Kiolwa cha angani : Tofauti kati ya masahihisho
No edit summary |
d Protected "Kiolwa cha anga-nje" ([Kuhariri=Zuia watumiaji wapya au wale ambao hawajajisajilisha] (bila mwisho)) |
(Hakuna tofauti)
|
Pitio la 11:21, 28 Mei 2019
| |||||||
Mifano ya violwa vya angani |
Kiolwa cha anga-nje (pia: gimba la angani, ing. astronomical object au celestial body) ni jina kwa ajili ya vitu vinayopatikana katika anga ya ulimwengu.
Kati ya vitu hivi huhesabiwa:
- Jua
- Sayari
- Sayari kibete
- Miezi
- Vimondo (pia meteori au meteroidi)
- Asteroidi
- Nyotamkia
- Nyota
- Galaksi
- Nebula
- Mawingu katika anga
Hivi vyote ni violwa asilia. Vitu kwenye anga-nje vilivyotengenezwa na binadamu ni vyombo vya anga-nje. Hapa kuna swali kama mabaki kutokana na vyombyo vya anga-nje vilivyovunjika au takataka kutokana na safari za anga-nje yanastahili kuitwa kwa neno hili.
Elimu ya violwa vya anga-nje ni astronomia.
Makala hii kuhusu mambo ya sayansi bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Kiolwa cha angani kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |