Wanyiha : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
No edit summary
Tags: Mobile edit Mobile web edit
Mstari 1: Mstari 1:
'''Wanyiha''' ni [[kabila]] la [[watu]] wa [[Zambia]] na [[Tanzania]] ([[Mkoa wa Mbeya]], [[Wilaya ya Mbozi]]). Pia wako [[Malawi]] na sehemu nyingine. Kwa jumla ni zaidi ya 600,000.
'''Wanyiha''' ni [[kabila]] la [[watu]] wa [[ [[Tanzania]] ([[Wilaya ya Mbozi ..mkoa wa songwe]]). Pia wako [[Malawi]] na sehemu nyingine. Kwa jumla ni zaidi ya 600,000.


[[Lugha]] yao ni [[Kinyiha]]. Kabila hili katika utamkaji wa maneno hufanana sana na [[Wasafwa]] na [[Wamalila]].
[[Lugha]] yao ni [[Kinyiha]]. Kabila hili katika utamkaji wa maneno hufanana sana na [[Wasafwa]] na [[Wamalila]].
Mstari 7: Mstari 7:
Wanyiha wamezungukwa na makabila mbalimbali wakiwemo [[Wasafwa]], [[Wandali]], [[Wanyakyusa]], [[Wabungu]] na [[Wanyamwanga]].
Wanyiha wamezungukwa na makabila mbalimbali wakiwemo [[Wasafwa]], [[Wandali]], [[Wanyakyusa]], [[Wabungu]] na [[Wanyamwanga]].


Wanyiha walio wengi ni [[wakulima]]: [[zao]] kuu la [[chakula]] ni [[mahindi]] wakati zao kubwa la [[biashara]] ni [[kahawa]].
Wanyiha walio wengi ni [[wakulima]]: [[zao]] kuu la [[chakula]] ni [[mahindi]] wakati zao kubwa la [[biashara]] ni [[kahawa]].inasadikiwa wanyiha ni moja ya makabila ya kibantu yenye asili ya afrika kusini...Kafka wilaya ya mbozi wanyiha wengi hupakana magharibi hasa vijiji vya Itaka,Nambizo,mbozi mission,shiwinga,igamba na maeneo mengine ya huko...pia upande wa mashariki utawakuta katika vijiji vya nyimbili,Idiwili n.k..


==Marejeo==
==Marejeo==

Pitio la 11:58, 2 Machi 2019

Wanyiha ni kabila la watu wa [[ Tanzania (Wilaya ya Mbozi ..mkoa wa songwe). Pia wako Malawi na sehemu nyingine. Kwa jumla ni zaidi ya 600,000.

Lugha yao ni Kinyiha. Kabila hili katika utamkaji wa maneno hufanana sana na Wasafwa na Wamalila.

Wanyiha ni wapole na wasikivu. Baadhi ya koo za Kinyiha ni Mwashiozya, Mwashiuyà, Mwembe, Nzunda, n.k. Chifu wa Wanyiha ni Nzunda.

Wanyiha wamezungukwa na makabila mbalimbali wakiwemo Wasafwa, Wandali, Wanyakyusa, Wabungu na Wanyamwanga.

Wanyiha walio wengi ni wakulima: zao kuu la chakula ni mahindi wakati zao kubwa la biashara ni kahawa.inasadikiwa wanyiha ni moja ya makabila ya kibantu yenye asili ya afrika kusini...Kafka wilaya ya mbozi wanyiha wengi hupakana magharibi hasa vijiji vya Itaka,Nambizo,mbozi mission,shiwinga,igamba na maeneo mengine ya huko...pia upande wa mashariki utawakuta katika vijiji vya nyimbili,Idiwili n.k..

Marejeo

  • Arnold, Bernd; Steuer und Lohnarbeit im Südwesten von Deutsch Ostafrika
  • Bauer, Andreus; Emperial Rugaruga ("Raise the Flag of War")
  • Becker, Perbandt, Richelmann & Schmidt, Steuber. Hermann von Wissmann, Deutschlands Grösster Africaner
  • Brock, Beverly; The Nyiha of Mbozi
  • Willis, Roy G.; The Fipa and Related Peoples
  • Weule, Karl; Deutsches Kolonial Lexicon, Band IIIs. 673
Makala hii kuhusu utamaduni wa Tanzania bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Wanyiha kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.