Mshale (kundinyota) : Tofauti kati ya masahihisho
d Kipala moved page Kausi (kundinyota) to Mshale (kundinyota) over redirect |
No edit summary |
||
Mstari 1: | Mstari 1: | ||
<sup>Kwa habari za sayari (wakati mwingine kwa kosa huitwa pia "Kausi") angalia hapa [[Neptun]]; kwa matumizi mengine ya jina "Sagittarius" angalia hapa [[Sagittarius]]</sup> |
<sup>Kwa habari za sayari (wakati mwingine kwa kosa huitwa pia "Kausi") angalia hapa [[Neptun]]; kwa matumizi mengine ya jina "Sagittarius" angalia hapa [[Sagittarius]]</sup> |
||
[[Picha:Kausi Sagittarius.png|thumb|400px|Nyota za Kausi angani (mistari imeongezwa kwenye picha tu)]] |
[[Picha:Kausi Sagittarius.png|thumb|400px|Nyota za Mahale au Kausi angani (mistari imeongezwa kwenye picha tu)]] |
||
[[Picha:Sidney Hall - Urania's Mirror - Sagittarius and Corona Australis, Microscopium, and Telescopium.jpg|thumb| |
[[Picha:Sidney Hall - Urania's Mirror - Sagittarius and Corona Australis, Microscopium, and Telescopium.jpg|thumb|Mshale (Kausi - Sagittarius) jinsi inavyochorwa na msanii]] |
||
''' |
'''Mshale''' (pia '''Kausi''' au '''[[:en:Sagittarius (constellation)|Sagittarius]]'''<ref>[[Uhusika milikishi]] ''([[:en:genitive]])'' ya neno "Sagittarius" katika lugha ya [[Kilatini]] ni "Sagittarii" na hili ni umbo la jina linaloonekana katika majina ya nyota za kundi hili kama vile Alfa Sagittarii, nk.</ref> kwa Kilatini/Kiingereza) ni jina la [[kundinyota]] kwenye [[zodiaki]]. |
||
[[Nyota]] za |
[[Nyota]] za Mshale huwa haziko pamoja kihalisi lakini zinaonekana tu vile kutoka duniani. Kwa uhalisi kuna umbali mkubwa kati yao, kama ziko mbali au jirani nasi. Kwa hiyo kundinyota "Mshale" inaonyesha eneo la angani jinsi tunavyoiona kutoka Duniani. |
||
==Jina== |
==Jina== |
||
Mshale ni tafsiri ya Kausi. Mabaharia Waswahili wamejua nyota hizi kwa muda mrefu kwa jina la Kausi linalotokana na neno la Kiarabu ''Kaus'' <big>قوس</big> linalomaanisha "[[upinde]]", maana hii ni karibu sawa na jina la [[Kilatini]] "Sagittarius" (mpiga upinde). Wataalamu wa kale waliona katika nyota zake picha ya mtu anayekalia juu ya farasi akishika pinde na kulenga mshale. |
|||
Jina la "Kaus" limetumiwa pia katika astronomia ya kimagharibi kutaja nyota kadhaa zilizomo hapa kama vile Kaus Australis, Kaus Medius na Kaus Borealis. |
Jina la "Kaus" limetumiwa pia katika [[astronomia ya kimagharibi]] kutaja nyota kadhaa zilizomo hapa kama vile Kaus Australis, Kaus Medius na Kaus Borealis. |
||
Katika vitabu kadhaa vya shule za msingi nchini Tanzania "Kausi" imetumiwa kwa kosa kutaja [[sayari]] ya nane katika [[mfumo wa jua]] letu yaani [[Neptun]]. |
Katika vitabu kadhaa vya shule za msingi nchini Tanzania "Kausi" imetumiwa kwa kosa kutaja [[sayari]] ya nane katika [[mfumo wa jua]] letu yaani [[Neptun]]. |
||
==Kuonekana== |
==Kuonekana== |
||
Mshale inaonekana pale angani ambako [[njia nyeupe]] inang'aa zaidi yaani kuelekea kitovu cha [[galaksi]] yetu. |
|||
Mshale ni kati ya kundinyota zilizojulikana tangu karne nyingi zikitumiwa hasa na mabaharia kutafuta njia baharini wakati wa usiku. |
|||
==Nyota na magimba ya anga== |
==Nyota na magimba ya anga== |
||
Katika eneo la |
Katika eneo la Mshale wanaastronomia walitambua magimba ya angani kadhaa ya maana. Hizi ni pamoja na |
||
*Alfa Sagittarii ambayo ni chanzo cha mawimbi ya redio; inaaminiwa ya kwamba mawimbi haya ni dalili za kuwepo kwa [[shimo cheusi]] kubwa sana linaloitwa "Sagittarius A*"; linatazamiwa kuwa shimi jeusi kuu kwenye kitovu cha galaksi yetu yaani [[Njia Nyeupe]]. |
*Alfa Sagittarii ambayo ni chanzo cha mawimbi ya redio; inaaminiwa ya kwamba mawimbi haya ni dalili za kuwepo kwa [[shimo cheusi]] kubwa sana linaloitwa "Sagittarius A*"; linatazamiwa kuwa shimi jeusi kuu kwenye kitovu cha galaksi yetu yaani [[Njia Nyeupe]]. |
||
*[[Nebula]] kadhaa zilizoandikishwa katika [[orodha ya Messier]] kama vile nebula za lagoon, omega na red spider. |
*[[Nebula]] kadhaa zilizoandikishwa katika [[orodha ya Messier]] kama vile nebula za lagoon, omega na red spider. |
Pitio la 11:19, 8 Januari 2019
Kwa habari za sayari (wakati mwingine kwa kosa huitwa pia "Kausi") angalia hapa Neptun; kwa matumizi mengine ya jina "Sagittarius" angalia hapa Sagittarius
Mshale (pia Kausi au Sagittarius[1] kwa Kilatini/Kiingereza) ni jina la kundinyota kwenye zodiaki.
Nyota za Mshale huwa haziko pamoja kihalisi lakini zinaonekana tu vile kutoka duniani. Kwa uhalisi kuna umbali mkubwa kati yao, kama ziko mbali au jirani nasi. Kwa hiyo kundinyota "Mshale" inaonyesha eneo la angani jinsi tunavyoiona kutoka Duniani.
Jina
Mshale ni tafsiri ya Kausi. Mabaharia Waswahili wamejua nyota hizi kwa muda mrefu kwa jina la Kausi linalotokana na neno la Kiarabu Kaus قوس linalomaanisha "upinde", maana hii ni karibu sawa na jina la Kilatini "Sagittarius" (mpiga upinde). Wataalamu wa kale waliona katika nyota zake picha ya mtu anayekalia juu ya farasi akishika pinde na kulenga mshale.
Jina la "Kaus" limetumiwa pia katika astronomia ya kimagharibi kutaja nyota kadhaa zilizomo hapa kama vile Kaus Australis, Kaus Medius na Kaus Borealis.
Katika vitabu kadhaa vya shule za msingi nchini Tanzania "Kausi" imetumiwa kwa kosa kutaja sayari ya nane katika mfumo wa jua letu yaani Neptun.
Kuonekana
Mshale inaonekana pale angani ambako njia nyeupe inang'aa zaidi yaani kuelekea kitovu cha galaksi yetu.
Mshale ni kati ya kundinyota zilizojulikana tangu karne nyingi zikitumiwa hasa na mabaharia kutafuta njia baharini wakati wa usiku.
Nyota na magimba ya anga
Katika eneo la Mshale wanaastronomia walitambua magimba ya angani kadhaa ya maana. Hizi ni pamoja na
- Alfa Sagittarii ambayo ni chanzo cha mawimbi ya redio; inaaminiwa ya kwamba mawimbi haya ni dalili za kuwepo kwa shimo cheusi kubwa sana linaloitwa "Sagittarius A*"; linatazamiwa kuwa shimi jeusi kuu kwenye kitovu cha galaksi yetu yaani Njia Nyeupe.
- Nebula kadhaa zilizoandikishwa katika orodha ya Messier kama vile nebula za lagoon, omega na red spider.
Jina la (Bayer) |
Namba ya Flamsteed |
Jina (Ukia) |
Mwangaza unaoonekana |
Umbali (miaka ya nuru) |
Aina ya spektra |
---|---|---|---|---|---|
ε | 20 | Kaus Australis | 1,9m | 143 | B9.5 III |
σ | Nunki | 2,05m | 224 | B2.5 V | |
ζ | 38 | Ascella | 2,60m | 89 | A3 IV |
δ | 19 | Kaus Media | 2,72m | ca. 350 | K3 III |
λ | 22 | Kaus Borealis | 2,82m | 78 | K0 IV |
π | 41 | Albaldah | 2,88m | 440 | F2 II/III |
γ | 10 | Alnasl | 2,98m | 96 | K0 III |
η | 3,10m | 149 | M2 III | ||
φ | 27 | 3,17m | 231 | B8.5 III | |
τ | 40 | 3,31m | 120 | K1 / K2III | |
ξ2 | 37 | 3,52m | 372 | G8 / K0II/III | |
ο | 39 | 3,76m | 139 | K0 III | |
μ | 13 | Polis | 3,84m | 3912 | B2 III |
ρ1 | 44 | 3,92m | 122 | F0 III/IV | |
β1 | Arkab Prior | 3,96m | 378 | B9 V | |
α | Rukuba ya Rami (α Sgr) | 3,97m | 170 | B8 V | |
ι | 4,12m | 189 | K0 III | ||
β2 | Arkab Posterior | 4,27m | 139 | F2 III |
Tanbihi
- ↑ Uhusika milikishi (en:genitive) ya neno "Sagittarius" katika lugha ya Kilatini ni "Sagittarii" na hili ni umbo la jina linaloonekana katika majina ya nyota za kundi hili kama vile Alfa Sagittarii, nk.
Marejeo
- kuhusu jina: Jan Knappert, The Swahili names of stars, planets and constellations; makala katika jarida la The Indian Ocean Review, Perth, Australia September 1993, uk. 7
Makundinyota ya Zodiaki Majina ya kisasa yanafuatwa kwa mabano na jina la mabaharia na jina la Kilatini (la kimataifa) |
||
---|---|---|
Kaa (Saratani – Cancer ) • Kondoo (Hamali – Aries ) • Mapacha (Jauza – Gemini ) • Mashuke (Nadhifa – Virgo ) • Mbuzi (Jadi – Capricornus ) • Mizani – Libra ) • Mshale (Kausi – Sagittarius ) • Ndoo (Dalu – Aquarius ) • Nge (Akarabu – Scorpius ) • Ng'ombe (Tauri – Taurus ) • Samaki (Hutu – Pisces ) • Simba (Asadi – Leo ) |