Kipanya (kompyuta) : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d wikidata interwiki |
|||
Mstari 7: | Mstari 7: | ||
[[Category:Kompyuta]] |
[[Category:Kompyuta]] |
||
[[mk:Глушец]] |
|||
[[ml:കമ്പ്യൂട്ടര് മൗസ്]] |
Pitio la 14:47, 18 Machi 2019
Kipanya cha kompyuta (pia: puku) ni kifaa cha kuingizia data katika tarakilishi.
Kipanya hushikwa kwa mkono na kusukumwa mezani. Mwendo wake husababisha mshale wa kasa (kielekezi) kutembea kwenye kiwamba.
Mtumiaji hulenga kwa mshale huko anapochagua kotoa amri kwa kubofya kitufe cha kipanya. Tendo hili lasababisha amri inayoonekana kama alama au mchoro kwenye skrini kutekelezwa na programu ya kompyuta.