Joseph Butiku : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
No edit summary
No edit summary
Mstari 34: Mstari 34:


Alikuwa Katibu mkuu wa Chama cha Mapinduzi [[CCM]] kanda ya [[mkoa wa Mara]] na baadaye alikuwa Kamishna wa kikanda. <ref>https://www.juliusnyerere.org/uploads/nyerere_lifetime_legacy_joseph_butiku.pdf</ref>
Alikuwa Katibu mkuu wa Chama cha Mapinduzi [[CCM]] kanda ya [[mkoa wa Mara]] na baadaye alikuwa Kamishna wa kikanda. <ref>https://www.juliusnyerere.org/uploads/nyerere_lifetime_legacy_joseph_butiku.pdf</ref>

==Marejeo==
{{reflist}}
{{reflist}}
{{mbegu-siasa}}
{{mbegu-siasa}}
==Marejeo==

[[Jamii:Wanasiasa wa Tanzania]]
[[Jamii:Wanasiasa wa Tanzania]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Watu walio hai]]

Pitio la 11:10, 14 Aprili 2019

Joseph Butiku
Chama CCM


Joseph Waryoba Butiku (alizaliwa tar.) ni mkurugenzi mtendaji na rais wa Taasisi ya Mwalimu Julius Nyerere (inayojulikana pia kama Mwalimu Nyerere Foundation) na ni msaidizi wa utafiti binafsi na mjumbe binafsi Tanzania. [1]

Maisha

Joseph Butiku alihudhuria mafunzo ya kijeshi Monduli na alimaliza kama Luteni na hatimaye aliweza kufikia cheo kikubwa cha Meja.

Vilevile aliweza kuwa katibu mkuu wa faragha na Mkuu wa Wafanyakazi chini ya Rais Alli Hassan Mwinyi.

Alikuwa Katibu mkuu wa Chama cha Mapinduzi CCM kanda ya mkoa wa Mara na baadaye alikuwa Kamishna wa kikanda. [2]

Marejeo