Samueli I : Tofauti kati ya masahihisho
d Bot: Migrating 1 interwiki links, now provided by Wikidata on d:q181620 (translate me) |
No edit summary |
||
Mstari 1: | Mstari 1: | ||
'''Kitabu cha kwanza cha Samueli''' kilikuwa sehemu ya kwanza ya Kitabu cha [[Samweli]] katika [[Tanakh]] (yaani [[Biblia ya Kiebrania]]) kabla hakijagawiwa pande mbili kutokana na ukubwa wake. |
'''Kitabu cha kwanza cha Samueli''' kilikuwa sehemu ya kwanza ya [[Kitabu]] cha [[Samweli]] katika [[Tanakh]] (yaani [[Biblia ya Kiebrania]]) kabla hakijagawiwa pande [[mbili]] kutokana na ukubwa wake. |
||
Kuanzia tafsiri ya kwanza (ya [[Kigiriki]]) inayojulikana kama [[Septuaginta]] na katika [[Agano la Kale]] la [[Biblia ya Kikristo]] kinahesabiwa kama kitabu kinachojitegemea. |
Kuanzia [[tafsiri]] ya kwanza (ya [[Kigiriki]]) inayojulikana kama [[Septuaginta]] na vilevile katika [[Agano la Kale]] la [[Biblia ya Kikristo]] kinahesabiwa kama kitabu kinachojitegemea. |
||
Hata hivyo mada yake na ya |
Hata hivyo [[mada]] yake na ya [[Kitabu cha Pili cha Samueli|Kitabu cha pili]] ni moja: kueleza habari za mwanzo wa [[ufalme]] wa [[Israeli]] chini ya Samueli aliyewapaka [[mafuta]] awaweke [[wakfu]] [[mfalme Sauli]] halafu [[mfalme Daudi]]. |
||
Kama vitabu vingine vyote vya [[Biblia]], hiki pia kinatakiwa kisomwe katika mfululizo wa [[historia ya wokovu]] ili kukielewa kadiri ya maendeleo ya [[ufunuo]] wa [[Mungu]] kwa [[binadamu]]. |
Kama vitabu vingine vyote vya [[Biblia]], hiki pia kinatakiwa kisomwe katika mfululizo wa [[historia ya wokovu]] ili kukielewa kadiri ya maendeleo ya [[ufunuo]] wa [[Mungu]] kwa [[binadamu]]. |
||
Mstari 10: | Mstari 10: | ||
==Viungo vya nje== |
==Viungo vya nje== |
||
*[http://www.biblephone.net/mobile/index.php/swa/2/1Sam/ Kitabu cha Kwanza cha Samueli katika Biblia (Union Version)] |
*[http://www.biblephone.net/mobile/index.php/swa/2/1Sam/ Kitabu cha Kwanza cha Samueli katika Biblia (Union Version)] |
||
Pitio la 06:10, 22 Oktoba 2018
Kitabu cha kwanza cha Samueli kilikuwa sehemu ya kwanza ya Kitabu cha Samweli katika Tanakh (yaani Biblia ya Kiebrania) kabla hakijagawiwa pande mbili kutokana na ukubwa wake.
Kuanzia tafsiri ya kwanza (ya Kigiriki) inayojulikana kama Septuaginta na vilevile katika Agano la Kale la Biblia ya Kikristo kinahesabiwa kama kitabu kinachojitegemea.
Hata hivyo mada yake na ya Kitabu cha pili ni moja: kueleza habari za mwanzo wa ufalme wa Israeli chini ya Samueli aliyewapaka mafuta awaweke wakfu mfalme Sauli halafu mfalme Daudi.
Kama vitabu vingine vyote vya Biblia, hiki pia kinatakiwa kisomwe katika mfululizo wa historia ya wokovu ili kukielewa kadiri ya maendeleo ya ufunuo wa Mungu kwa binadamu.
Kwa habari zaidi tazama Vitabu vya Samweli.
Viungo vya nje
Mwanzo * Kutoka * Walawi * Hesabu * Kumbukumbu * Yoshua * Waamuzi * Ruthu * Samueli I * Samueli II * Wafalme I * Wafalme II * Mambo ya Nyakati I * Mambo ya Nyakati II * Ezra * Nehemia * TobitiDK * YudithiDK * Esta * Wamakabayo IDK * Wamakabayo IIDK * Yobu * Zaburi * Methali * Mhubiri * Hekima DK * SiraDK * Wimbo Bora * Isaya * Yeremia * Maombolezo * BarukuDK * Ezekieli * Danieli * Hosea * Yoeli * Amosi * Obadia * Yona * Mika * Nahumu * Habakuki * Sefania * Hagai * Zekaria * Malaki
Alama ya DK inaonyesha vitabu vya deuterokanoni visivyopatikana katika matoleo yote ya Biblia.