Adamawa (jimbo) : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
d roboti Nyongeza: yo:Ipinle Adamawa |
||
Mstari 23: | Mstari 23: | ||
[[pl:Adamawa (stan)]] |
[[pl:Adamawa (stan)]] |
||
[[sv:Adamawa]] |
[[sv:Adamawa]] |
||
[[yo:Ipinle Adamawa]] |
|||
[[zh:阿達馬瓦]] |
[[zh:阿達馬瓦]] |
Pitio la 14:13, 26 Januari 2008
Adamawa ni jimbo la kujitawala la Nigeria lenye wakazi milioni 3.7 (2005) na eneo la 36,917 km². Mji mkuu ni Yola na mji mkubwa ni Jimeta mwenye wakazi mit 248,166 (2005).
Jimbo liko katika mashariki ya Nigeria mpakani wa Kamerun. Limepakana na majimbo ya Borno, Gombe na Taraba.
Adamawa ilianzishwa mwaka 1976 kama jimbo kwa jina la Gongola kutokana maeneo ya jimbo la awali la Kaskazini-Mashariki. 1991 jina likabadilishwa kuwa Adamawa.
Abia | Abuja Federal Capital Territory | Adamawa | Akwa Ibom | Anambra | Bauchi | Bayelsa | Benue | Borno | Cross River | Delta | Ebonyi | Edo | Ekiti | Enugu | Gombe | Imo | Jigawa | Kaduna | Kano | Katsina | Kebbi | Kogi | Kwara | Lagos | Nasarawa | Niger | Ogun | Ondo | Osun | Oyo | Plateau | Rivers | Sokoto | Taraba | Yobe | Zamfara |