Ritifaa : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
No edit summary
No edit summary
Mstari 1: Mstari 1:
[[Picha:Apostrophe.svg|thumb|Apostrofi au ritifaa]]
'''Ritifaa''' (kutoka [[neno]] la [[Kiarabu]]; kwa [[Kiingereza]]: "apostrophe", kutoka [[Kigiriki]] ἀποστροφή, apostrofee, "ondoleo") ni [[alama]] ya [[uakifishaji]] inayoandikwa '.
'''Ritifaa''' (kutoka [[neno]] la [[Kiarabu]]), pia '''apostrofi''' (kwa [[Kiingereza]]: "apostrophe", kutoka [[Kigiriki]] ἀποστροφή, apostrofee, "ondoleo") ni [[alama ya uakifishaji]] inayoandikwa '.

Umbo lake ni sawa na [[mkato]] lakini inakaa juu ya mstari.


Alama hiyo inaonyesha pengine kwamba [[herufi]] au [[silabi]] imeanguka au kupunguzwa, kwa mfano katika [[shairi]], lakini katika herufi "ng'" inatofautisha [[fonimu]] husika na nyingine inayofanana (ng).
Alama hiyo inaonyesha pengine kwamba [[herufi]] au [[silabi]] imeanguka au kupunguzwa, kwa mfano katika [[shairi]], lakini katika herufi "ng'" inatofautisha [[fonimu]] husika na nyingine inayofanana (ng).

Pitio la 19:20, 14 Septemba 2018

Apostrofi au ritifaa

Ritifaa (kutoka neno la Kiarabu), pia apostrofi (kwa Kiingereza: "apostrophe", kutoka Kigiriki ἀποστροφή, apostrofee, "ondoleo") ni alama ya uakifishaji inayoandikwa '.

Umbo lake ni sawa na mkato lakini inakaa juu ya mstari.

Alama hiyo inaonyesha pengine kwamba herufi au silabi imeanguka au kupunguzwa, kwa mfano katika shairi, lakini katika herufi "ng'" inatofautisha fonimu husika na nyingine inayofanana (ng).

Ritifaa ni pia tamathali ambayo msemaji anajifanya kama kwamba anaongea na kitu au kiumbe asiye hai ingawa anajua vizuri kuwa hawezi kusikiwa.

Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Ritifaa kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.