Wilaya ya Busia, Kenya : Tofauti kati ya masahihisho
No edit summary |
|||
Mstari 158: | Mstari 158: | ||
== Viungo vya nje == |
== Viungo vya nje == |
||
*[http://www2.reliefweb.int/rw/fullMaps_Af.nsf/luFullMap/E33C1F4E46EB2AE385256D2C006C5833/$File/rw_kenBusia200503.pdf?OpenElement Ramani ya Wilaya ya Busia] |
*[http://www2.reliefweb.int/rw/fullMaps_Af.nsf/luFullMap/E33C1F4E46EB2AE385256D2C006C5833/$File/rw_kenBusia200503.pdf?OpenElement Ramani ya Wilaya ya Busia] |
||
{{First and second-level administrative divisions of Kenya}} |
|||
{{coord|0|26|N|34|9|E|type:adm2nd_region:KE-900|display=title}} |
{{coord|0|26|N|34|9|E|type:adm2nd_region:KE-900|display=title}} |
||
{{Vijisehemu vya Kenya}} |
{{Vijisehemu vya Kenya}} |
||
{{mbegu-kenya-magharibi}} |
|||
{{Kenya-geo-stub}} |
{{Kenya-geo-stub}} |
||
[[Jamii:Mkoa wa Magharibi, Kenya]] |
[[Jamii:Mkoa wa Magharibi, Kenya]] |
Pitio la 13:43, 4 Novemba 2018
Wilaya ya Busia | |
Mahali pa Wilaya ya Busia katika Kenya | |
Nchi | Kenya |
---|---|
Mji mkuu | Busia |
Eneo | |
- Jumla | 1,628.4 km² |
Idadi ya wakazi (2009 Sensa[1]) | |
- Wakazi kwa ujumla | 743,946 |
Busia ilikuwa wilaya mojawapo ya Mkoa wa Magharibi wa Jamhuri ya Kenya hadi ilipopitishwa katiba mpya ya nchi (2010).
Ilikuwa inapakana na Wilaya ya Kakamega mashariki, Wilaya ya Bungoma kaskazini, Wilaya ya Busia, Uganda upande wa magharibi, na Ziwa Victoria upande wa kusini.
Makao makuu yalikuwa mjini Busia.
Kwa sasa imekuwa kaunti ya Busia.
Shughuli kuu ya kiuchumi ni biashara na nchi jirani ya Uganda, pamoja na mji wa Busia kituo cha mpakani.
Mbali na mji, uchumi wa wilaya hutegemea sana uvuvi na kilimo, mazao msingi yakiwemo pamoja na mihogo, mtama, viazi vitamu, maharagwe, na mahindi.
Wilaya ya Busia ni makao ya kabila la Waluhya nchini Kenya ambao wanapatikana hasa katika sehemu za Magharibi mwa Kenya. Wilaya hii ilikuwa na wakazi 370,608 (1999 sensa).
Mamlaka za Mitaa (Halmashauri) | |||
Mamlaka | Aina | Idadi ya Watu | Wakazi wa mjini* |
---|---|---|---|
Busia | Manispaa | 44,766 | 30,777 |
Funyula | Manispaa | 18,043 | 1,242 |
Nambale | Mji | 26,168 | 1,005 |
Port Victoria | Mji | 18,472 | 5,917 |
Manispaa ya Busia | Manispaa | 263,159 | 5,516 |
Jumla | -- | 370,608 | 44,457 |
* 1999 census. Source: [1] |
Maeneo ya utawala | |||
Tarafa | Idadi ya Watu | Wakazi wa mjini* | Makao makuu |
---|---|---|---|
Budalangi | 53,356 | 5,417 | |
Butula | 95,489 | 4,805 | Butula |
Funyula | 73,875 | 1,106 | Funyula |
Matayos | 56,186 | 0 | Matayos |
Nambale | 67,544 | 0 | Nambale |
Township | 25,158 | 15,695 | Busia |
Jumla | 370,608 | 27,022 | -- |
* 1999 census. Sources: [2], [3], |
Wilaya ya Busia ina maeneo bunge manne:
Tazama pia
- Namboboto, kijiji katika Wilaya ya Busia.
- Busia, Kenya
- Busia, Uganda
- Wilaya ya Busia, Uganda
Marejeo
Viungo vya nje
Coordinates: 0°26′N 34°9′E / 0.433°N 34.150°E
Makala hii kuhusu maeneo ya Kenya bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Wilaya ya Busia, Kenya kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |