Mwana Kupona]], [[karne ya 19]])



Pitio la 14:15, 18 Juni 2019

Utendi (pia: utenzi; kutoka kitenzi "kutenda") ni aina ya ushairi na tanzu mojawapo ya fasihi simulizi. Kwa kawaida, utendi husimulia maisha na matendo ya mhusika shujaa au wa visasili[1].

Maarufu katika fasihi ya Ulaya, kuna tendi kama wimbo wa Troya, wimbo wa Odisei na wimbo wa kabila la Nibelungi; India kuna wimbo wa Mahabharata; Afrika kuna utendi wa Sundiata na wimbo wa Oduduwa. Hizo zote mara nyingi hudondolewa kama mifano ya utendi.

Siku hizi hata riwaya au filamu, hasa kama ni ndefu sana pamoja na wahusika wengi au nyakati nyingi, huitwa utendi.

Kwa Wakristo wanaotumia Kiswahili tahajia "utenzi" inataja hasa nyimbo za kiroho.

Tenzi maarufu za Kiswahili

Tanbihi

  1. Knappert (1967)

Marejeo

  • Jan Knappert (1967), Traditional Swahili Poetry: An Investigation into the Concepts of East African Islam as Reflected in the Utenzi Literature. Brill, Leida.
Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Utendi kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.