Mlima Kenya : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
No edit summary
Tag: 2017 source edit
No edit summary
Mstari 70: Mstari 70:
Vilele vya Batian, Nelion na Lenana vimepewa majina ya [[Laibon]] Mbatian na wanawe ambao walikuwa Wamasai..<ref name="dutton" /> Kilele cha Terere pia kilipatiwa jina la kiongozi Mmasai. Majina mengine yalitoka kwa majina ya wazungu wapelelezi, k.v. Shipton, Sommerfelt, Tilman, Dutton na Arthur. Kuna majina yaliyotoka kwa wakenya na walowezi maarufu. Majina ya [[Mtume|watume]] John na Peter yalitolewa na Arthur, aliyekuwa mmishonari.<ref name="mck">{{cite book|title=The Mountain Club of Kenya Guide to Mount Kenya and Kilimanjaro|last=Allan|first=Iain|publisher=Mountain Club of Kenya|year=1981|isbn=978-9966985606|location=Nairobi}}</ref>
Vilele vya Batian, Nelion na Lenana vimepewa majina ya [[Laibon]] Mbatian na wanawe ambao walikuwa Wamasai..<ref name="dutton" /> Kilele cha Terere pia kilipatiwa jina la kiongozi Mmasai. Majina mengine yalitoka kwa majina ya wazungu wapelelezi, k.v. Shipton, Sommerfelt, Tilman, Dutton na Arthur. Kuna majina yaliyotoka kwa wakenya na walowezi maarufu. Majina ya [[Mtume|watume]] John na Peter yalitolewa na Arthur, aliyekuwa mmishonari.<ref name="mck">{{cite book|title=The Mountain Club of Kenya Guide to Mount Kenya and Kilimanjaro|last=Allan|first=Iain|publisher=Mountain Club of Kenya|year=1981|isbn=978-9966985606|location=Nairobi}}</ref>


==Historia==
== Jiografia ==
===Ugunduzi wa Wazungu===
===Jiolojia===
[[File:Joseph Thomson.png|right|thumb|Joseph Thomson alithibitisha  ugunduzi wa Krapf.]]


[[Picha:Batian and Nelion.JPG|thumb|Vilele vya Mlima kenya. Vinaaminika kuwepo baada ya mmomonyoko kwa njia ya barafuto.<ref name="geology">{{cite book|title=Geology of the Mount Kenya Area|last=Baker|first=B. H.|publisher=Ministry of Natural Resources|year=1967|isbn=|series=Geological Survey of Kenya|doi=|authorlink=}}</ref>]]
Mlima Kenya ulikuwa kati ya vilele virefu [[Afrika]] kuonekana kwa mara ya kwanza na [[Mpelelezi|wapelelezi]] kutoka Ulaya. Wa kwanza kuuona alikuwa [[Johann Ludwig Krapf]], [[mmisionari]] [[Mjerumani]]<ref name="Krapf">{{cite book


Mlima Kenya ni [[volkeno rusu]] iliyokuwa hai kati ya miaka milioni 2.6 na 3.1 iliyopita. Kasoko ya awali ilikuwa pengine katika urefu wa m 6,000; juu kuliko [[Kilimanjaro]]. Tangu izimike, kumekuwa na [[Kipindi cha barafu|vipindi viwili vya barafu]]. Barafuto za leo hazipiti m 4,650 <ref name="map" />.


Miteremko ya kitako cha mlima haijawahi kuwa na barafuto. Ni misitu na baadhi ya sehemu zikalimwa. Miteremko hiyo ina mabonde yenye umbo la V na [[Kijito|vijito]] vingi. Juu mlimani, katika eneo ambalo ni nyika, mabonde yenye umbo la U na vina vifupi. Mabonde hayo yaliumbwa na barafuto.<ref name="geology" />


Wakati Mlima Kenya ulikuwa hai, shughuli za kivolkeno mbali kiasi na mlima. Kaskazini mashariki, kando ya mlima kuna vizibo vingi vya volkeno na [[kreta]]. Kreta ya Ithanguni ndio kubwa zaidi. Inadhaniwa kuwa ilikuwa na theluji wakati huo. Hii inaweza kuonekana kwa kuwa kilele kimelainika. Vilima vidogo huonekana hapo kama ishara kuwa vilikuwa vizibo.<ref name="geology" />
| last=Krapf | first=Johann Ludwig | authorlink=Johann Ludwig Krapf


Miamba inayounda Mlima kenya ni pamoja na [[basalt]], [[rhomb porphyrite]], [[phonolite]], [[kenyte]] na [[trachyte]].<ref name="geology" /> Kenyte iliripotiwa kuonekana mara ya kwanza mwaka 1900 na Gregory katika utafiti wake wa [[jiolojia]] ya Mlima Kenya.<ref name="gregory1900">{{cite journal




| title= Travels, Researches, and Missionary Labours in Eastern Africa


| last= Gregory




| year=1860 | publisher=Frank Cass & Co. Ltd | location=London


| first= J. W.




| isbn= }}</ref>, [[tarehe]] [[3 Desemba]] [[1849]]<ref name="dutton">{{cite book


| authorlink = John Walter Gregory




| last=Dutton | first=E.A.T. | authorlink=


| year=1900




| title= Kenya Mountain |year=1929 |publisher=Jonathan Cape


| title = Contributions to the Geology of British East Africa.-Part II. The Geology of Mount Kenya




| location= London}}</ref>, kutoka [[Kitui]], mji ulio km 160 kutoka mlima<ref name="rough_guide">{{cite map


| journal= Quarterly Journal of the Geological Society




| publisher=Rough Guide | title= Rough Guide Map Kenya


| volume=56




| edition=9 | year=2006 | cartography=World Mapping Project


| issue=




| scale=1:900,000 | series=Rough Guide Map |isbn=1-84353-359-6


| pages = 205–222




}}</ref>, baada ya ugunduzi wa [[Mlima Kilimanjaro]].


| url =
Krapf aliambiwa na [[watu]] wa [[kabila]] la [[Waembu]] kwamba walikuwa wakiuzunguka mlima lakini hawakuwa wamepaa juu kwa sababu ya [[baridi]] na  [[theluji]].<ref name="Krapf" /> [[Wakikuyu]] walithibitisha haya yametukia.[[File:Samuel Teleki.jpg|thumb|left|Samuel Teleki, Mzungu wa kwanza kuweka mguu juu ya Mlima Kenya.]]






<!--  | accessdate=4th June 2007
Krapf pia alibainisha kwamba [[mito]] inayotoka Mlima Kenya, na mingine katika eneo la milima, ilikuwa mito ya kudumu. Akagundua kuwa lazima kuna chanzo cha maji mlimani, katika umbo la barafuto.<ref name="Krapf" /> Aliamini ni chanzo cha [[Mto Nili Nyeupe|Nili Nyeupe]].<ref>{{cite journal






| doi = 10.1144/GSL.JGS.1900.056.01-04.12 -->
| last=Krapf | first=Johann Ludwig | authorlink=Johann Ludwig Krapf






}}</ref>
| title = Extract from Krapf's diary | date=13 Mei 1850


[[Joseph Thompson]] alipendekeza utafiti ufanyiwe Mlima Kenya mara ya kwanza mwaka 1883. Aliona mlima kutoka [[Tambarare ya Laikipia]] na akaandika kuwa ilikuwa volkeno zimwe, kizibo kikionekana.<ref name="thomson" /> Hata hivyo, maoni yake hayakuaminika na wanasayansi wa magharibi, hasa baada ya mwaka 1887 wakati [[Teleki]] na [[von Höhnel]] walikwea mlima na kueleza walichokatia kauli kuwa kreta.<ref name="gregory" /> Mwaka 1893 msafara wa Gregory ulifika Barafuto ya Lewis, m 5,000. Alithibitisha kuwa volkeno ilikuwa imezimwa na kuwa kulikuwa na barafuto.<ref name="gregory" /><ref name="gregory1900" />
===Vilele===
[[File:Mount Kenya Summit photomap-en.svg|thumb|right|300px|Vilele vikuu na barafuto kati mwa mlima.]]


Asili ya vilele vingi ni shughuli za volkeno. Vilele vingi vimekaribia kati mwa mlima. Vinafanana na vilele vya [[Alpi]] kwa sababu ya mikunjo.<ref name="baker">[112]</ref> Kuvu, kuvumwani na mimea midogo ya milimani humea katika vilele vya kati.<ref name="ecology" /> Vizibo vya volkeno vimefunikwa kwa majivu ya volkeno na udongo.<ref name="speck">{{cite journal


| journal=Church Missionary Intelligencer




| last = Speck


| volume=i | pages=345}}</ref>


Mwaka [[1851]] Krapf akarudi Kitui. Yeye alisafiri km 65 karibu na mlima, lakini hakuweza kuuona tena. Mwaka 1877 Hildebrandt alikuwa katika eneo la Kitui na kusikia juu ya mlima, lakini pia hakuweza kuuona, hivyo watu walianza kumtuhumu Krapf.<ref name="gregory">


| first = Heinrich




{{cite book


| coauthors =




| last=Gregory | first=John Walter |authorlink=John Walter Gregory


| title = Soils of the Mount Kenya Area: Their formation, ecology, and agricultural significance




| title=The Great Rift Valley | origdate=1896 | year=1968


| journal = Mountain Research and Development




| publisher= Frank Cass & Co. Ltd | location=London}}</ref>


| volume = 2
Hatimaye, mwaka [[1883]], [[Joseph Thomson]] alipita upande wa magharibi wa mlima na Krapf alithibitisha madai yake.<ref name="thomson">{{cite book|title=Through Masai Land|last=Thomson|first=Joseph|publisher=Frank Cass & Co Ltd|year=1968|edition=3|location=London|authorlink=Joseph Thomson (explorer)|origdate=1885}}</ref> Hata hivyo, upelelezi rasmi wa kwanza ulifanyika mwaka 1887 na [[Samuel Teleki]] na [[Ludwig von Höhnel]]. Waliweza kufika mita 4,350 kwenye mteremko wa kusini magharibi<ref name=":2" />. Katika safari ya upelelezi huo, waliamini kuwa walikuwa wamegundua volkeno.


Mwaka 1892, Teleki na von Höhnel walirudi upande wa mashariki, lakini hawakuweza kupitia msitu.<ref name="ecology">{{cite book




| issue = 2


| last=Coe | first=Malcolm James




| pages = 201–221


| title=The Ecology of the Alpine Zone of Mount Kenya




| publisher =


| year=1967 | publisher= Dr W. Junk | location=The Hague}}</ref>


Hatimaye, mwaka 1893 timu ilisafiri kutoka pwani hadi [[Ziwa Baringo]] katika [[Bonde la Ufa]], ikiongozwa na [[John W. Gregory]], [[mwanajiolojia]] [[Mwingereza]]. Walikwea mlima hadi mita 4,730 na wakakaa masaa kadhaa katika Barafuto ya Lewis. Aliporudi [[Uingereza]], Gregory alichapisha [[majarida]] na [[hadithi]] ya mafanikio yake.<ref name="mck" /> George Kolb, [[daktari]] Mjerumani, alifanya safari mwaka 1894 na 1896 <ref name="mck" /> na alikuwa wa kwanza kufika nyika ya mlima upande wa mashariki.


| date = 1982
Tarehe 28 Julai 1899,<ref name=":3" /> Halford John Mackinder aliongoza kundi la wapelelezi 6 kutoka [[Ulaya]], 66 kutoka [[Uswahilini]], [[Wamaasai]] 2 na Wakikuyu 96<ref name=":3" />. Walipatana na matatizo mengi njiani<ref name=":3" />. Mackinder aliendelea kupanda mlima. Alikita kambi m 3,142<ref name=":3" />  katika Bonde la Höhnel. Alifanya jaribio la kwanza kufikia kilele tarehe [[30 Agosti]] pamoja na Brocherel na Ollier kupitia upande wa mashariki, lakini wakabakisha kupanda m 100 kutoka Kilele cha Nelion. Tarehe [[5 Septemba]], Hausberg, Ollier na Brocherel walifanya mzunguko kutafuta njia rahisi ila hawakuweza kupata. Tarehe [[11 Septemba]] Ollier na Brocherel walipanda Barafuto ya Darwin, lakini walilazimishwa kukatiza safari kutokana na [[dhoruba ya theluji]]<ref name=":3" />.


Wakati Saunders alirudi kutoka Naivasha timu okozi, Mackinder, Ollier na Brocherel walijaribu kupanda kilele tena. Walifika kilele cha Batian saa sita mchana tarehe 13 Septemba, na walishuka kutumia njia ileile<ref name=":3" />.
===1900-1930===
Baada ya ukweaji wa kwanza, hakukuwa na safari nyingi za kukwea mlima. Upelelezi kabla ya [[Vita Kuu ya Kwanza ya Dunia|Vita ya Kwanza ya Dunia]] ulikuwa ukifanywa na [[walowezi]] nchini Kenya, ambao hawakufanya upelelezi wa kisayansi. Misheni ya Kanisa la Uskoti ilipofunguliwa Chogoria[[Chogoria,|,]] wamishonari kadhaa walikwea mlima lakini hakuna aliyefanikiwa kufikia vilele vya Batian au Nelion.<ref name="mck" />


Miti ya misitu ilikatwa ili kurahisisha safari ya kufikia vilele. Mwaka 1920, Arthur Fowell Buxton alijaribu kutengeneza njia kutoka kusini, na njia nyingine walikuja kutoka [[Nanyuki]] kaskazini, lakini njia iliyotumiwa zaidi ni ile ya Chogoria, kutoka mashariki, iliyotengenezwa na Ernest Carr.<ref name="mck" />


| url = http://links.jstor.org/sici?sici=0276-4741(198205)2%3A2%3C201%3ASOTMKA%3E2.0.CO%3B2-8
Mwishoni mwa Julai 1930, Shipton na Bill Tilman walikwea vilele vyote. Katika safari hii, Shipton na Tilman walijaribu kukwea vilele vingine, ikiwa ni pamoja na Petro, Dutton, Midget , Pigott na aidha Terere au Sendeyo.<ref name="cordee">{{cite book






| doi = 10.2307/3672965
|last= Burns






| accessdate = 2007-06-21
|first= Cameron






| year = 1982
|title= Kilimanjaro & Mount Kenya; A Climbing and Trekking Guide






}}</ref>
|year= 1998


Vilele virefu zaidi ni Batian (m 5,199), Nelion (m 5,188) na Lenana (m 4,985).<ref name="map" />


Vilele na vizibo vingine ni pamoja na Piggot (m 4,957), Dutton (m 4,885), John (m 4,883), John Minor (m 4,875), Krapf Rognon (m 4,800), Peter (m 4,757), Slade (m 4,750) na Midget (m 4,700). Vyote vina miinuko inayotengeneza umbo kama la piramidi.<ref name="map" /><ref name="baker" />


Vilele maarufu vilivyo katika viunga vya mlima ni Terere (m 4,714) and Sendeyo (m 4,704).<ref name="map" /><center>
|publisher= Cordee






<gallery>
|location= Leicester


Picha:Batian Nelion and pt Slade in the foreground Mt Kenya.JPG|Batian (kushoto), Nelion (kulia), na Slade katika mandharimbele


Picha:Pt Lenana Mt Kenya.JPG|Kilele cha lenana ndicho kimeinuka zaidi


Picha:Krapf rognon and glacier after snowstorm.jpg|Krapf Rognon (m 4800) na Barafuto ya Krapf
|isbn= 1-871890-98-5}}</ref>
===1931 hadi leo===
Katika miaka ya 1930 ziara zilifanyika zaidi katika nyika ya mlima. Raymond Hook na Humphrey Slade walikwea ili wachore ramani ya mlima na wakapeleka samaki. Februari mwaka 1938, C Carol na Mtu Muthara wakawa mwanamke wa kwanza na Mwafrika wa kwanza mtawalia kupaa Nelion, katika ziara na Noel Symington, mwandishi wa ''The Night Climbers of Cambridge,''  na tarehe [[5 Machi]] Una Cameron akawa mwanamke wa kwanza kupaa Batian.<ref name="mck" />


Picha:Hut tarn 4500m and Midget Peak Mt Kenya.JPG|Kilele cha Midget kinaweza kukwewa kwa siku moja
Wakati wa [[Vita Kuu ya Pili ya Dunia]] ziara za kukwea mlima zilididimia zaidi. Watu maarufu waliokwea katika wakati huo walikuwa wafungwa wa vitani Waitaliano, ambao walikuwa wamefungwa jela Nanyuki. Walitoroka na kupanda mlima kabla ya kurejea kambini.<ref name="picnic">{{cite book


Picha:Terere and Sendeyo.jpg|Vilele vya Terere na Sendeyo viko katika kiunga cha mlima


</gallery></center>
===Barafuto===
[[File:MtKenya gletscher.jpg|thumb|200px|Barafuto ya Lewis ndio kubwa zaidi.]]


Barafuto zinazidi kudidimia kila mwaka.<ref name="web">{{cite web
| last= Benuzzi | first= Felice | authorlink=






| url= http://www.mck.or.ke/ | author=Mountain Club
| title=No Picnic on Mount Kenya: A Daring Escape, a Perilous Climb






| title= Mountain Club of Kenya Homepage
| origdate=1953 | year=2005 | publisher=The Lyons Press






| accessdate=2007-05-26 }}</ref><ref name="glafot">''[http://www.sundogpublishing.com/Hastenrath/Announcement.html Recession ya Ikweta Glaciers.]'' ''[http://www.sundogpublishing.com/Hastenrath/Announcement.html A Photo Documentation,]''  Hastenrath, S., 2008, Sundog Publishing, Madison, WI, ISBN 978-0-9729033-3-2, 144 pp.
| location=  | isbn=978-1592287246}}</ref>
</ref> Kila mwaka, theluji inayolimbikika katika [[majira ya baridi]] ni kidogo kuliko inayoyeyuka katika [[majira ya joto]]. Inabashiriwa kuwa hali ikiendelea hivyo, Mlima Kenya hautakuwa na theluji miaka 30 itakayokuja<ref name=":0" /><ref name="guide" />. Kupungua kwa barafuto kunasababishwa na kuongezeka kwa halijoto au kubadilika kwa tabia ya usimbishaji.<ref name="benn">{{cite book


Mwaka 1949 eneo kupita m 3,400 lilifanywa [[Hifadhi ya taifa|hifadhi ya kitaifa]].<ref name="mck" /> Barabara ilijengwa kutoka [[Naro Moru]] ili kurahisisha safari ya kufikia nika ya mlima.


Mwaka 1963, katika siku ya uhuru wa Kenya, Kisoi Munayo alikita bendera ya Kenya juu ya mlima. Mwaka 1997, mlima Kenya uliteuliwa kuwa eneo la urithi wa dunia na UNESCO.<ref name="unesco">{{cite web


|last = Benn




| url= http://whc.unesco.org/pg.cfm?cid=31&id_site=800


|first = Doug




| title= UNESCO World Heritage Site | author=UNESCO


|last1 = David




| accessdate=2007-05-26 }}</ref>
==Hifadhi ya Taifa ya Mlima Kenya==
{{main|Hifadhi ya Taifa ya Mlima Kenya}}


|first1 = Evans
Hifadhi ya Taifa ya Mlima Kenya, ilianzishwa mwaka [[1949]]. Inahifadhi eneo linalozunguka mlima. Awali ilikuwa [[hifadhi ya misitu]].<ref name="kws_website">{{cite web






|title = Glaciers and Glaciation
|url= http://www.kws.org/mt-kenya.html






|publisher = Arnold
|title= Mount Kenya National Park






|year = 1997
|accessdate= 2008-02-23






|isbn = 978-0340584316}}</ref> Eneo la barafuto lilipimwa rasmi mara ya kwanza mwaka 1980 na kubainika kuwa ni 0.7 km<sup>2</sup> <ref name="glacierfluctuations">
|author= Kenya Wildlife Service
{{cite journal|last=Karlén|first=Wibjörn|year=1999|title=Glacier Fluctuations on Mount Kenya since ~6000 Cal. Years BP: Implications for Holocene Climate Change in Africa|url=http://www.ambio.kva.se|journal=Ambio|publisher=Royal Swedish Academy of Sciences|volume=28|issue=5|pages=409–418|coauthors=James L Fastook, Karin Holmgren, Maria Malmström, John A Matthews, Eric Odada, Jan Risberg, Gunhild Rosqvist, Per Sandgren, Aldo Shemesh and Lars-Ove Westerberg|month=Agosti}}
</ref>.


Majina ya barafuto za Mlima Kenya kwa mzunguko wa akrabu kutoka kaskazini ni ni:


# Northey


# Krapf
|authorlink= Kenya Wildlife Service


# Gregory


# Lewis


# Diamond
|year= 2007


# Darwin


# Forel


# Heim
|archiveurl= http://web.archive.org/web/20070622045208/http://www.kws.org/mt-kenya.html


# Tyndall


# Cesar


# Josef
|archivedate= 2007-06-22


===Miundo ya kingo za barafuto===
Jalidi usiku hufanya kuwe na miundo ya kingo za kingo za barafuto. Kuna sentimita chache ardhi jalidi chini ya uso wa ardhi.<ref name="map" /><ref name="baker" /> Kupanuka na kupunguka kwa ardhi kwa sababu ya halijoto, hufanya mimea isiweze kumea katika kingo.<ref name="mck" />
===Mito===
Mlima Kenya ni eneo kuu la vyanzo vya maji vya mito miwili mikubwa nchini Kenya; [[Mto Tana]] na Mto Ewaso Ngiro Kaskazini.<ref name="development">{{cite journal




}}</ref> Tangu [[Aprili]] [[1978]] eneo limeteuliwa kama Hifadhi ya Mazingira ya dunia UNESCO .<ref name="unep">{{cite web


| last = Gichuki




|url= http://www.unep-wcmc.org/sites/wh/mt_kenya.html


| first = Francis Ndegwa




|title= Protected Areas and World Heritage


| title = Threats and Opportunities for Mountain Area Development in Kenya




|accessdate= 2008-02-23


| journal = Ambio




|author= United Nations Environment Programme


| volume = 28




|authorlink= United Nations Environment Programme


| issue = 5




|year= 1998


| pages = 430–435




|archiveurl= http://web.archive.org/web/20070212211303/http://www.unep-wcmc.org/sites/wh/mt_kenya.html


| publisher = Royal Swedish Academy of Sciences




|archivedate= 2007-02-12


| date = Agosti 1999




}}</ref>


| url = http://www.ambio.kva.se}}
[[Serikali ya Kenya]] ilikuwa na sababu nne za kuanzisha Hifadhi ya Taifa inayozunguka Mlima Kenya: umuhimu wa [[utalii]] kwa [[uchumi]], kuhifadhi eneo la uzuri, kuhifadhi [[viumbe hai]] ndani yake, na kuhifadhi [[Chanzo cha maji|vyanzo vya maji]] vinavyozunguka eneo.<ref name="development">{{cite journal


</ref> Mfumo wa ikolojia wa Mlima Kenya hupatia watu zaidi ya milioni 2 maji.<ref name="development" /> Wiani wa vijito ni kubwa hasa katika miteremko ambayo haijawahi kuwa na barafuto.<ref name="baker_map">{{cite map




| last = Gichuki


| publisher =Edward Stanford Ltd




| first = Francis Ndegwa


| title =Geological Map of the Mount Kenya Area




| coauthors =


| url = http://eusoils.jrc.it/ESDB_Archive/EuDASM/Africa/maps/afr_kegmmka.htm




| title = Threats and Opportunities for Mountain Area Development in Kenya


| edition =1st




| journal = Ambio


| year =1966




| volume = 28


| cartography =B. H. Baker, Geological Survey of Kenya




| issue = 5


| scale =1:125000




| pages = 430–435


| series =Geological Survey of Kenya




| publisher = Royal Swedish Academy of Sciences


| accessdate =




| month = Agosti | year = 1999


| accessmonth =




| url = http://www.ambio.kva.se


| accessyear =




| doi =


}}</ref> Vijito na mito inayoanza Mlima Kenya humwaga maji ndani ya Mto Sagana, Mto Tana na Mto Ewaso Ngiso Kaskazini moja kwa moja au kupitia mito mingine. <ref name="baker_map" /><ref name="mapandguide">


{{cite map|publisher=Andrew Wielochowski and Mark Savage|title=Mt Kenya 1:50000 Map and Guide|edition=1|year=1991|cartography=West Col Productions|scale=1:50000 with 1:25000 inset|isbn=0-906227-39-9}}</ref>
===Ikolojia===
Eneo la Mlima Kenya lina kanda tofauti za kiikolojia. Kila ukanda una sifa zake na spishi kuu ya mimea. Spishi nyingi zinazopatikana katika sehemu zilizo juu ya mlima zinapatikana pia katika maeneo mengine ya mlima na Afrika Mashariki.<ref name="ecology" />


Pia kuna tofauti kati ya kanda, kutegemea upande wa mlima na ukali wa mteremko. Kusini mashariki pa mlima ni sehemu nyevu kuliko kaskazini<ref name="glacierfluctuations" /> kwa hivyo, spishi nyingi za sehemu hiyo hutegemea unyevu kukua. Baadhi ya spishi, k.v. [[mianzi]], haziwezi kukua katika pande zote za mlima kwa sababu za tofauti za unyevu.<ref name="map" />
| accessdate =
====Kanda====
[[File:Mount Kenya Vegetation map en.svg|thumb|right|300px|Kuna kanda tofauti mimea kuzunguka Mlima Kenya ambayo inatofautiana kulingana na urefu na kipengele.]]


Tabianchi hubadilika kulingana na mwinuko. Katika kitako cha mlima, udongo una rutuba na hivyo ni mzuri kwa ukulima. Ukulima ulikuwa ukifanyika hapo kwa miaka.<ref name="castro" />


Mlima Kenya umezungukwa na misitu. [[Uoto asilia|Uoto]] katika misitu unategemea kiwango cha mvua, na spishi hutofautiana zaidi kusini na kaskazini mwa mteremko.<ref name="dutton" /> Misitu katika kitako cha mlima hutishiwa na binadamu wanaokata miti ili watengeneze mbao na wanyakuzi ardhi.<ref name="castro" />


Juu ya misitu ni ukanda wa mianzi asilia. Ukanda huu huzunguka mlima isipokuwa sehemu ya kaskazini ambapo kuna upungufu wa mvua<ref name="mck" />. Ni vigumu kupata spishi nyingine za mimea hapo kwa sababu uoto wa mianzi ni mzito na huzuia mimea mingine kumea.<ref name="map" />[[File:Timberline forest with lichens.jpg|thumb|left|Msitu wa mpaka wamiti.]]
| format = subscription required}}






Juu ya ukanda wa mianzi ni ukanda wa mpaka wa miti. Miti hapa mara nyingi ni midogo kuliko miti katika misitu ya kitako cha mlima.<ref name="zonation">
</ref>
{{cite journal
==Utamaduni==
[[File:Mount Kenya Population map-fr.svg|right|thumb|Mlima Kenya ni muhimu kwa makabila yote ya pembezoni hai.]]


Makabila makuu wanaoishi kuzunguka Mlima Kenya ni [[Wakikuyu]], [[Wameru]], [[Waembu]] na [[Wamaasai]]. Hao wote huona mlima huo kama kipengele muhimu cha [[tamaduni]] zao.


===Wakikuyu===
[[File:Batian and Nelion in the background cropped.JPG|thumb|Makabila kadhaa wanaoishi kuzunguka Mlima Kenya wanaamini kuwa mlima takatifu. Walitumia kujenga nyumba zao zinazowakabili mlima, na milango upande karibu yake.|alt=|left]]


| last = Niemelä
[[Wakikuyu]] wanaishi kusini na magharibi mwa mlima.<ref name="ecology" /><ref name="Explorers">{{cite book |title= East African Explorers|last= Richards|first= Charles|authorlink= |coauthors= James Place|year= 1960|publisher= Oxford University Press|location= London}}


</ref> Wao ni [[wakulima]] na hulima katika udongo mwekundu wa volkeno. Wakikuyu waamini kwamba Mungu wao, ''Ngai''  aliishi juu ya Mlima Kenya aliposhuka kutoka mbinguni.<ref name=":5">{{Cite book|url=https://books.google.co.ke/books?id=pPBtzgAACAAJ&dq=facing+mount+kenya&hl=en&sa=X&ved=0ahUKEwithfbKqbjdAhUD1BoKHWuEDS4Q6AEIJzAA|title=Facing Mount Kenya|last=Kenyatta|first=Jomo|date=2011-04-05|publisher=Penguin Random House|isbn=9781846555527|language=en}}</ref> Wao wanaamini kuwa mlima ni kiti cha enzi cha Ngai duniani. Ni mahali ambapo Gikuyu, baba wa kabila, alitumia kukutana na Mungu wao, Ngai.<ref name=":5" /><ref name="guide">{{cite|author=Kenya Wildlife Service|title=Mount Kenya Official Guidebook|publisher=Kenya Wildlife Service|year=2006|date=2006}}</ref> Jina kwa ajili ya Kikuyu Mlima Kenya ni ''Kĩrĩnyaga''  ([[Kirinyaga]]), tafsiri yake ikiwa ni mlima mweupe. Linatokana na weupe wa theluji<ref>{{Cite journal|last=Karangi|first=Matthew|date=2013-01-01|title=The gĩkũyũ religion and philosophy: A tool for understanding the current religio-political debates in Kenya|url=https://www.researchgate.net/publication/291902121_The_gikuyu_religion_and_philosophy_A_tool_for_understanding_the_current_religio-political_debates_in_Kenya|volume=108|pages=612–622}}</ref>.


===Waembu===
[[Waembu]] wanaishi kusini-mashariki mwa Mlima Kenya,<ref name="ecology" /> na kuamini kuwa mlima ni nyumba ya Mungu wao, ''Ngai''  au ''Mwene Njeru.'' Mlima ni takatifu, na walikuwa wakijenga nyumba zikiwa na milango iliyokuwa ikitazama mlima.<ref name="guide" /> Waembu wanauita ''kiri Njeru'', maana yake, mlima mweupe.<ref name="mck" /><ref name="cordee" /><ref name="guide" />
===Wamasai===
[[Wamasai]] ni [[wahamahamaji]] ambao walitumia ardhi kaskazini ya mlima kulisha mifugo wao. Wanaamini kuwa mababu zao walishuka kutoka mlima mwanzoni mwa wakati.<ref name="guide" /> Wamasai waliuita ''Ol Donyo Keri'', ambalo linamaanisha 'mlima wa bakora au rangi nyingi' kudokeza theluji, misitu na mengineyo vinavyoonekana kutoka tambarare ya kandokando.<ref name="somjee">{{cite journal


| first = Tuomo




| last=Somjee | first=Sultan | year=2000


| coauthors = Petri Pellikka




| title = Oral Traditions and Material Culture: An East Africa Experience


| title = Zonation and characteristics of the vegetation of Mt. Kenya




| journal= Research in African Literatures


| journal = Expedition reports of the Department of Geography, University of Helsinki




| volume=31 | issue=4 | pages = 97–103


| volume = 40




| url = http://muse.jhu.edu/journals/research_in_african_literatures/v031/31.4somjee.html


| issue =




| accessdate=2008-02-21 | doi = 10.2979/RAL.2000.31.4.97


| pages = 14–20




}}</ref> Angalau moja sala Wamaasai inahusu mlima wa Kenya:


| publisher =




{{Quote|Mungu bariki watoto wetu, wawe kama mkuyu wa Morintat, wakue na wapanuke, wawe kama Vilima vya Ngong, kama Mlima Kenya, kama Mlima Kilimanjaro na waongezeke. (tafsiri)|Ilikusanywa na Francis Sakuda wa Makumbusho ya Amani ya Oloshoibor<ref name=somjee/>}}
===Wameru===
[[Wameru]] wanaishi Mashariki na Kaskazini mwa mlima. Walilima na [[Ufugaji|kufuga]] katika sehemu yenye rutuba nyingi nchini Kenya. Jina la Mt. Kenya kwa [[Kimeru]] ni ''Kirimara'' (kutokana na weupe wa theluji).<ref name="witchmen">{{cite book |title= When We Began There Were Witchmen|last= Fadiman|first= Jeffrey A.|authorlink= |coauthors= |year= 1994|publisher= University of California Press|location= Berkeley|isbn= 0-520-08615-5|page= |pages= |url= http://ark.cdlib.org/ark:/13030/ft8199p24c/|accessdate= 2009-05-14}}


| date =




</ref>
===Makabila mengine===
Wazungu wa kwanza kutembelea Mlima Kenya mara nyingi walileta wajumbe wa makabila mengine kama marafiki na mabawabu. Wengi wao hawakuwa na uzoefu wa baridi, au kuwahi kuona theluji. Maitikio yao mara nyingi zilikuwa za woga na tuhuma.{{Quote|Sifa nyingine ya wazanzibari ilionekana katika kambi ile ile. Asubuhi ilipofika, waume walikuja kuniarifu kwamba maji yale waliokuwa wamewacha ndani ya vyungu yalikuwa yamerogwa. Walisema kuwa ni meupe, na hayatikisiki; Fundi, aliyejulikana kuwa mwenye kuthubutu, alikuwa ameyagonga kwa kijiti na hayakutoka. Walinirai niyaangalie, nikawaambia wayaniletee. Wakakataa, hata hivyo, ili kuyagusa, wakanirai niende yalipokuwa. Kwa kweli, maji yalikuwa yameganda. Niliweka chungu juu ya jiko, nikatabiri kuwa yangegeuka kuwa maji tena. Tuliokuwa nao wakakaa karibu na kuyatazama; yalipoyeyuka, waliniambia kwa furaha kuwa shetani alikuwa amefukuzwa, na nikawaambia kuwa wangeweza kuyatumia maji tena; lakini punde nilipogeuka, waliyamwaga na kuchota mengine kutoka mto uliokuwa karibu. (tafsiri)|J W Gregory|''The Great Rift Valley''<ref name=gregory/>}}


| year = 2004




Mackinder's Expedition wa 1899 alikutana na baadhi ya wanaume kutoka kabila la [[Wadorobo]].<ref name="ecology" />
== Jiografia ==
===Jiolojia===


| ISBN = 952-10-2077-6
[[Picha:Batian and Nelion.JPG|thumb|Vilele vya Mlima kenya. Vinaaminika kuwepo baada ya mmomonyoko kwa njia ya barafuto.<ref name="geology">{{cite book|title=Geology of the Mount Kenya Area|last=Baker|first=B. H.|publisher=Ministry of Natural Resources|year=1967|isbn=|series=Geological Survey of Kenya|doi=|authorlink=}}</ref>]]


Mlima Kenya ni [[volkeno rusu]] iliyokuwa hai kati ya miaka milioni 2.6 na 3.1 iliyopita. Kasoko ya awali ilikuwa pengine katika urefu wa m 6,000; juu kuliko [[Kilimanjaro]]. Tangu izimike, kumekuwa na [[Kipindi cha barafu|vipindi viwili vya barafu]]. Barafuto za leo hazipiti m 4,650 <ref name="map" />.


Miteremko ya kitako cha mlima haijawahi kuwa na barafuto. Ni misitu na baadhi ya sehemu zikalimwa. Miteremko hiyo ina mabonde yenye umbo la V na [[Kijito|vijito]] vingi. Juu mlimani, katika eneo ambalo ni nyika, mabonde yenye umbo la U na vina vifupi. Mabonde hayo yaliumbwa na barafuto.<ref name="geology" />


}}
Wakati Mlima Kenya ulikuwa hai, shughuli za kivolkeno mbali kiasi na mlima. Kaskazini mashariki, kando ya mlima kuna vizibo vingi vya volkeno na [[kreta]]. Kreta ya Ithanguni ndio kubwa zaidi. Inadhaniwa kuwa ilikuwa na theluji wakati huo. Hii inaweza kuonekana kwa kuwa kilele kimelainika. Vilima vidogo huonekana hapo kama ishara kuwa vilikuwa vizibo.<ref name="geology" />
</ref>


Mahali miti haiwezi kuota ni nyika ya mlima, m 3,000. Mimea ya jenasi ''[[Erica]]'' hupatikana katika sehemu ya magharibi ambayo huwa nyevu. Vichaka na nyasi hupatikana katika sehemu kame ambayo hushuhudia moto wa pori.<ref name="mck" /> <ref name="castro" />
Miamba inayounda Mlima kenya ni pamoja na [[basalt]], [[rhomb porphyrite]], [[phonolite]], [[kenyte]] na [[trachyte]].<ref name="geology" /> Kenyte iliripotiwa kuonekana mara ya kwanza mwaka 1900 na Gregory katika utafiti wake wa [[jiolojia]] ya Mlima Kenya.<ref name="gregory1900">{{cite journal


Kimo kinapoongezeka, halijoto hupungua zaidi na hewa hupungua, katika ukanda unaojulikana kama Alpi ya Kiafrika. Mazingira ya ukanda huo yanafanana tu na yale ya [[Aberdare|Safu ya Aberdare]]. <ref name="ecology" /> Mimea mingi ya ukanda huo imejirekebisha ili kuweza kukabili halihewa.<ref name="rosette">{{cite journal




| last= Gregory


| last = Beck




| first= J. W.


| first = Erwin




| authorlink = John Walter Gregory


| coauthors = Ernst-Detlef Schulze, Margot Senser and Renate Scheibe




| year=1900


| title = Equilibrium freezing of leaf water and extracellular ice formation in Afroalpine 'giant rosette' plants




| title = Contributions to the Geology of British East Africa.-Part II. The Geology of Mount Kenya


| journal = Planta




| journal= Quarterly Journal of the Geological Society


| volume = 162




| volume=56


| issue =




| issue=


| pages = 276–282




| pages = 205–222


| publisher =




| url =


| date = 1984




<!--  | accessdate=4th June 2007


| url =




| doi = 10.1144/GSL.JGS.1900.056.01-04.12 -->


| doi = 10.1007/BF00397450




}}</ref>


| accessdate = }}</ref>
[[Joseph Thompson]] alipendekeza utafiti ufanyiwe Mlima Kenya mara ya kwanza mwaka 1883. Aliona mlima kutoka [[Tambarare ya Laikipia]] na akaandika kuwa ilikuwa volkeno zimwe, kizibo kikionekana.<ref name="thomson" /> Hata hivyo, maoni yake hayakuaminika na wanasayansi wa magharibi, hasa baada ya mwaka 1887 wakati [[Teleki]] na [[von Höhnel]] walikwea mlima na kueleza walichokatia kauli kuwa kreta.<ref name="gregory" /> Mwaka 1893 msafara wa Gregory ulifika Barafuto ya Lewis, m 5,000. Alithibitisha kuwa volkeno ilikuwa imezimwa na kuwa kulikuwa na barafuto.<ref name="gregory" /><ref name="gregory1900" />
===Vilele===
[[File:Mount Kenya Summit photomap-en.svg|thumb|right|300px|Vilele vikuu na barafuto kati mwa mlima.]]


Ukanda ulio juu ni ambapo barafuto zimedidimia. Mimea bado haijaweza kuota hapo.<ref name="ecology" />
Asili ya vilele vingi ni shughuli za volkeno. Vilele vingi vimekaribia kati mwa mlima. Vinafanana na vilele vya [[Alpi]] kwa sababu ya mikunjo.<ref name="baker">[112]</ref> Kuvu, kuvumwani na mimea midogo ya milimani humea katika vilele vya kati.<ref name="ecology" /> Vizibo vya volkeno vimefunikwa kwa majivu ya volkeno na udongo.<ref name="speck">{{cite journal
====Flora====
[[File:Senecio keniodendron2.jpg|thumb|right|Mimea kama ''[[Dendrosenecio keniodendron]]'' hufanya marekebisho ili iweze kuota.]]


Mimea ya mlima hutofautiana na mwinuko na mwelekeo wa mlima.<ref name="tropicalalpine" /> Mwinuko unapoongezeka, mimea huwa na marekebisho spesheli ili kuhimili [[jalidi]] na miale ya [[urujuanimno]].<ref name="mck" /><ref name="zonation" /> Kwa mfano, mimea ya jenasi ''[[Carduus]]'', katika ukanda wa alpi ya kiafrika, hutumia majani kulinda jicho la ua kutokana na jalidi.<ref name="senecio">{{cite journal




| last = Speck


| last = Young




| first = Heinrich


| first = Truman P.




| coauthors =


| coauthors = Mary M. Peacock




| title = Soils of the Mount Kenya Area: Their formation, ecology, and agricultural significance


| title = Giant senecios and alpine vegetation of Mount Kenya




| journal = Mountain Research and Development


| journal = Journal of Ecology




| volume = 2


| volume = 80




| issue = 2


| issue =





| pages = 201–221
| pages = 141–148




Mstari 558: Mstari 565:




| date = 1982
| date = 1992






| url =
| url = http://links.jstor.org/sici?sici=0276-4741(198205)2%3A2%3C201%3ASOTMKA%3E2.0.CO%3B2-8






| doi = 10.2307/3672965
| doi =






| accessdate = 2007-06-21
| accessdate = }}
</ref><ref name="rosette" />[[File:Cape Hyrax Mt Kenya 1.JPG|left|thumb|[[Pimbi]] huweza kuishi katika maeneo yenye halihewa kali.]]


====Fauna====
Wanyama wengi hukaa katika kitako cha mlima penye halianga nzuri kidogo. Spishi za nyani, pimbi wa mitini, ndovu, nungunungu, nyati, fisi, mbuni, duma na simba huishi hapo.<ref name="map" />  Wanyama mamalia wachache, k.v. ''Sylvicapra grimmia'' na pimbi wa miamba wanaweza kuishi katika miinuko ya juu kidogo.<ref name="senecio" /><ref name="ecology" />


Spishi za ndege, k.v. chozi, kwenzi, tai na tumbusi hupatikana katika ukanda wa alpi ya kiafrika. Ndege ni muhimu katika mfumo wa ikolojia hiyo kwa kuwa wao husaidia katika mchavusho.<ref name="tropicalalpine">{{cite journal


| year = 1982




| last = Smith


}}</ref>


Vilele virefu zaidi ni Batian (m 5,199), Nelion (m 5,188) na Lenana (m 4,985).<ref name="map" />


| first = Alan P.
Vilele na vizibo vingine ni pamoja na Piggot (m 4,957), Dutton (m 4,885), John (m 4,883), John Minor (m 4,875), Krapf Rognon (m 4,800), Peter (m 4,757), Slade (m 4,750) na Midget (m 4,700). Vyote vina miinuko inayotengeneza umbo kama la piramidi.<ref name="map" /><ref name="baker" />


Vilele maarufu vilivyo katika viunga vya mlima ni Terere (m 4,714) and Sendeyo (m 4,704).<ref name="map" /><center>




| coauthors = Truman P. Young


<gallery>


Picha:Batian Nelion and pt Slade in the foreground Mt Kenya.JPG|Batian (kushoto), Nelion (kulia), na Slade katika mandharimbele


| title = Tropical Alpine Plant Ecology
Picha:Pt Lenana Mt Kenya.JPG|Kilele cha lenana ndicho kimeinuka zaidi


Picha:Krapf rognon and glacier after snowstorm.jpg|Krapf Rognon (m 4800) na Barafuto ya Krapf


Picha:Hut tarn 4500m and Midget Peak Mt Kenya.JPG|Kilele cha Midget kinaweza kukwewa kwa siku moja


| journal = Annual Review of Ecology and Systematics
Picha:Terere and Sendeyo.jpg|Vilele vya Terere na Sendeyo viko katika kiunga cha mlima


</gallery></center>
===Barafuto===
[[File:MtKenya gletscher.jpg|thumb|200px|Barafuto ya Lewis ndio kubwa zaidi.]]


Barafuto zinazidi kudidimia kila mwaka.<ref name="web">{{cite web


| volume = 18




| url= http://www.mck.or.ke/ | author=Mountain Club


| pages = 137–158




| title= Mountain Club of Kenya Homepage


| date = 1987




| accessdate=2007-05-26 }}</ref><ref name="glafot">''[http://www.sundogpublishing.com/Hastenrath/Announcement.html Recession ya Ikweta Glaciers.]'' ''[http://www.sundogpublishing.com/Hastenrath/Announcement.html A Photo Documentation,]''  Hastenrath, S., 2008, Sundog Publishing, Madison, WI, ISBN 978-0-9729033-3-2, 144 pp.
</ref> Kila mwaka, theluji inayolimbikika katika [[majira ya baridi]] ni kidogo kuliko inayoyeyuka katika [[majira ya joto]]. Inabashiriwa kuwa hali ikiendelea hivyo, Mlima Kenya hautakuwa na theluji miaka 30 itakayokuja<ref name=":0" /><ref name="guide" />. Kupungua kwa barafuto kunasababishwa na kuongezeka kwa halijoto au kubadilika kwa tabia ya usimbishaji.<ref name="benn">{{cite book


| doi = 10.1146/annurev.es.18.110187.001033}}</ref>




===Tabianchi===
|last = Benn
Tabianchi ya Mlima Kenya ni ya milima ya ikweta ambayo Hedberg alieleza kuwa ni 'majira ya baridi kila usiku, majira ya joto kila mchana'''.'' <ref name="hedberg1969">{{cite journal






| last =Hedberg
|first = Doug






| first =O.
|last1 = David






| title = Evolution and speciation in a tropical high mountain flora
|first1 = Evans






| journal = Biological Journal of the Linnean Society
|title = Glaciers and Glaciation






|publisher = Arnold
| volume = 1






|year = 1997
| pages = 135–148






| year = 1969
|isbn = 978-0340584316}}</ref> Eneo la barafuto lilipimwa rasmi mara ya kwanza mwaka 1980 na kubainika kuwa ni 0.7 km<sup>2</sup> <ref name="glacierfluctuations">
{{cite journal|last=Karlén|first=Wibjörn|year=1999|title=Glacier Fluctuations on Mount Kenya since ~6000 Cal. Years BP: Implications for Holocene Climate Change in Africa|url=http://www.ambio.kva.se|journal=Ambio|publisher=Royal Swedish Academy of Sciences|volume=28|issue=5|pages=409–418|coauthors=James L Fastook, Karin Holmgren, Maria Malmström, John A Matthews, Eric Odada, Jan Risberg, Gunhild Rosqvist, Per Sandgren, Aldo Shemesh and Lars-Ove Westerberg|month=Agosti}}
</ref>.


Majina ya barafuto za Mlima Kenya kwa mzunguko wa akrabu kutoka kaskazini ni ni:


# Northey


| doi =10.1111/j.1095-8312.1969.tb01816.x
# Krapf


# Gregory


# Lewis


}}</ref> Mlima Kenya mojawapo ya vituo vya uchunguzi wa angahewa vya Global Atmospheric Watch.<ref name="globalatmospherestation">{{cite journal
# Diamond


# Darwin


# Forel


| last = Henne
# Heim


# Tyndall


# Cesar


| first = Stephan
# Josef


===Miundo ya kingo za barafuto===
Jalidi usiku hufanya kuwe na miundo ya kingo za kingo za barafuto. Kuna sentimita chache ardhi jalidi chini ya uso wa ardhi.<ref name="map" /><ref name="baker" /> Kupanuka na kupunguka kwa ardhi kwa sababu ya halijoto, hufanya mimea isiweze kumea katika kingo.<ref name="mck" />
===Mito===
Mlima Kenya ni eneo kuu la vyanzo vya maji vya mito miwili mikubwa nchini Kenya; [[Mto Tana]] na Mto Ewaso Ngiro Kaskazini.<ref name="development">{{cite journal




| coauthors = Wolfgang Junkermann, Josiah M. Kariuki, John Aseyo and Jörg Klausen


| last = Gichuki




| title = Mount Kenya Global Atmosphere Watch Station (MKN): Installation and Meteorological Characterization


| first = Francis Ndegwa




| journal = Journal of Applied Meteorology and Climatology


| title = Threats and Opportunities for Mountain Area Development in Kenya




| volume = 47


| journal = Ambio




| issue = 11


| volume = 28




| pages = 2946–2962


| issue = 5




| publisher =


| pages = 430–435




| date = Novemba 2008


| publisher = Royal Swedish Academy of Sciences




| year =


| date = Agosti 1999




}}</ref>
====Misimu====
[[File:Sunrise over Mount Kenya.jpg|thumb|right|Katika msimu wa joto, asubuhi huwa baridi na bila mawingu. Adhuhuri inapofika, mawingu huziba vilele]]


Mlima Kenya hushuhudia misimu miwili tofauti, [[Msimu wa joto (tropiki)|misimu ya joto]] na [[Msimu wa mvua|misimu ya mvua]], kama maeneo mengine ya Kenya.<ref name="climate_article">{{cite journal
| url = http://www.ambio.kva.se}}


</ref> Mfumo wa ikolojia wa Mlima Kenya hupatia watu zaidi ya milioni 2 maji.<ref name="development" /> Wiani wa vijito ni kubwa hasa katika miteremko ambayo haijawahi kuwa na barafuto.<ref name="baker_map">{{cite map




| last =Thompson


| publisher =Edward Stanford Ltd




| first = B. W.


| title =Geological Map of the Mount Kenya Area




| title = The mean annual rainfall of Mount Kenya


| url = http://eusoils.jrc.it/ESDB_Archive/EuDASM/Africa/maps/afr_kegmmka.htm




| journal = Weather


| edition =1st




| volume = 21


| year =1966




| pages = 48–49


| cartography =B. H. Baker, Geological Survey of Kenya




| date = 1966


| scale =1:125000




}}</ref> Miteremko ya mashariki kaskazini hupata mvua kubwa zaidi kwa kuwa uko katika [[Upande wa upepo|upande wa pepo]] za [[matlai]] ambazo huleta mvua kutoka [[Bahari ya Hindi|Bahari Hindi]]. Mvua hii huwezesha msitu uliosongamana katika upande huo. Katika miinuko ya juu, [[usimbishaji]] hufanyika kama theluji na kutengeneza barafuto.<ref name="spink">{{cite journal


| series =Geological Survey of Kenya




| last = Spink


| accessdate =




| first = Lieut.-Commander P. C.


| accessmonth =




| title = Further Notes on the Kibo Inner Crater and Glaciers of Kilimanjaro and Mount Kenya


| accessyear =




| journal = Geographical Journal


}}</ref> Vijito na mito inayoanza Mlima Kenya humwaga maji ndani ya Mto Sagana, Mto Tana na Mto Ewaso Ngiso Kaskazini moja kwa moja au kupitia mito mingine. <ref name="baker_map" /><ref name="mapandguide">


{{cite map|publisher=Andrew Wielochowski and Mark Savage|title=Mt Kenya 1:50000 Map and Guide|edition=1|year=1991|cartography=West Col Productions|scale=1:50000 with 1:25000 inset|isbn=0-906227-39-9}}</ref>
===Ikolojia===
Eneo la Mlima Kenya lina kanda tofauti za kiikolojia. Kila ukanda una sifa zake na spishi kuu ya mimea. Spishi nyingi zinazopatikana katika sehemu zilizo juu ya mlima zinapatikana pia katika maeneo mengine ya mlima na Afrika Mashariki.<ref name="ecology" />


| volume = 106
Pia kuna tofauti kati ya kanda, kutegemea upande wa mlima na ukali wa mteremko. Kusini mashariki pa mlima ni sehemu nyevu kuliko kaskazini<ref name="glacierfluctuations" /> kwa hivyo, spishi nyingi za sehemu hiyo hutegemea unyevu kukua. Baadhi ya spishi, k.v. [[mianzi]], haziwezi kukua katika pande zote za mlima kwa sababu za tofauti za unyevu.<ref name="map" />
====Kanda====
[[File:Mount Kenya Vegetation map en.svg|thumb|right|300px|Kuna kanda tofauti mimea kuzunguka Mlima Kenya ambayo inatofautiana kulingana na urefu na kipengele.]]


Tabianchi hubadilika kulingana na mwinuko. Katika kitako cha mlima, udongo una rutuba na hivyo ni mzuri kwa ukulima. Ukulima ulikuwa ukifanyika hapo kwa miaka.<ref name="castro" />


Mlima Kenya umezungukwa na misitu. [[Uoto asilia|Uoto]] katika misitu unategemea kiwango cha mvua, na spishi hutofautiana zaidi kusini na kaskazini mwa mteremko.<ref name="dutton" /> Misitu katika kitako cha mlima hutishiwa na binadamu wanaokata miti ili watengeneze mbao na wanyakuzi ardhi.<ref name="castro" />


| issue = 5/6
Juu ya misitu ni ukanda wa mianzi asilia. Ukanda huu huzunguka mlima isipokuwa sehemu ya kaskazini ambapo kuna upungufu wa mvua<ref name="mck" />. Ni vigumu kupata spishi nyingine za mimea hapo kwa sababu uoto wa mianzi ni mzito na huzuia mimea mingine kumea.<ref name="map" />[[File:Timberline forest with lichens.jpg|thumb|left|Msitu wa mpaka wamiti.]]






| pages = 210–216
Juu ya ukanda wa mianzi ni ukanda wa mpaka wa miti. Miti hapa mara nyingi ni midogo kuliko miti katika misitu ya kitako cha mlima.<ref name="zonation">
{{cite journal






| publisher = The Royal Geographical Society
| last = Niemelä






| first = Tuomo
| date = 1945






| doi =
| coauthors = Petri Pellikka






}}
| title = Zonation and characteristics of the vegetation of Mt. Kenya
</ref>


Misimu ya Mlima Kenya ni kama ifuatavyo<ref name="castro">{{cite book




| journal = Expedition reports of the Department of Geography, University of Helsinki


| last = Castro




| volume = 40


| first = Alfonso Peter




| issue =


| title = Facing Kirinyaga




| pages = 14–20


| year = 1995




| publisher =


| publisher = Intermediate Technology Publications Ltd.




| date =


| location = London




| year = 2004


| isbn = 1-85339-253-7




| ISBN = 952-10-2077-6


}}</ref>:
{| class="wikitable"
|+
!Msimu
!Wakati
|-
|Masika
|Aprili-Juni/Julai
|-
|Vuli
|Oktoba-Disemba
|-
|Joto/Kiangazi
|Disemba/Januari-Februari
na


Julai/Agosti-Septemba
|}


==Historia==
}}
===Ugunduzi wa Wazungu===
</ref>
[[File:Joseph Thomson.png|right|thumb|Joseph Thomson alithibitisha  ugunduzi wa Krapf.]]


Mlima Kenya ulikuwa kati ya vilele virefu [[Afrika]] kuonekana kwa mara ya kwanza na [[Mpelelezi|wapelelezi]] kutoka Ulaya. Wa kwanza kuuona alikuwa [[Johann Ludwig Krapf]], [[mmisionari]] [[Mjerumani]]<ref name="Krapf">{{cite book
Mahali miti haiwezi kuota ni nyika ya mlima, m 3,000. Mimea ya jenasi ''[[Erica]]'' hupatikana katika sehemu ya magharibi ambayo huwa nyevu. Vichaka na nyasi hupatikana katika sehemu kame ambayo hushuhudia moto wa pori.<ref name="mck" /> <ref name="castro" />


Kimo kinapoongezeka, halijoto hupungua zaidi na hewa hupungua, katika ukanda unaojulikana kama Alpi ya Kiafrika. Mazingira ya ukanda huo yanafanana tu na yale ya [[Aberdare|Safu ya Aberdare]]. <ref name="ecology" /> Mimea mingi ya ukanda huo imejirekebisha ili kuweza kukabili halihewa.<ref name="rosette">{{cite journal




| last=Krapf | first=Johann Ludwig | authorlink=Johann Ludwig Krapf


| last = Beck




| title= Travels, Researches, and Missionary Labours in Eastern Africa


| first = Erwin




| year=1860 | publisher=Frank Cass & Co. Ltd | location=London


| coauthors = Ernst-Detlef Schulze, Margot Senser and Renate Scheibe




| isbn= }}</ref>, [[tarehe]] [[3 Desemba]] [[1849]]<ref name="dutton">{{cite book


| title = Equilibrium freezing of leaf water and extracellular ice formation in Afroalpine 'giant rosette' plants




| last=Dutton | first=E.A.T. | authorlink=


| journal = Planta




| title= Kenya Mountain |year=1929 |publisher=Jonathan Cape


| volume = 162




| location= London}}</ref>, kutoka [[Kitui]], mji ulio km 160 kutoka mlima<ref name="rough_guide">{{cite map


| issue =




| publisher=Rough Guide | title= Rough Guide Map Kenya


| pages = 276–282




| edition=9 | year=2006 | cartography=World Mapping Project


| publisher =




| scale=1:900,000 | series=Rough Guide Map |isbn=1-84353-359-6


| date = 1984




}}</ref>, baada ya ugunduzi wa [[Mlima Kilimanjaro]].


Krapf aliambiwa na [[watu]] wa [[kabila]] la [[Waembu]] kwamba walikuwa wakiuzunguka mlima lakini hawakuwa wamepaa juu kwa sababu ya [[baridi]] na  [[theluji]].<ref name="Krapf" /> [[Wakikuyu]] walithibitisha haya yametukia.[[File:Samuel Teleki.jpg|thumb|left|Samuel Teleki, Mzungu wa kwanza kuweka mguu juu ya Mlima Kenya.]]
| url =






Krapf pia alibainisha kwamba [[mito]] inayotoka Mlima Kenya, na mingine katika eneo la milima, ilikuwa mito ya kudumu. Akagundua kuwa lazima kuna chanzo cha maji mlimani, katika umbo la barafuto.<ref name="Krapf" /> Aliamini ni chanzo cha [[Mto Nili Nyeupe|Nili Nyeupe]].<ref>{{cite journal
| doi = 10.1007/BF00397450






| last=Krapf | first=Johann Ludwig | authorlink=Johann Ludwig Krapf
| accessdate = }}</ref>


Ukanda ulio juu ni ambapo barafuto zimedidimia. Mimea bado haijaweza kuota hapo.<ref name="ecology" />
====Flora====
[[File:Senecio keniodendron2.jpg|thumb|right|Mimea kama ''[[Dendrosenecio keniodendron]]'' hufanya marekebisho ili iweze kuota.]]


Mimea ya mlima hutofautiana na mwinuko na mwelekeo wa mlima.<ref name="tropicalalpine" /> Mwinuko unapoongezeka, mimea huwa na marekebisho spesheli ili kuhimili [[jalidi]] na miale ya [[urujuanimno]].<ref name="mck" /><ref name="zonation" /> Kwa mfano, mimea ya jenasi ''[[Carduus]]'', katika ukanda wa alpi ya kiafrika, hutumia majani kulinda jicho la ua kutokana na jalidi.<ref name="senecio">{{cite journal


| title = Extract from Krapf's diary | date=13 Mei 1850




| last = Young


| journal=Church Missionary Intelligencer




| first = Truman P.


| volume=i | pages=345}}</ref>


Mwaka [[1851]] Krapf akarudi Kitui. Yeye alisafiri km 65 karibu na mlima, lakini hakuweza kuuona tena. Mwaka 1877 Hildebrandt alikuwa katika eneo la Kitui na kusikia juu ya mlima, lakini pia hakuweza kuuona, hivyo watu walianza kumtuhumu Krapf.<ref name="gregory">


| coauthors = Mary M. Peacock




{{cite book


| title = Giant senecios and alpine vegetation of Mount Kenya




| last=Gregory | first=John Walter |authorlink=John Walter Gregory


| journal = Journal of Ecology




| title=The Great Rift Valley | origdate=1896 | year=1968


| volume = 80




| publisher= Frank Cass & Co. Ltd | location=London}}</ref>


Hatimaye, mwaka [[1883]], [[Joseph Thomson]] alipita upande wa magharibi wa mlima na Krapf alithibitisha madai yake.<ref name="thomson">{{cite book|title=Through Masai Land|last=Thomson|first=Joseph|publisher=Frank Cass & Co Ltd|year=1968|edition=3|location=London|authorlink=Joseph Thomson (explorer)|origdate=1885}}</ref> Hata hivyo, upelelezi rasmi wa kwanza ulifanyika mwaka 1887 na [[Samuel Teleki]] na [[Ludwig von Höhnel]]. Waliweza kufika mita 4,350 kwenye mteremko wa kusini magharibi<ref name=":2" />. Katika safari ya upelelezi huo, waliamini kuwa walikuwa wamegundua volkeno.
| issue =


Mwaka 1892, Teleki na von Höhnel walirudi upande wa mashariki, lakini hawakuweza kupitia msitu.<ref name="ecology">{{cite book




| pages = 141–148


| last=Coe | first=Malcolm James




| publisher =


| title=The Ecology of the Alpine Zone of Mount Kenya




| date = 1992


| year=1967 | publisher= Dr W. Junk | location=The Hague}}</ref>


Hatimaye, mwaka 1893 timu ilisafiri kutoka pwani hadi [[Ziwa Baringo]] katika [[Bonde la Ufa]], ikiongozwa na [[John W. Gregory]], [[mwanajiolojia]] [[Mwingereza]]. Walikwea mlima hadi mita 4,730 na wakakaa masaa kadhaa katika Barafuto ya Lewis. Aliporudi [[Uingereza]], Gregory alichapisha [[majarida]] na [[hadithi]] ya mafanikio yake.<ref name="mck" /> George Kolb, [[daktari]] Mjerumani, alifanya safari mwaka 1894 na 1896 <ref name="mck" /> na alikuwa wa kwanza kufika nyika ya mlima upande wa mashariki.


Tarehe 28 Julai 1899,<ref name=":3" /> Halford John Mackinder aliongoza kundi la wapelelezi 6 kutoka [[Ulaya]], 66 kutoka [[Uswahilini]], [[Wamaasai]] 2 na Wakikuyu 96<ref name=":3" />. Walipatana na matatizo mengi njiani<ref name=":3" />. Mackinder aliendelea kupanda mlima. Alikita kambi m 3,142<ref name=":3" />  katika Bonde la Höhnel. Alifanya jaribio la kwanza kufikia kilele tarehe [[30 Agosti]] pamoja na Brocherel na Ollier kupitia upande wa mashariki, lakini wakabakisha kupanda m 100 kutoka Kilele cha Nelion. Tarehe [[5 Septemba]], Hausberg, Ollier na Brocherel walifanya mzunguko kutafuta njia rahisi ila hawakuweza kupata. Tarehe [[11 Septemba]] Ollier na Brocherel walipanda Barafuto ya Darwin, lakini walilazimishwa kukatiza safari kutokana na [[dhoruba ya theluji]]<ref name=":3" />.
| url =


Wakati Saunders alirudi kutoka Naivasha timu okozi, Mackinder, Ollier na Brocherel walijaribu kupanda kilele tena. Walifika kilele cha Batian saa sita mchana tarehe 13 Septemba, na walishuka kutumia njia ileile<ref name=":3" />.
===1900-1930===
Baada ya ukweaji wa kwanza, hakukuwa na safari nyingi za kukwea mlima. Upelelezi kabla ya [[Vita Kuu ya Kwanza ya Dunia|Vita ya Kwanza ya Dunia]] ulikuwa ukifanywa na [[walowezi]] nchini Kenya, ambao hawakufanya upelelezi wa kisayansi. Misheni ya Kanisa la Uskoti ilipofunguliwa Chogoria[[Chogoria,|,]] wamishonari kadhaa walikwea mlima lakini hakuna aliyefanikiwa kufikia vilele vya Batian au Nelion.<ref name="mck" />


Miti ya misitu ilikatwa ili kurahisisha safari ya kufikia vilele. Mwaka 1920, Arthur Fowell Buxton alijaribu kutengeneza njia kutoka kusini, na njia nyingine walikuja kutoka [[Nanyuki]] kaskazini, lakini njia iliyotumiwa zaidi ni ile ya Chogoria, kutoka mashariki, iliyotengenezwa na Ernest Carr.<ref name="mck" />


Mwishoni mwa Julai 1930, Shipton na Bill Tilman walikwea vilele vyote. Katika safari hii, Shipton na Tilman walijaribu kukwea vilele vingine, ikiwa ni pamoja na Petro, Dutton, Midget , Pigott na aidha Terere au Sendeyo.<ref name="cordee">{{cite book
| doi =






|last= Burns
| accessdate = }}
</ref><ref name="rosette" />[[File:Cape Hyrax Mt Kenya 1.JPG|left|thumb|[[Pimbi]] huweza kuishi katika maeneo yenye halihewa kali.]]


====Fauna====
Wanyama wengi hukaa katika kitako cha mlima penye halianga nzuri kidogo. Spishi za nyani, pimbi wa mitini, ndovu, nungunungu, nyati, fisi, mbuni, duma na simba huishi hapo.<ref name="map" />  Wanyama mamalia wachache, k.v. ''Sylvicapra grimmia'' na pimbi wa miamba wanaweza kuishi katika miinuko ya juu kidogo.<ref name="senecio" /><ref name="ecology" />


Spishi za ndege, k.v. chozi, kwenzi, tai na tumbusi hupatikana katika ukanda wa alpi ya kiafrika. Ndege ni muhimu katika mfumo wa ikolojia hiyo kwa kuwa wao husaidia katika mchavusho.<ref name="tropicalalpine">{{cite journal


|first= Cameron




| last = Smith


|title= Kilimanjaro & Mount Kenya; A Climbing and Trekking Guide




| first = Alan P.


|year= 1998




| coauthors = Truman P. Young


|publisher= Cordee




| title = Tropical Alpine Plant Ecology


|location= Leicester




| journal = Annual Review of Ecology and Systematics


|isbn= 1-871890-98-5}}</ref>
===1931 hadi leo===
Katika miaka ya 1930 ziara zilifanyika zaidi katika nyika ya mlima. Raymond Hook na Humphrey Slade walikwea ili wachore ramani ya mlima na wakapeleka samaki. Februari mwaka 1938, C Carol na Mtu Muthara wakawa mwanamke wa kwanza na Mwafrika wa kwanza mtawalia kupaa Nelion, katika ziara na Noel Symington, mwandishi wa ''The Night Climbers of Cambridge,''  na tarehe [[5 Machi]] Una Cameron akawa mwanamke wa kwanza kupaa Batian.<ref name="mck" />


Wakati wa [[Vita Kuu ya Pili ya Dunia]] ziara za kukwea mlima zilididimia zaidi. Watu maarufu waliokwea katika wakati huo walikuwa wafungwa wa vitani Waitaliano, ambao walikuwa wamefungwa jela Nanyuki. Walitoroka na kupanda mlima kabla ya kurejea kambini.<ref name="picnic">{{cite book


| volume = 18




| last= Benuzzi | first= Felice | authorlink=


| pages = 137–158




| title=No Picnic on Mount Kenya: A Daring Escape, a Perilous Climb


| date = 1987




| origdate=1953 | year=2005 | publisher=The Lyons Press


| doi = 10.1146/annurev.es.18.110187.001033}}</ref>




| location=  | isbn=978-1592287246}}</ref>


Mwaka 1949 eneo kupita m 3,400 lilifanywa [[Hifadhi ya taifa|hifadhi ya kitaifa]].<ref name="mck" /> Barabara ilijengwa kutoka [[Naro Moru]] ili kurahisisha safari ya kufikia nika ya mlima.
==Tabianchi==
Tabianchi ya Mlima Kenya ni ya milima ya ikweta ambayo Hedberg alieleza kuwa ni 'majira ya baridi kila usiku, majira ya joto kila mchana'''.'' <ref name="hedberg1969">{{cite journal


Mwaka 1963, katika siku ya uhuru wa Kenya, Kisoi Munayo alikita bendera ya Kenya juu ya mlima. Mwaka 1997, mlima Kenya uliteuliwa kuwa eneo la urithi wa dunia na UNESCO.<ref name="unesco">{{cite web




| last =Hedberg


| url= http://whc.unesco.org/pg.cfm?cid=31&id_site=800




| first =O.


| title= UNESCO World Heritage Site | author=UNESCO




| title = Evolution and speciation in a tropical high mountain flora


| accessdate=2007-05-26 }}</ref>
==Hifadhi ya Taifa ya Mlima Kenya==
{{main|Hifadhi ya Taifa ya Mlima Kenya}}


Hifadhi ya Taifa ya Mlima Kenya, ilianzishwa mwaka [[1949]]. Inahifadhi eneo linalozunguka mlima. Awali ilikuwa [[hifadhi ya misitu]].<ref name="kws_website">{{cite web


| journal = Biological Journal of the Linnean Society




|url= http://www.kws.org/mt-kenya.html


| volume = 1




|title= Mount Kenya National Park


| pages = 135–148




|accessdate= 2008-02-23


| year = 1969




|author= Kenya Wildlife Service


| doi =10.1111/j.1095-8312.1969.tb01816.x




|authorlink= Kenya Wildlife Service


}}</ref> Mlima Kenya mojawapo ya vituo vya uchunguzi wa angahewa vya Global Atmospheric Watch.<ref name="globalatmospherestation">{{cite journal




|year= 2007


| last = Henne




|archiveurl= http://web.archive.org/web/20070622045208/http://www.kws.org/mt-kenya.html


| first = Stephan




|archivedate= 2007-06-22


| coauthors = Wolfgang Junkermann, Josiah M. Kariuki, John Aseyo and Jörg Klausen




}}</ref> Tangu [[Aprili]] [[1978]] eneo limeteuliwa kama Hifadhi ya Mazingira ya dunia UNESCO .<ref name="unep">{{cite web


| title = Mount Kenya Global Atmosphere Watch Station (MKN): Installation and Meteorological Characterization




|url= http://www.unep-wcmc.org/sites/wh/mt_kenya.html


| journal = Journal of Applied Meteorology and Climatology




|title= Protected Areas and World Heritage


| volume = 47




|accessdate= 2008-02-23


| issue = 11




|author= United Nations Environment Programme


| pages = 2946–2962




|authorlink= United Nations Environment Programme


| publisher =




|year= 1998


| date = Novemba 2008




|archiveurl= http://web.archive.org/web/20070212211303/http://www.unep-wcmc.org/sites/wh/mt_kenya.html


| year =




|archivedate= 2007-02-12


}}</ref>
===Misimu===
[[File:Sunrise over Mount Kenya.jpg|thumb|right|Katika msimu wa joto, asubuhi huwa baridi na bila mawingu. Adhuhuri inapofika, mawingu huziba vilele]]


Mlima Kenya hushuhudia misimu miwili tofauti, [[Msimu wa joto (tropiki)|misimu ya joto]] na [[Msimu wa mvua|misimu ya mvua]], kama maeneo mengine ya Kenya.<ref name="climate_article">{{cite journal


}}</ref>


[[Serikali ya Kenya]] ilikuwa na sababu nne za kuanzisha Hifadhi ya Taifa inayozunguka Mlima Kenya: umuhimu wa [[utalii]] kwa [[uchumi]], kuhifadhi eneo la uzuri, kuhifadhi [[viumbe hai]] ndani yake, na kuhifadhi [[Chanzo cha maji|vyanzo vya maji]] vinavyozunguka eneo.<ref name="development">{{cite journal


| last =Thompson




| last = Gichuki


| first = B. W.




| first = Francis Ndegwa


| title = The mean annual rainfall of Mount Kenya




| coauthors =


| journal = Weather




| title = Threats and Opportunities for Mountain Area Development in Kenya


| volume = 21




| journal = Ambio


| pages = 48–49




| volume = 28


| date = 1966




| issue = 5


}}</ref> Miteremko ya mashariki kaskazini hupata mvua kubwa zaidi kwa kuwa uko katika [[Upande wa upepo|upande wa pepo]] za [[matlai]] ambazo huleta mvua kutoka [[Bahari ya Hindi|Bahari Hindi]]. Mvua hii huwezesha msitu uliosongamana katika upande huo. Katika miinuko ya juu, [[usimbishaji]] hufanyika kama theluji na kutengeneza barafuto.<ref name="spink">{{cite journal




| pages = 430–435


| last = Spink




| publisher = Royal Swedish Academy of Sciences


| first = Lieut.-Commander P. C.




| month = Agosti | year = 1999


| title = Further Notes on the Kibo Inner Crater and Glaciers of Kilimanjaro and Mount Kenya




| url = http://www.ambio.kva.se


| journal = Geographical Journal




| doi =


| volume = 106




| accessdate =


| issue = 5/6




| format = subscription required}}


| pages = 210–216




</ref>


==Utamaduni==
| publisher = The Royal Geographical Society
[[File:Mount Kenya Population map-fr.svg|right|thumb|Makazi ya makabila kabla ya taifa la Kenya.]]


Makabila makuu wanaoishi kuzunguka Mlima Kenya ni [[Wakikuyu]], [[Wameru]], [[Waembu]] na [[Wamaasai]]. Hao wote huona mlima huo kama kipengele muhimu cha [[tamaduni]] zao.


===Wakikuyu===
[[File:Batian and Nelion in the background cropped.JPG|thumb|Makabila kadhaa wanaishi katika kitako cha mlima.|alt=|left]]


[[Wakikuyu]] wanaishi kusini na magharibi mwa mlima.<ref name="ecology" /><ref name="Explorers">{{cite book |title= East African Explorers|last= Richards|first= Charles|authorlink= |coauthors= James Place|year= 1960|publisher= Oxford University Press|location= London}}
| date = 1945


</ref> Wao ni [[wakulima]] na hulima katika udongo mwekundu wa volkeno. Wakikuyu waamini kwamba Mungu wao, ''Ngai''  aliishi juu ya Mlima Kenya aliposhuka kutoka mbinguni.<ref name=":5">{{Cite book|url=https://books.google.co.ke/books?id=pPBtzgAACAAJ&dq=facing+mount+kenya&hl=en&sa=X&ved=0ahUKEwithfbKqbjdAhUD1BoKHWuEDS4Q6AEIJzAA|title=Facing Mount Kenya|last=Kenyatta|first=Jomo|date=2011-04-05|publisher=Penguin Random House|isbn=9781846555527|language=en}}</ref> Wao wanaamini kuwa mlima ni kiti cha enzi cha Ngai duniani. Ni mahali ambapo Gikuyu, baba wa kabila, alitumia kukutana na Mungu wao, Ngai.<ref name=":5" /><ref name="guide">{{cite|author=Kenya Wildlife Service|title=Mount Kenya Official Guidebook|publisher=Kenya Wildlife Service|year=2006|date=2006}}</ref> Jina kwa ajili ya Kikuyu Mlima Kenya ni ''Kĩrĩnyaga''  ([[Kirinyaga]]), tafsiri yake ikiwa ni mlima mweupe. Linatokana na weupe wa theluji<ref>{{Cite journal|last=Karangi|first=Matthew|date=2013-01-01|title=The gĩkũyũ religion and philosophy: A tool for understanding the current religio-political debates in Kenya|url=https://www.researchgate.net/publication/291902121_The_gikuyu_religion_and_philosophy_A_tool_for_understanding_the_current_religio-political_debates_in_Kenya|volume=108|pages=612–622}}</ref>.


===Waembu===
[[Waembu]] wanaishi kusini-mashariki mwa Mlima Kenya,<ref name="ecology" /> na kuamini kuwa mlima ni nyumba ya Mungu wao, ''Ngai''  au ''Mwene Njeru.'' Mlima ni takatifu, na walikuwa wakijenga nyumba zikiwa na milango iliyokuwa ikitazama mlima.<ref name="guide" /> Waembu wanauita ''kiri Njeru'', maana yake, mlima mweupe.<ref name="mck" /><ref name="cordee" /><ref name="guide" />
===Wamasai===
[[Wamasai]] ni [[wahamahamaji]] ambao walitumia ardhi kaskazini ya mlima kulisha mifugo wao. Wanaamini kuwa mababu zao walishuka kutoka mlima mwanzoni mwa wakati.<ref name="guide" /> Wamasai waliuita ''Ol Donyo Keri'', ambalo linamaanisha 'mlima wa bakora au rangi nyingi' kudokeza theluji, misitu na mengineyo vinavyoonekana kutoka tambarare ya kandokando.<ref name="somjee">{{cite journal


| doi =




| last=Somjee | first=Sultan | year=2000


}}
</ref>


Misimu ya Mlima Kenya ni kama ifuatavyo<ref name="castro">{{cite book


| title = Oral Traditions and Material Culture: An East Africa Experience




| last = Castro


| journal= Research in African Literatures




| first = Alfonso Peter


| volume=31 | issue=4 | pages = 97–103




| title = Facing Kirinyaga


| url = http://muse.jhu.edu/journals/research_in_african_literatures/v031/31.4somjee.html




| year = 1995


| accessdate=2008-02-21 | doi = 10.2979/RAL.2000.31.4.97




| publisher = Intermediate Technology Publications Ltd.


}}</ref> Sala moja ya Wamasai kuhusu Mlima Kenya:




| location = London


{{Quote|Mungu bariki watoto wetu, wawe kama mkuyu wa Morintat, wakue na wapanuke, wawe kama Vilima vya Ngong, kama Mlima Kenya, kama Mlima Kilimanjaro na waongezeke. (tafsiri)|Ilikusanywa na Francis Sakuda wa Makumbusho ya Amani ya Oloshoibor<ref name=somjee/>}}
===Wameru===
[[Wameru]] wanaishi Mashariki na Kaskazini mwa mlima. Walilima na [[Ufugaji|kufuga]] katika sehemu yenye rutuba nyingi nchini Kenya. Jina la Mt. Kenya kwa [[Kimeru]] ni ''Kirimara'' (kutokana na weupe wa theluji).<ref name="witchmen">{{cite book |title= When We Began There Were Witchmen|last= Fadiman|first= Jeffrey A.|authorlink= |coauthors= |year= 1994|publisher= University of California Press|location= Berkeley|isbn= 0-520-08615-5|page= |pages= |url= http://ark.cdlib.org/ark:/13030/ft8199p24c/|accessdate= 2009-05-14}}




| isbn = 1-85339-253-7


</ref>
===Makabila mengine===
Wazungu wa kwanza kutembelea Mlima Kenya mara nyingi walileta wajumbe wa makabila mengine kama marafiki na mabawabu. Wengi wao hawakuwa na uzoefu wa baridi, au kuwahi kuona theluji. Maitikio yao mara nyingi zilikuwa za woga na tuhuma.{{Quote|Sifa nyingine ya wazanzibari ilionekana katika kambi ile ile. Asubuhi ilipofika, waume walikuja kuniarifu kwamba maji yale waliokuwa wamewacha ndani ya vyungu yalikuwa yamerogwa. Walisema kuwa ni meupe, na hayatikisiki; Fundi, aliyejulikana kuwa mwenye kuthubutu, alikuwa ameyagonga kwa kijiti na hayakutoka. Walinirai niyaangalie, nikawaambia wayaniletee. Wakakataa, hata hivyo, ili kuyagusa, wakanirai niende yalipokuwa. Kwa kweli, maji yalikuwa yameganda. Niliweka chungu juu ya jiko, nikatabiri kuwa yangegeuka kuwa maji tena. Tuliokuwa nao wakakaa karibu na kuyatazama; yalipoyeyuka, waliniambia kwa furaha kuwa shetani alikuwa amefukuzwa, na nikawaambia kuwa wangeweza kuyatumia maji tena; lakini punde nilipogeuka, waliyamwaga na kuchota mengine kutoka mto uliokuwa karibu. (tafsiri)|J W Gregory|''The Great Rift Valley''<ref name=gregory/>}}


Ziara yake ya mwaka 1899, Mackinder alipatana na baadhi ya wanaume kutoka kabila la [[Wadorobo]].<ref name="ecology" />

}}</ref>:
{| class="wikitable"
|+
!Msimu
!Wakati
|-
|Masika
|Aprili-Juni/Julai
|-
|Vuli
|Oktoba-Disemba
|-
|Joto/Kiangazi
|Disemba/Januari-Februari
na

Julai/Agosti-Septemba
|}

==Ukweaji mlima==
==Ukweaji mlima==
===Njia za kukwea===
===Njia za kukwea===

Pitio la 18:53, 16 Septemba 2018

Mlima Kenya.

Mlima Kenya (Kikuyu: Kĩrĩnyaga; Kiembu: Kirenia; Kimaasai: Ol Donyo Keri; Kimeru: Kirimara) ndio mrefu zaidi nchini Kenya. Mlima huu una urefu wa mita 5,199. Mlima huu unatokana na volkeno zimwe ikikadiriwa ya kwamba mlipuko wake wa mwisho ulitokea mnamo miaka milioni 2.6 hadi 3.1 iliyopita.

Vilele vyake vya juu vinaitwa Batian (m 5,199), Nelion (m 5,188) na Lenana (m 4,985). Kuna barafuto nane mlimani lakini zinapungua kila mwaka kutokana na kupanda kwa halijoto duniani na kupungua kwa usimbishaji kwa sababu ya kukatwa kwa miti mingi[1][2][3].

Mlima Kenya ni volkeno rusu iliyoumbwa takriban miaka milioni 3 baada ya kuumbika wa Bonde la Ufa.[4] Umekuwa na theluji kwa maelfu ya miaka. Theluji hiyo hufanya kuwe na mmomonyoko unaosababishwa na barafuto na kutengeneza mabonde[5]. Barafuto zimepungua kutoka 18 hadi 10[3]. Mlima huu ni chanzo muhimu cha maji kwa Kenya.[6]

Habari kuhusu mlima zilifikishwa Ulaya mwaka 1849 na Ludwig Krapf,[7] lakini jamii ya wanasayansi walibaki na wasiwasi kuhusu ripoti kuwa kulikuwa na theluji karibu na ikweta.[8] Uwepo wa Mlima Kenya ulithibitishwa mwaka 1883 na 1887[9]. Ulipandwa na timu iliyoongozwa na Halford John Mackinder, mwaka 1899[10]. Leo Mlima Kenya hupandwa na watalii na wanaopenda kupanda milima na miamba.[11]

Mfumo wa ikolojia wa Mlima Kenya una aina tofauti za mimea na wanyama.[12] Mteremko hufunikwa na aina tofauti ya misitu. Spishi asilia ni kama vile mianzi, tai na pimbi.[13] Kwa sababu hii, eneo la km2 715 linalozunguka mlima ni hifadhi ya taifa [14] na liliorodheshwa na UNESCO kama urithi wa dunia mwaka 1997.[15] Hifadhi hupokea wageni zaidi ya 15,000 kwa mwaka.[6]

Etimolojia

Neno Kenya linaweza kuwa lilitokana na majina ambayo makabila wenyeji waliupatia Mlima Kenya. Wakikuyu; Kirinyaga, Waembu; Kirenyaa na Wakamba; Kiinyaa. Ludwig Krapf aliliandika jina kama Kenia na Kegnia, maneno ambayo yanaaminika kutoholewa kutoka neno la Kikamba.[16][17][18]

Majina ya vilele

Vilele vya Batian, Nelion na Lenana vimepewa majina ya Laibon Mbatian na wanawe ambao walikuwa Wamasai..[7] Kilele cha Terere pia kilipatiwa jina la kiongozi Mmasai. Majina mengine yalitoka kwa majina ya wazungu wapelelezi, k.v. Shipton, Sommerfelt, Tilman, Dutton na Arthur. Kuna majina yaliyotoka kwa wakenya na walowezi maarufu. Majina ya watume John na Peter yalitolewa na Arthur, aliyekuwa mmishonari.[19]

Jiografia

Jiolojia

Vilele vya Mlima kenya. Vinaaminika kuwepo baada ya mmomonyoko kwa njia ya barafuto.[20]

Mlima Kenya ni volkeno rusu iliyokuwa hai kati ya miaka milioni 2.6 na 3.1 iliyopita. Kasoko ya awali ilikuwa pengine katika urefu wa m 6,000; juu kuliko Kilimanjaro. Tangu izimike, kumekuwa na vipindi viwili vya barafu. Barafuto za leo hazipiti m 4,650 [11].

Miteremko ya kitako cha mlima haijawahi kuwa na barafuto. Ni misitu na baadhi ya sehemu zikalimwa. Miteremko hiyo ina mabonde yenye umbo la V na vijito vingi. Juu mlimani, katika eneo ambalo ni nyika, mabonde yenye umbo la U na vina vifupi. Mabonde hayo yaliumbwa na barafuto.[20]

Wakati Mlima Kenya ulikuwa hai, shughuli za kivolkeno mbali kiasi na mlima. Kaskazini mashariki, kando ya mlima kuna vizibo vingi vya volkeno na kreta. Kreta ya Ithanguni ndio kubwa zaidi. Inadhaniwa kuwa ilikuwa na theluji wakati huo. Hii inaweza kuonekana kwa kuwa kilele kimelainika. Vilima vidogo huonekana hapo kama ishara kuwa vilikuwa vizibo.[20]

Miamba inayounda Mlima kenya ni pamoja na basalt, rhomb porphyrite, phonolite, kenyte na trachyte.[20] Kenyte iliripotiwa kuonekana mara ya kwanza mwaka 1900 na Gregory katika utafiti wake wa jiolojia ya Mlima Kenya.[21]

Joseph Thompson alipendekeza utafiti ufanyiwe Mlima Kenya mara ya kwanza mwaka 1883. Aliona mlima kutoka Tambarare ya Laikipia na akaandika kuwa ilikuwa volkeno zimwe, kizibo kikionekana.[22] Hata hivyo, maoni yake hayakuaminika na wanasayansi wa magharibi, hasa baada ya mwaka 1887 wakati Teleki na von Höhnel walikwea mlima na kueleza walichokatia kauli kuwa kreta.[23] Mwaka 1893 msafara wa Gregory ulifika Barafuto ya Lewis, m 5,000. Alithibitisha kuwa volkeno ilikuwa imezimwa na kuwa kulikuwa na barafuto.[23][21]

Vilele

Vilele vikuu na barafuto kati mwa mlima.

Asili ya vilele vingi ni shughuli za volkeno. Vilele vingi vimekaribia kati mwa mlima. Vinafanana na vilele vya Alpi kwa sababu ya mikunjo.[24] Kuvu, kuvumwani na mimea midogo ya milimani humea katika vilele vya kati.[13] Vizibo vya volkeno vimefunikwa kwa majivu ya volkeno na udongo.[25]

Vilele virefu zaidi ni Batian (m 5,199), Nelion (m 5,188) na Lenana (m 4,985).[11]

Vilele na vizibo vingine ni pamoja na Piggot (m 4,957), Dutton (m 4,885), John (m 4,883), John Minor (m 4,875), Krapf Rognon (m 4,800), Peter (m 4,757), Slade (m 4,750) na Midget (m 4,700). Vyote vina miinuko inayotengeneza umbo kama la piramidi.[11][24]

Vilele maarufu vilivyo katika viunga vya mlima ni Terere (m 4,714) and Sendeyo (m 4,704).[11]


Barafuto

Barafuto ya Lewis ndio kubwa zaidi.

Barafuto zinazidi kudidimia kila mwaka.[26][27] Kila mwaka, theluji inayolimbikika katika majira ya baridi ni kidogo kuliko inayoyeyuka katika majira ya joto. Inabashiriwa kuwa hali ikiendelea hivyo, Mlima Kenya hautakuwa na theluji miaka 30 itakayokuja[3][28]. Kupungua kwa barafuto kunasababishwa na kuongezeka kwa halijoto au kubadilika kwa tabia ya usimbishaji.[29] Eneo la barafuto lilipimwa rasmi mara ya kwanza mwaka 1980 na kubainika kuwa ni 0.7 km2 [30].

Majina ya barafuto za Mlima Kenya kwa mzunguko wa akrabu kutoka kaskazini ni ni:

  1. Northey
  1. Krapf
  1. Gregory
  1. Lewis
  1. Diamond
  1. Darwin
  1. Forel
  1. Heim
  1. Tyndall
  1. Cesar
  1. Josef

Miundo ya kingo za barafuto

Jalidi usiku hufanya kuwe na miundo ya kingo za kingo za barafuto. Kuna sentimita chache ardhi jalidi chini ya uso wa ardhi.[11][24] Kupanuka na kupunguka kwa ardhi kwa sababu ya halijoto, hufanya mimea isiweze kumea katika kingo.[19]

Mito

Mlima Kenya ni eneo kuu la vyanzo vya maji vya mito miwili mikubwa nchini Kenya; Mto Tana na Mto Ewaso Ngiro Kaskazini.[6] Mfumo wa ikolojia wa Mlima Kenya hupatia watu zaidi ya milioni 2 maji.[6] Wiani wa vijito ni kubwa hasa katika miteremko ambayo haijawahi kuwa na barafuto.[31] Vijito na mito inayoanza Mlima Kenya humwaga maji ndani ya Mto Sagana, Mto Tana na Mto Ewaso Ngiso Kaskazini moja kwa moja au kupitia mito mingine. [31][32]

Ikolojia

Eneo la Mlima Kenya lina kanda tofauti za kiikolojia. Kila ukanda una sifa zake na spishi kuu ya mimea. Spishi nyingi zinazopatikana katika sehemu zilizo juu ya mlima zinapatikana pia katika maeneo mengine ya mlima na Afrika Mashariki.[13]

Pia kuna tofauti kati ya kanda, kutegemea upande wa mlima na ukali wa mteremko. Kusini mashariki pa mlima ni sehemu nyevu kuliko kaskazini[30] kwa hivyo, spishi nyingi za sehemu hiyo hutegemea unyevu kukua. Baadhi ya spishi, k.v. mianzi, haziwezi kukua katika pande zote za mlima kwa sababu za tofauti za unyevu.[11]

Kanda

Kuna kanda tofauti mimea kuzunguka Mlima Kenya ambayo inatofautiana kulingana na urefu na kipengele.

Tabianchi hubadilika kulingana na mwinuko. Katika kitako cha mlima, udongo una rutuba na hivyo ni mzuri kwa ukulima. Ukulima ulikuwa ukifanyika hapo kwa miaka.[33]

Mlima Kenya umezungukwa na misitu. Uoto katika misitu unategemea kiwango cha mvua, na spishi hutofautiana zaidi kusini na kaskazini mwa mteremko.[7] Misitu katika kitako cha mlima hutishiwa na binadamu wanaokata miti ili watengeneze mbao na wanyakuzi ardhi.[33]

Juu ya misitu ni ukanda wa mianzi asilia. Ukanda huu huzunguka mlima isipokuwa sehemu ya kaskazini ambapo kuna upungufu wa mvua[19]. Ni vigumu kupata spishi nyingine za mimea hapo kwa sababu uoto wa mianzi ni mzito na huzuia mimea mingine kumea.[11]

Msitu wa mpaka wamiti.


Juu ya ukanda wa mianzi ni ukanda wa mpaka wa miti. Miti hapa mara nyingi ni midogo kuliko miti katika misitu ya kitako cha mlima.[34]

Mahali miti haiwezi kuota ni nyika ya mlima, m 3,000. Mimea ya jenasi Erica hupatikana katika sehemu ya magharibi ambayo huwa nyevu. Vichaka na nyasi hupatikana katika sehemu kame ambayo hushuhudia moto wa pori.[19] [33]

Kimo kinapoongezeka, halijoto hupungua zaidi na hewa hupungua, katika ukanda unaojulikana kama Alpi ya Kiafrika. Mazingira ya ukanda huo yanafanana tu na yale ya Safu ya Aberdare. [13] Mimea mingi ya ukanda huo imejirekebisha ili kuweza kukabili halihewa.[35]

Ukanda ulio juu ni ambapo barafuto zimedidimia. Mimea bado haijaweza kuota hapo.[13]

Flora

Mimea kama Dendrosenecio keniodendron hufanya marekebisho ili iweze kuota.

Mimea ya mlima hutofautiana na mwinuko na mwelekeo wa mlima.[36] Mwinuko unapoongezeka, mimea huwa na marekebisho spesheli ili kuhimili jalidi na miale ya urujuanimno.[19][34] Kwa mfano, mimea ya jenasi Carduus, katika ukanda wa alpi ya kiafrika, hutumia majani kulinda jicho la ua kutokana na jalidi.[37][35]

Pimbi huweza kuishi katika maeneo yenye halihewa kali.

Fauna

Wanyama wengi hukaa katika kitako cha mlima penye halianga nzuri kidogo. Spishi za nyani, pimbi wa mitini, ndovu, nungunungu, nyati, fisi, mbuni, duma na simba huishi hapo.[11]  Wanyama mamalia wachache, k.v. Sylvicapra grimmia na pimbi wa miamba wanaweza kuishi katika miinuko ya juu kidogo.[37][13]

Spishi za ndege, k.v. chozi, kwenzi, tai na tumbusi hupatikana katika ukanda wa alpi ya kiafrika. Ndege ni muhimu katika mfumo wa ikolojia hiyo kwa kuwa wao husaidia katika mchavusho.[36]


Tabianchi

Tabianchi ya Mlima Kenya ni ya milima ya ikweta ambayo Hedberg alieleza kuwa ni 'majira ya baridi kila usiku, majira ya joto kila mchana'. [38] Mlima Kenya mojawapo ya vituo vya uchunguzi wa angahewa vya Global Atmospheric Watch.[39]

Misimu

Katika msimu wa joto, asubuhi huwa baridi na bila mawingu. Adhuhuri inapofika, mawingu huziba vilele

Mlima Kenya hushuhudia misimu miwili tofauti, misimu ya joto na misimu ya mvua, kama maeneo mengine ya Kenya.[40] Miteremko ya mashariki kaskazini hupata mvua kubwa zaidi kwa kuwa uko katika upande wa pepo za matlai ambazo huleta mvua kutoka Bahari Hindi. Mvua hii huwezesha msitu uliosongamana katika upande huo. Katika miinuko ya juu, usimbishaji hufanyika kama theluji na kutengeneza barafuto.[41]

Misimu ya Mlima Kenya ni kama ifuatavyo[33]:

Msimu Wakati
Masika Aprili-Juni/Julai
Vuli Oktoba-Disemba
Joto/Kiangazi Disemba/Januari-Februari

na

Julai/Agosti-Septemba

Historia

Ugunduzi wa Wazungu

Joseph Thomson alithibitisha  ugunduzi wa Krapf.

Mlima Kenya ulikuwa kati ya vilele virefu Afrika kuonekana kwa mara ya kwanza na wapelelezi kutoka Ulaya. Wa kwanza kuuona alikuwa Johann Ludwig Krapf, mmisionari Mjerumani[18], tarehe 3 Desemba 1849[7], kutoka Kitui, mji ulio km 160 kutoka mlima[42], baada ya ugunduzi wa Mlima Kilimanjaro.

Krapf aliambiwa na watu wa kabila la Waembu kwamba walikuwa wakiuzunguka mlima lakini hawakuwa wamepaa juu kwa sababu ya baridi na  theluji.[18] Wakikuyu walithibitisha haya yametukia.

Samuel Teleki, Mzungu wa kwanza kuweka mguu juu ya Mlima Kenya.


Krapf pia alibainisha kwamba mito inayotoka Mlima Kenya, na mingine katika eneo la milima, ilikuwa mito ya kudumu. Akagundua kuwa lazima kuna chanzo cha maji mlimani, katika umbo la barafuto.[18] Aliamini ni chanzo cha Nili Nyeupe.[43]

Mwaka 1851 Krapf akarudi Kitui. Yeye alisafiri km 65 karibu na mlima, lakini hakuweza kuuona tena. Mwaka 1877 Hildebrandt alikuwa katika eneo la Kitui na kusikia juu ya mlima, lakini pia hakuweza kuuona, hivyo watu walianza kumtuhumu Krapf.[23]

Hatimaye, mwaka 1883, Joseph Thomson alipita upande wa magharibi wa mlima na Krapf alithibitisha madai yake.[22] Hata hivyo, upelelezi rasmi wa kwanza ulifanyika mwaka 1887 na Samuel Teleki na Ludwig von Höhnel. Waliweza kufika mita 4,350 kwenye mteremko wa kusini magharibi[9]. Katika safari ya upelelezi huo, waliamini kuwa walikuwa wamegundua volkeno.

Mwaka 1892, Teleki na von Höhnel walirudi upande wa mashariki, lakini hawakuweza kupitia msitu.[13]

Hatimaye, mwaka 1893 timu ilisafiri kutoka pwani hadi Ziwa Baringo katika Bonde la Ufa, ikiongozwa na John W. Gregory, mwanajiolojia Mwingereza. Walikwea mlima hadi mita 4,730 na wakakaa masaa kadhaa katika Barafuto ya Lewis. Aliporudi Uingereza, Gregory alichapisha majarida na hadithi ya mafanikio yake.[19] George Kolb, daktari Mjerumani, alifanya safari mwaka 1894 na 1896 [19] na alikuwa wa kwanza kufika nyika ya mlima upande wa mashariki.

Tarehe 28 Julai 1899,[10] Halford John Mackinder aliongoza kundi la wapelelezi 6 kutoka Ulaya, 66 kutoka Uswahilini, Wamaasai 2 na Wakikuyu 96[10]. Walipatana na matatizo mengi njiani[10]. Mackinder aliendelea kupanda mlima. Alikita kambi m 3,142[10]  katika Bonde la Höhnel. Alifanya jaribio la kwanza kufikia kilele tarehe 30 Agosti pamoja na Brocherel na Ollier kupitia upande wa mashariki, lakini wakabakisha kupanda m 100 kutoka Kilele cha Nelion. Tarehe 5 Septemba, Hausberg, Ollier na Brocherel walifanya mzunguko kutafuta njia rahisi ila hawakuweza kupata. Tarehe 11 Septemba Ollier na Brocherel walipanda Barafuto ya Darwin, lakini walilazimishwa kukatiza safari kutokana na dhoruba ya theluji[10].

Wakati Saunders alirudi kutoka Naivasha timu okozi, Mackinder, Ollier na Brocherel walijaribu kupanda kilele tena. Walifika kilele cha Batian saa sita mchana tarehe 13 Septemba, na walishuka kutumia njia ileile[10].

1900-1930

Baada ya ukweaji wa kwanza, hakukuwa na safari nyingi za kukwea mlima. Upelelezi kabla ya Vita ya Kwanza ya Dunia ulikuwa ukifanywa na walowezi nchini Kenya, ambao hawakufanya upelelezi wa kisayansi. Misheni ya Kanisa la Uskoti ilipofunguliwa Chogoria, wamishonari kadhaa walikwea mlima lakini hakuna aliyefanikiwa kufikia vilele vya Batian au Nelion.[19]

Miti ya misitu ilikatwa ili kurahisisha safari ya kufikia vilele. Mwaka 1920, Arthur Fowell Buxton alijaribu kutengeneza njia kutoka kusini, na njia nyingine walikuja kutoka Nanyuki kaskazini, lakini njia iliyotumiwa zaidi ni ile ya Chogoria, kutoka mashariki, iliyotengenezwa na Ernest Carr.[19]

Mwishoni mwa Julai 1930, Shipton na Bill Tilman walikwea vilele vyote. Katika safari hii, Shipton na Tilman walijaribu kukwea vilele vingine, ikiwa ni pamoja na Petro, Dutton, Midget , Pigott na aidha Terere au Sendeyo.[44]

1931 hadi leo

Katika miaka ya 1930 ziara zilifanyika zaidi katika nyika ya mlima. Raymond Hook na Humphrey Slade walikwea ili wachore ramani ya mlima na wakapeleka samaki. Februari mwaka 1938, C Carol na Mtu Muthara wakawa mwanamke wa kwanza na Mwafrika wa kwanza mtawalia kupaa Nelion, katika ziara na Noel Symington, mwandishi wa The Night Climbers of Cambridge,  na tarehe 5 Machi Una Cameron akawa mwanamke wa kwanza kupaa Batian.[19]

Wakati wa Vita Kuu ya Pili ya Dunia ziara za kukwea mlima zilididimia zaidi. Watu maarufu waliokwea katika wakati huo walikuwa wafungwa wa vitani Waitaliano, ambao walikuwa wamefungwa jela Nanyuki. Walitoroka na kupanda mlima kabla ya kurejea kambini.[45]

Mwaka 1949 eneo kupita m 3,400 lilifanywa hifadhi ya kitaifa.[19] Barabara ilijengwa kutoka Naro Moru ili kurahisisha safari ya kufikia nika ya mlima.

Mwaka 1963, katika siku ya uhuru wa Kenya, Kisoi Munayo alikita bendera ya Kenya juu ya mlima. Mwaka 1997, mlima Kenya uliteuliwa kuwa eneo la urithi wa dunia na UNESCO.[15]

Hifadhi ya Taifa ya Mlima Kenya

Hifadhi ya Taifa ya Mlima Kenya, ilianzishwa mwaka 1949. Inahifadhi eneo linalozunguka mlima. Awali ilikuwa hifadhi ya misitu.[46] Tangu Aprili 1978 eneo limeteuliwa kama Hifadhi ya Mazingira ya dunia UNESCO .[47]

Serikali ya Kenya ilikuwa na sababu nne za kuanzisha Hifadhi ya Taifa inayozunguka Mlima Kenya: umuhimu wa utalii kwa uchumi, kuhifadhi eneo la uzuri, kuhifadhi viumbe hai ndani yake, na kuhifadhi vyanzo vya maji vinavyozunguka eneo.[6]

Utamaduni

Makazi ya makabila kabla ya taifa la Kenya.

Makabila makuu wanaoishi kuzunguka Mlima Kenya ni Wakikuyu, Wameru, Waembu na Wamaasai. Hao wote huona mlima huo kama kipengele muhimu cha tamaduni zao.

Wakikuyu

Makabila kadhaa wanaishi katika kitako cha mlima.

Wakikuyu wanaishi kusini na magharibi mwa mlima.[13][48] Wao ni wakulima na hulima katika udongo mwekundu wa volkeno. Wakikuyu waamini kwamba Mungu wao, Ngai  aliishi juu ya Mlima Kenya aliposhuka kutoka mbinguni.[49] Wao wanaamini kuwa mlima ni kiti cha enzi cha Ngai duniani. Ni mahali ambapo Gikuyu, baba wa kabila, alitumia kukutana na Mungu wao, Ngai.[49][28] Jina kwa ajili ya Kikuyu Mlima Kenya ni Kĩrĩnyaga  (Kirinyaga), tafsiri yake ikiwa ni mlima mweupe. Linatokana na weupe wa theluji[50].

Waembu

Waembu wanaishi kusini-mashariki mwa Mlima Kenya,[13] na kuamini kuwa mlima ni nyumba ya Mungu wao, Ngai  au Mwene Njeru. Mlima ni takatifu, na walikuwa wakijenga nyumba zikiwa na milango iliyokuwa ikitazama mlima.[28] Waembu wanauita kiri Njeru, maana yake, mlima mweupe.[19][44][28]

Wamasai

Wamasai ni wahamahamaji ambao walitumia ardhi kaskazini ya mlima kulisha mifugo wao. Wanaamini kuwa mababu zao walishuka kutoka mlima mwanzoni mwa wakati.[28] Wamasai waliuita Ol Donyo Keri, ambalo linamaanisha 'mlima wa bakora au rangi nyingi' kudokeza theluji, misitu na mengineyo vinavyoonekana kutoka tambarare ya kandokando.[51] Sala moja ya Wamasai kuhusu Mlima Kenya:


Mungu bariki watoto wetu, wawe kama mkuyu wa Morintat, wakue na wapanuke, wawe kama Vilima vya Ngong, kama Mlima Kenya, kama Mlima Kilimanjaro na waongezeke. (tafsiri)

Ilikusanywa na Francis Sakuda wa Makumbusho ya Amani ya Oloshoibor[51]

Wameru

Wameru wanaishi Mashariki na Kaskazini mwa mlima. Walilima na kufuga katika sehemu yenye rutuba nyingi nchini Kenya. Jina la Mt. Kenya kwa Kimeru ni Kirimara (kutokana na weupe wa theluji).[52]

Makabila mengine

Wazungu wa kwanza kutembelea Mlima Kenya mara nyingi walileta wajumbe wa makabila mengine kama marafiki na mabawabu. Wengi wao hawakuwa na uzoefu wa baridi, au kuwahi kuona theluji. Maitikio yao mara nyingi zilikuwa za woga na tuhuma.

Sifa nyingine ya wazanzibari ilionekana katika kambi ile ile. Asubuhi ilipofika, waume walikuja kuniarifu kwamba maji yale waliokuwa wamewacha ndani ya vyungu yalikuwa yamerogwa. Walisema kuwa ni meupe, na hayatikisiki; Fundi, aliyejulikana kuwa mwenye kuthubutu, alikuwa ameyagonga kwa kijiti na hayakutoka. Walinirai niyaangalie, nikawaambia wayaniletee. Wakakataa, hata hivyo, ili kuyagusa, wakanirai niende yalipokuwa. Kwa kweli, maji yalikuwa yameganda. Niliweka chungu juu ya jiko, nikatabiri kuwa yangegeuka kuwa maji tena. Tuliokuwa nao wakakaa karibu na kuyatazama; yalipoyeyuka, waliniambia kwa furaha kuwa shetani alikuwa amefukuzwa, na nikawaambia kuwa wangeweza kuyatumia maji tena; lakini punde nilipogeuka, waliyamwaga na kuchota mengine kutoka mto uliokuwa karibu. (tafsiri)

J W Gregory, The Great Rift Valley[23]

Ziara yake ya mwaka 1899, Mackinder alipatana na baadhi ya wanaume kutoka kabila la Wadorobo.[13]

Ukweaji mlima

Njia za kukwea

Kuna njia nane za kutembea zinazoelekea kwenye kilele cha juu. Ni, kwa mzunguko wa akrabu, kutoka kaskazini, njia za Meru, Chogoria, Kamweti, Naro Moru, Burguret, Sirimon na Timau[11]. Pia kuna njia inayozunguka vilele inayotumiwa kuunganisha njia tofauti. [53] Kati ya hizi, Chogoria, Naro Moru na Sirimon ndio hutumika zaidi na zina malango. Njia nyingine zinahitaji idhini maalum kutoka kwa Huduma ya Wanyamapori Kenya ili kuzitumia.

Tazama pia

Vitabu kuhusu Mlima Kenya

  • Sir Halford Mackinder, The First ujio wa Mlima Kenya  [KM Barbour, ed.], (London, 1991); hadithi ya ujio wa kwanza Batian, pamoja Mackinder's diary na baadhi ya Expedition's picha. Barbour discusses sababu Mackinder, ambaye aliandika na kuchapisha vitabu vingine, hawakuwa kuchapisha maelezo ya akaunti ya Expedition.[54]


  • Dutton EAT, Kenya Mountain (London, 1929); akaunti ya Expedition Mlima Kenya mwaka 1926; illustreras.[7]


  • Vivienne de Watteville, Mwambie Dunia - kuzunguka na Reflections kati Tembo na Milima  (London & New York, 1935); akaunti ya mwandishi wa ugenini katika kibanda kidogo katika kanda ya Ziwa na Ellis explorations yake ya Gorges Valley; illustreras .[55]


  • HW Tilman, theluji juu ya Ikweta  (London, 1937); akaunti ya ujio wa kwanza (na Shipton) ya NW ridge na Nelion; illustreras.[56]


  • Eric Shipton, juu ya kwamba Mlima,  (London, 1943); akaunti ya ujio wa kwanza (na Tilman) ya NW ridge na Nelion; illustreras.[57]


  • Felice Benuzzi, Fuga sul Kenya  (Milano 1947) / No picnic juu ya Mlima Kenya (London, 1952); a mountaineering classic, kuhusu wafungwa wa kivita tatu ambao kutoroka kutoka gerezani kambi yao mwaka 1943, hupanda mlima na sparse mgawo, improvised vifaa na hakuna ramani, na kisha kuvunja kurejea katika  kambi yao gerezani.[45]


  • Roland Truffaut, Du Kenya au wa Kilimanjaro  (Paris 1953) / Kutoka Kenya kwa Kilimanjaro (London, 1957); 1952 akaunti ya ujio wa Kifaransa N. uso wa Mt Kenya; illustreras.[58]


  • I. Allan, Guide to Mlima Kenya  (1981; 1991; wengi updates); mamlaka ya kuongoza kwa njia ya peaks.[19]


  • Hamish MacInnes, bei ya Adventure,  (London, 1987); inajumuisha hadithi ya wiki-mrefu uokozi wa Gerd Judmeier baada yake kuanguka karibu na kilele cha Batian mapema katika miaka ya 1970.[59]


  • I. Allan, C. Kata, G. Boy, Snowcaps juu ya Ikweta  (London, 1989); historia ya Afrika Mashariki milima na ascents yao, ikiwemo ya hivi karibuni zaidi pioneered njia; illustreras.[60]


  • Yohana Msomaji, Mlima Kenya  (London, 1989); akaunti ya ujio wa Nelion, pamoja na Iain Allan kama mwongozo; illustreras.[61]


  • M. Amin, D. Willetts, B. Tetley, On Mungu Mountain: The Story wa Mlima Kenya  (London, 1991). A photographic maadhimisho ya mlima.[62]






Tanbihi

  1. "The vanishing snow of Mount Kenya", Daily Nation (kwa en-UK), iliwekwa mnamo 2018-09-13 
  2. "The vanishing  glaciers of Mount Kenya", The East African (kwa en-UK), iliwekwa mnamo 2018-09-13 
  3. 3.0 3.1 3.2 "Dying gods: Mt Kenya's disappearing glaciers spread violence below", Climate Home News (kwa en-GB), 2017-08-02, iliwekwa mnamo 2018-09-13 
  4. Philippe Nonnotte. "Étude volcano-tectonique de la zone de divergence Nord-Tanzanienne (terminaison sud du rift kenyan) - Caractérisation pétrologique et géochimique du volcanisme récent (8 Ma – Actuel) et du manteau source - Contraintes de mise en place thèse de doctorat de l'université de Bretagne occidentale, spécialité : géosciences marines". 
  5. Gregory, J. W. (1894-02-01). "Contributions to the Geology of British East Africa.—Part I. The Glacial Geology of Mount Kenya". Quarterly Journal of the Geological Society (kwa Kiingereza) 50 (1-4): 515–530. ISSN 0370-291X. doi:10.1144/GSL.JGS.1894.050.01-04.36. 
  6. 6.0 6.1 6.2 6.3 6.4 Gichuki, Francis Ndegwa (Agosti 1999). "Threats and Opportunities for Mountain Area Development in Kenya". Ambio (Royal Swedish Academy of Sciences) 28 (5): 430–435.  Hitilafu ya kutaja: Invalid <ref> tag; name "development" defined multiple times with different content
  7. 7.0 7.1 7.2 7.3 7.4 Dutton, E.A.T. (1929). Kenya Mountain. London: Jonathan Cape. 
  8. Gregory, J. W. (John Walter) (1896). The Great Rift Valley : being the narrative of a journey to Mount Kenya and Lake Baringo : with some account of the geology, natural history, anthropology and future prospects of British East Africa. Smithsonian Libraries. London : J. Murray. 
  9. 9.0 9.1 Höhnel, Ludwig; Teleki, Samuel; Bell, Nancy R. E. Meugens (1894). Discovery of lakes Rudolf and Stefanie; a narrative of Count Samuel Teleki's exploring & hunting expedition in eastern equatorial Africa in 1887 & 1888. Smithsonian Libraries. London, Longmans, Green and Co. 
  10. 10.0 10.1 10.2 10.3 10.4 10.5 10.6 Mackinder, H. J. (1900). "A Journey to the Summit of Mount Kenya, British East Africa". The Geographical Journal 15 (5): 453–476. doi:10.2307/1774261. 
  11. 11.00 11.01 11.02 11.03 11.04 11.05 11.06 11.07 11.08 11.09 EWP (2007). Mount Kenya Map and Guide [map], 4th edition, 1:50,000 with 1:25,000 inset, EWP Map Guides. Cartography by EWP. ISBN 9780906227961.
  12. 12.0 12.1 D., Resnick, Michael (1998). Kirinyaga : a fable of Utopia (toleo la 1st ed). New York: Ballantine Pub. Group. ISBN 0345417011. OCLC 37843815. 
  13. 13.00 13.01 13.02 13.03 13.04 13.05 13.06 13.07 13.08 13.09 Coe, Malcolm James (1967). The Ecology of the Alpine Zone of Mount Kenya. The Hague: Dr W. Junk. 
  14. "World Heritage Nomination - IUCN Technical Evaluation Mount Kenya (Kenya)". 
  15. 15.0 15.1 United Nations (2008). "Mount Kenya National Park/Natural Forest". Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2006-12-30. Iliwekwa mnamo 2008-02-23.  Hitilafu ya kutaja: Invalid <ref> tag; name "unesco" defined multiple times with different content
  16. Krapf, Johann Ludwig (13 Mei 1850). "Extract from Krapf's diary". Church Missionary Intelligencer i: 452. 
  17. Foottit, Claire (2006) [2004]. Kenya. The Brade Travel Guide. Bradt Travel Guides Ltd. ISBN 1-84162-066-1. 
  18. 18.0 18.1 18.2 18.3 Krapf, Johann Ludwig (1860). Travels, Researches, and Missionary Labours in Eastern Africa. London: Frank Cass & Co. Ltd. 
  19. 19.00 19.01 19.02 19.03 19.04 19.05 19.06 19.07 19.08 19.09 19.10 19.11 19.12 Allan, Iain (1981). The Mountain Club of Kenya Guide to Mount Kenya and Kilimanjaro. Nairobi: Mountain Club of Kenya. ISBN 978-9966985606. 
  20. 20.0 20.1 20.2 20.3 Baker, B. H. (1967). Geology of the Mount Kenya Area. Geological Survey of Kenya. Ministry of Natural Resources. 
  21. 21.0 21.1 Gregory, J. W. (1900). "Contributions to the Geology of British East Africa.-Part II. The Geology of Mount Kenya". Quarterly Journal of the Geological Society 56: 205–222. 
  22. 22.0 22.1 Thomson, Joseph (1968). Through Masai Land (toleo la 3). London: Frank Cass & Co Ltd.  Unknown parameter |origdate= ignored (|orig-year= suggested) (help)
  23. 23.0 23.1 23.2 23.3 Gregory, John Walter (1968). The Great Rift Valley. London: Frank Cass & Co. Ltd.  Unknown parameter |origdate= ignored (|orig-year= suggested) (help)
  24. 24.0 24.1 24.2 [112]
  25. Speck, Heinrich (1982). "Soils of the Mount Kenya Area: Their formation, ecology, and agricultural significance". Mountain Research and Development 2 (2): 201–221. doi:10.2307/3672965. Iliwekwa mnamo 2007-06-21. 
  26. Mountain Club. "Mountain Club of Kenya Homepage". Iliwekwa mnamo 2007-05-26. 
  27. Recession ya Ikweta Glaciers. A Photo Documentation,  Hastenrath, S., 2008, Sundog Publishing, Madison, WI, ISBN 978-0-9729033-3-2, 144 pp.
  28. 28.0 28.1 28.2 28.3 28.4 Kenya Wildlife Service (2006), Mount Kenya Official Guidebook, Kenya Wildlife Service
  29. Benn, Doug (1997). Glaciers and Glaciation. Arnold. ISBN 978-0340584316.  More than one of |last1= na |last= specified (help); More than one of |first1= na |first= specified (help)
  30. 30.0 30.1 Karlén, Wibjörn; James L Fastook, Karin Holmgren, Maria Malmström, John A Matthews, Eric Odada, Jan Risberg, Gunhild Rosqvist, Per Sandgren, Aldo Shemesh and Lars-Ove Westerberg (Agosti 1999). "Glacier Fluctuations on Mount Kenya since ~6000 Cal. Years BP: Implications for Holocene Climate Change in Africa". Ambio (Royal Swedish Academy of Sciences) 28 (5): 409–418. 
  31. 31.0 31.1 Edward Stanford Ltd (1966). Geological Map of the Mount Kenya Area [map], 1st edition, 1:125000, Geological Survey of Kenya. Cartography by B. H. Baker, Geological Survey of Kenya.
  32. Andrew Wielochowski and Mark Savage (1991). Mt Kenya 1:50000 Map and Guide [map], 1 edition, 1:50000 with 1:25000 inset. Cartography by West Col Productions. ISBN 0-906227-39-9.
  33. 33.0 33.1 33.2 33.3 Castro, Alfonso Peter (1995). Facing Kirinyaga. London: Intermediate Technology Publications Ltd. ISBN 1-85339-253-7. 
  34. 34.0 34.1 Niemelä, Tuomo; Petri Pellikka (2004). "Zonation and characteristics of the vegetation of Mt. Kenya". Expedition reports of the Department of Geography, University of Helsinki 40: 14–20. ISBN 952-10-2077-6. 
  35. 35.0 35.1 Beck, Erwin; Ernst-Detlef Schulze, Margot Senser and Renate Scheibe (1984). "Equilibrium freezing of leaf water and extracellular ice formation in Afroalpine 'giant rosette' plants". Planta 162: 276–282. doi:10.1007/BF00397450. 
  36. 36.0 36.1 Smith, Alan P.; Truman P. Young (1987). "Tropical Alpine Plant Ecology". Annual Review of Ecology and Systematics 18: 137–158. doi:10.1146/annurev.es.18.110187.001033. 
  37. 37.0 37.1 Young, Truman P.; Mary M. Peacock (1992). "Giant senecios and alpine vegetation of Mount Kenya". Journal of Ecology 80: 141–148. 
  38. Hedberg, O. (1969). "Evolution and speciation in a tropical high mountain flora". Biological Journal of the Linnean Society 1: 135–148. doi:10.1111/j.1095-8312.1969.tb01816.x. 
  39. Henne, Stephan; Wolfgang Junkermann, Josiah M. Kariuki, John Aseyo and Jörg Klausen (Novemba 2008). "Mount Kenya Global Atmosphere Watch Station (MKN): Installation and Meteorological Characterization". Journal of Applied Meteorology and Climatology 47 (11): 2946–2962. 
  40. Thompson, B. W. (1966). "The mean annual rainfall of Mount Kenya". Weather 21: 48–49. 
  41. Spink, Lieut.-Commander P. C. (1945). "Further Notes on the Kibo Inner Crater and Glaciers of Kilimanjaro and Mount Kenya". Geographical Journal (The Royal Geographical Society) 106 (5/6): 210–216. 
  42. Rough Guide (2006). Rough Guide Map Kenya [map], 9 edition, 1:900,000, Rough Guide Map. Cartography by World Mapping Project. ISBN 1-84353-359-6.
  43. Krapf, Johann Ludwig (13 Mei 1850). "Extract from Krapf's diary". Church Missionary Intelligencer i: 345. 
  44. 44.0 44.1 Burns, Cameron (1998). Kilimanjaro & Mount Kenya; A Climbing and Trekking Guide. Leicester: Cordee. ISBN 1-871890-98-5. 
  45. 45.0 45.1 Benuzzi, Felice (2005). No Picnic on Mount Kenya: A Daring Escape, a Perilous Climb.  : The Lyons Press. ISBN 978-1592287246.  Unknown parameter |origdate= ignored (|orig-year= suggested) (help)
  46. Kenya Wildlife Service (2007). "Mount Kenya National Park". Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2007-06-22. Iliwekwa mnamo 2008-02-23. 
  47. United Nations Environment Programme (1998). "Protected Areas and World Heritage". Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2007-02-12. Iliwekwa mnamo 2008-02-23. 
  48. Richards, Charles; James Place (1960). East African Explorers. London: Oxford University Press. 
  49. 49.0 49.1 Kenyatta, Jomo (2011-04-05). Facing Mount Kenya (kwa Kiingereza). Penguin Random House. ISBN 9781846555527. 
  50. Karangi, Matthew (2013-01-01). "The gĩkũyũ religion and philosophy: A tool for understanding the current religio-political debates in Kenya" 108. ku. 612–622. 
  51. 51.0 51.1 Somjee, Sultan (2000). "Oral Traditions and Material Culture: An East Africa Experience". Research in African Literatures 31 (4): 97–103. doi:10.2979/RAL.2000.31.4.97. Iliwekwa mnamo 2008-02-21. 
  52. Fadiman, Jeffrey A. (1994). When We Began There Were Witchmen. Berkeley: University of California Press. ISBN 0-520-08615-5. Iliwekwa mnamo 2009-05-14. 
  53. "Mount Kenya - Introduction and Trekking Guide". 2007-12-17. Iliwekwa mnamo 2018-09-16. 
  54. Mackinder, Halford John; Kenneth Michael Barbour (1991). The First Ascent of Mount Kenya. Ohio University Press. uk. 287. ISBN 1850651027. 
  55. de Watteville, Vivienne (1986) [1935]. Speak to the Earth - Wanderings and Reflections among Elephants and Mountains (toleo la 2). Methuen. uk. 329. ISBN 0413602702. 
  56. Tilman, H. W. (1938). Snow on the Equator. The Macmillan Company. uk. 265. 
  57. Shipton, Eric (1945). Upon that Mountain. Readers Union. uk. 248. 
  58. Truffaut, Roland (1953). Du Kenya au Kilimanjaro: expédition française au Kenya (kwa French). Paris: Julliard. uk. 251. 
  59. MacInnes, Hamish (1987). The Price of Adventure. London: Hodder & Stoughton. ISBN 0340263237. 
  60. Ward, Clive; Gordon Boy, Iain Allan (1988). Snowcaps on the Equator: The Fabled Mountains of Kenya, Tanzania, Uganda and Zaire. Bodley Head. uk. 192. ISBN 0370311264. 
  61. Reader, John (1989). Mount Kenya. London: Elm Tree Books. ISBN 0-241-12486-7. 
  62. Amin, Mohamed; Duncan Willetts, Brian Tetley (1991). On God's Mountain: The Story of Mount Kenya. Moorland. uk. 192. 
  63. Kenyatta, Jomo (1961). Facing Mount Kenya. London: Secker and Warburg. 

Viungo vya nje

Wikimedia Commons ina media kuhusu: