Lilian Makoi ni mwanamke wa kitanzania, mshindi wa tuzo nyingi katika utaalamu wa fedha na tarakimu[1].Lilian anafanya sana kazi ya kuleta mabadiliko katika jamii kupitia ubunifu wa mifumo hasa ya kiteknolojia.Moja ya hii mifumo ni Jamii Africa[2]