Jimbo Kuu la Mbeya : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
|||
Mstari 4: | Mstari 4: | ||
Kikanisa linahusiana na [[jimbo kuu]] la [[Songea]]. |
Kikanisa linahusiana na [[jimbo kuu]] la [[Songea]]. |
||
[[Askofu]] wake |
[[Askofu]] wake alikuwa [[Evaristo Marc Chengula]] hadi [[kifo]] chake [[tarehe]] [[21 Novemba]] [[2018]]. |
||
==Historia== |
==Historia== |
||
Mstari 13: | Mstari 13: | ||
==Uongozi== |
==Uongozi== |
||
* Maaskofu wa Mbeya |
* Maaskofu wa Mbeya |
||
** Evaristo Marc Chengula MC ( |
** Evaristo Marc Chengula MC (1996-2018) |
||
** [[James Dominic Sangu]] (1966 – 1996) |
** [[James Dominic Sangu]] (1966 – 1996) |
||
** Antoon van Oorschoot MAfr (1953 – 1964) |
** Antoon van Oorschoot MAfr (1953 – 1964) |
Pitio la 14:42, 21 Novemba 2018
Jimbo katoliki la Mbeya (kwa Kilatini "Dioecesis Mbeyaënsis") ni mojawapo kati ya majimbo 34 ya Kanisa Katoliki nchini Tanzania na kama hayo yote linafuata mapokeo ya Kiroma.
Kikanisa linahusiana na jimbo kuu la Songea.
Askofu wake alikuwa Evaristo Marc Chengula hadi kifo chake tarehe 21 Novemba 2018.
Historia
- 1932: Kuanzishwa kwa Apostolic Prefecture ya Mbeya kutokana na Apostolic Vicariate ya Tanganjika
- 1949: Kupandishwa cheo kuwa Apostolic Vicariate ya Mbeya
- 25 Machi 1953: Kufanywa dayosisi
Uongozi
- Maaskofu wa Mbeya
- Evaristo Marc Chengula MC (1996-2018)
- James Dominic Sangu (1966 – 1996)
- Antoon van Oorschoot MAfr (1953 – 1964)
- Vicar Apostolic wa Mbeya
- Antoon van Oorschoot MAfr (1949 – 1953)
- Prefect Apostolic wa Mbeya
- Antoon van Oorschoot MAfr (1947 – 1949)
- Ludwig Haag MAfr (1938 – 1947)
- Max Theodor Franz Donders MAfr (1932 – 1938)
Takwimu
Eneo ni la kilometa mraba 60,348, ambapo kati ya wakazi 2,082,000 (2006) Wakatoliki ni 347,347 (16.7%).
Viungo vya nje
Makala hii kuhusu Kanisa Katoliki bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Jimbo Kuu la Mbeya kama historia yake au maelezo zaidi? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |