Joseph Kabila : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
Tags: Mobile edit Mobile web edit
No edit summary
Mstari 2: Mstari 2:
'''Joseph Kabila Kabange''' (* [[4 Juni]] [[1971]]) ni [[Orodha ya Marais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo|rais]] wa [[nne]] wa [[Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo]].
'''Joseph Kabila Kabange''' (* [[4 Juni]] [[1971]]) ni [[Orodha ya Marais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo|rais]] wa [[nne]] wa [[Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo]].


Aliingia [[urais]] baada ya [[kifo]] cha [[baba]] yake Rais [[Laurent-Desiree Kabila]] aliyeuawa na [[wanajeshi]] [[tarehe]] [[16 Januari]] [[2001]]. Wanasiasa wengine walimteua [[mwana]] kuwa rais badala ya baba.
Aliingia [[urais]] baada ya [[kifo]] cha [[baba]] yake Rais [[Laurent-Desiree Kabila]] aliyeuawa na [[wanajeshi]] [[tarehe]] [[16 Januari]] [[2001]]. [[Wanasiasa]] wengine walimteua [[mwana]] kuwa rais badala ya baba.


Katika [[uchaguzi]] wa kitaifa wa tarehe [[30 Julai]] [[2006]] alipata [[kura]] nyingi kuliko wagombea wote kuwa rais lakini hakufikia [[nusu]] ya kura zote. Katika uchaguzi wa pili kati yake na [[Jean-Pierre Bemba]] alishinda akathibitishwa kuwa rais tarehe [[17 Novemba]] [[2006]]. Joseph Kabila ni rais wa kwanza wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo aliyechaguliwa na wananchi wote katika uchaguzi huru.
Katika [[uchaguzi]] wa kitaifa wa tarehe [[30 Julai]] [[2006]] alipata [[kura]] nyingi kuliko wagombea wote kuwa rais lakini hakufikia [[nusu]] ya kura zote. Katika uchaguzi wa pili kati yake na [[Jean-Pierre Bemba]] alishinda akathibitishwa kuwa rais tarehe [[17 Novemba]] [[2006]]. Joseph Kabila ni rais wa kwanza wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo aliyechaguliwa na wananchi wote katika uchaguzi huru.


== Maisha yake ==
== Maisha yake ==
Joseph Kabila alizaliwa mjini [[Hewa Bora]] mkoani wa [[Kivu Kusini]] katika mashariki ya Kongo. Babake alikuwa mwanasiasa na kiongozi wa kikundi cha wanamgambo waasi waliopinga serikali ya [[Mobutu Sese Seko]].
Joseph Kabila alizaliwa mjini [[Hewa Bora]] katika [[mkoa]] wa [[Kivu Kusini]], [[mashariki]] mwa Kongo. Babake alikuwa mwanasiasa na [[kiongozi]] wa kikundi cha [[wanamgambo]] waasi waliopinga [[serikali]] ya [[Mobutu Sese Seko]].


Pamoja na familia ya baba Joseph alihamia [[Dar es Salaam]] ([[Tanzania]]. Alisoma shule ya msingi na ya sekondari katika [[Daressalaam]] na shule ya Irambo Sekondari [[Mbeya]]. Anasemekana alitumia wakati ule jina la Hippolyte Kanambe Kazemberembe Kabange Mtwale kwa sababu za usalama.
Pamoja na [[familia]] ya baba Joseph alihamia [[Dar es Salaam]] ([[Tanzania]]. Alisoma [[shule ya msingi]] na ya [[sekondari]] huko Dar es Salaam na shule ya sekondari [[Irambo]] ([[Mbeya]]). Anasemekana wakati ule alitumia [[jina]] la Hippolyte Kanambe Kazemberembe Kabange Mtwale kwa sababu za [[usalama]].


1996 alijiunga na wanamigambo ya babake katika vita ya Kongo ya Mashariki.
Mwaka [[1996]] alijiunga na wanamgambo wa baba yake katika [[vita vya Kongo ya Mashariki]].


Baada ya ushindi wa wapinzani dhidi ya Mobutu baba alikuwa rais na Joseph alipelekwa masomoni kwenye chuo cha kijeshi huko [[Uchina]]. Wakati wa kurudi alipewa cheo cha jenerali jeshini na mwaka 2000 alipandishwa cheo kuwa mkuu wa jeshi.
Baada ya [[ushindi]] wa wapinzani dhidi ya Mobutu, baba alikuwa rais na Joseph alipelekwa masomoni kwenye [[chuo cha kijeshi]] huko [[Uchina]]. Wakati wa kurudi alipewa [[cheo]] cha [[jenerali]] jeshini na mwaka [[2000]] alipandishwa cheo kuwa [[mkuu wa jeshi]].


Tangu kuwa raisi mwaka 2001 Joseph Kabila alijitahidi kumaliza hali ya vita ya wenyewe kwa wenyewe Kongo akakubali kufika kwa walinzi wa amani wa [[UM]].
Tangu kuwa rais mwaka 2001 Joseph Kabila alijitahidi kumaliza hali ya [[vita vya wenyewe kwa wenyewe]] Kongo akakubali kufika kwa [[walinzi wa amani]] wa [[UM]].


Desemba 2002 alikubali mapatano ya amani kati ya serikali na waasi yaliyokuwa msingi kwa ajili ya kuundwa kwa serikaliy a umoja wa kitaifa na maandalizi ya uchaguzi wa mwaka 2006.
Mnamo [[Desemba]] [[2002]] alikubali mapatano ya [[amani]] kati ya serikali na waasi yaliyokuwa msingi wa kuundwa kwa [[serikali ya umoja wa kitaifa]] na maandalizi ya uchaguzi wa mwaka [[2006]].


Katika Juni 2006 alimwoa [[Olive Lembe di Sita]] aliyekuwa mchumba wake wa miaka mingi na mama wa binti aliyezaliwa 2001.
Katika [[Juni]] 2006 alimwoa [[Olive Lembe di Sita]] aliyekuwa [[mchumba]] wake wa miaka mingi na [[mama]] wa [[binti]] aliyezaliwa mwaka 2001.
{{mbegu-mwanasiasa}}
{{DEFAULTSORT:Kabila, Joseph}}
{{DEFAULTSORT:Kabila, Joseph}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1971]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1971]]

Pitio la 12:20, 20 Desemba 2018

Joseph Kabila

Joseph Kabila Kabange (* 4 Juni 1971) ni rais wa nne wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

Aliingia urais baada ya kifo cha baba yake Rais Laurent-Desiree Kabila aliyeuawa na wanajeshi tarehe 16 Januari 2001. Wanasiasa wengine walimteua mwana kuwa rais badala ya baba.

Katika uchaguzi wa kitaifa wa tarehe 30 Julai 2006 alipata kura nyingi kuliko wagombea wote kuwa rais lakini hakufikia nusu ya kura zote. Katika uchaguzi wa pili kati yake na Jean-Pierre Bemba alishinda akathibitishwa kuwa rais tarehe 17 Novemba 2006. Joseph Kabila ni rais wa kwanza wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo aliyechaguliwa na wananchi wote katika uchaguzi huru.

Maisha yake

Joseph Kabila alizaliwa mjini Hewa Bora katika mkoa wa Kivu Kusini, mashariki mwa Kongo. Babake alikuwa mwanasiasa na kiongozi wa kikundi cha wanamgambo waasi waliopinga serikali ya Mobutu Sese Seko.

Pamoja na familia ya baba Joseph alihamia Dar es Salaam (Tanzania. Alisoma shule ya msingi na ya sekondari huko Dar es Salaam na shule ya sekondari Irambo (Mbeya). Anasemekana wakati ule alitumia jina la Hippolyte Kanambe Kazemberembe Kabange Mtwale kwa sababu za usalama.

Mwaka 1996 alijiunga na wanamgambo wa baba yake katika vita vya Kongo ya Mashariki.

Baada ya ushindi wa wapinzani dhidi ya Mobutu, baba alikuwa rais na Joseph alipelekwa masomoni kwenye chuo cha kijeshi huko Uchina. Wakati wa kurudi alipewa cheo cha jenerali jeshini na mwaka 2000 alipandishwa cheo kuwa mkuu wa jeshi.

Tangu kuwa rais mwaka 2001 Joseph Kabila alijitahidi kumaliza hali ya vita vya wenyewe kwa wenyewe Kongo akakubali kufika kwa walinzi wa amani wa UM.

Mnamo Desemba 2002 alikubali mapatano ya amani kati ya serikali na waasi yaliyokuwa msingi wa kuundwa kwa serikali ya umoja wa kitaifa na maandalizi ya uchaguzi wa mwaka 2006.

Katika Juni 2006 alimwoa Olive Lembe di Sita aliyekuwa mchumba wake wa miaka mingi na mama wa binti aliyezaliwa mwaka 2001.

Makala hii kuhusu mwanasiasa fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Joseph Kabila kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.