Anatomia : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
No edit summary
Tags: Mobile edit Mobile web edit
Mstari 12: Mstari 12:
* [[Biolojia]]
* [[Biolojia]]
* [[Sayansi]]
* [[Sayansi]]

== Viungo vya nje ==
{{Sister project links | wikt=anatomy | commons=Category:Anatomy | b=Category:Anatomy | n=no | q=Category:Anatomy | s=Category:Anatomy | v=Topic:Anatomy | voy=no | species=no | d=Q514 | mw=no | display=Anatomy}}
* {{dmoz|Health/Medicine/Basic_Sciences/Anatomy}}
* [http://www.bbc.co.uk/podcasts/series/iots/all#playepisode115 Anatomy], ''[[In Our Time (BBC Radio 4)|In Our Time]]''. [[BBC Radio 4]]. [[Melvyn Bragg]] with guests Ruth Richardson, Andrew Cunningham and [[Harold Ellis (professor)|Harold Ellis]].
* [http://www.bartleby.com/107/ "Anatomy of the Human Body". 20th edition. 1918. Henry Gray]
* [https://anatomia.library.utoronto.ca Anatomia Collection: anatomical plates 1522 to 1867] (digitized books and images)
{{Sayansi}}
{{Sayansi}}
{{mbegu-anatomia}}
{{mbegu-anatomia}}

Pitio la 13:34, 24 Aprili 2019

Mondino dei Liuzzi, Anathomia, 1541

Anatomia (pia anatomi[1], en:anatomy, kutoka Kigiriki ἀνατέμνειν anatemnein - kupasua, kufungua) ni elimu ya miili ya viumbehai kama binadamu, wanyama na mimea. Inachungulia muundo na umbile la mwili na sehemu au viungo vyake.

Wataalamu wa anatomia hufungua mwili na kuikata kwa sehemu zake kwa kusudi la kuongeza elimu ya muundo wake.

Elimu hii inasaidia kuelewa magonjwa, pamoja na sababu na matokeo yake. Ni pia msingi wa mafundisho ya tiba na elimu ya matibabu.

Marejeo

  1. Anatomi ni pendekezo la KyT kutokana na matamshi ya Kiingereza

Tazama pia

Viungo vya nje

Makala hii kuhusu mambo ya anatomia bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Anatomia kama matumizi yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.