Fomula : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika 'Katika hisabati au sayansi '''fomula''' ni kanuni iliyoandikwa katika alama za kialjebra. Fomula kutumia herufi badala ya maneno. Mfano rahisi wa f...'
 
masahihisho na nyongeza
Mstari 1: Mstari 1:
Katika hisabati au sayansi '''fomula''' ni kanuni iliyoandikwa katika alama za ki[[aljebra]].
Katika hisabati au sayansi '''fomula''' ni kanuni iliyoandikwa katika alama za ki[[aljebra]].
Fomula kutumia [[herufi]] badala ya ma[[neno]]. Mfano rahisi wa formula ni y = x. Ikiwa x = 1, fomula y = x ingeweza kutoa taarifa kwamba x ni sawa na y, kwa hiyo, y = 1. Njia inayojulikana zaidi ni fomula ya [[nishati]], e = mc2 , iliyoundwa na [[Albert Einstein]]. e inawakilisha [[nishati]], m inawakilisha uzito na c ni kasi ya [[mwanga]]. Hivyo, nishati = uzito× kasi ya mwanga mraba.


Fomula hutumia [[herufi]] au alama za pekee (kama [[π]]) badala ya [[neno|maneno]]. Mfano rahisi wa formula ni y = x. Ikiwa x = 1, fomula y = x ingeweza kutoa taarifa kwamba x ni sawa na y, kwa hiyo, y = 1.
{{mbegu-hisabati}}

*[[Fomula za hisabati]]: Fomula mashuhuri katika hisabati ni [[uhakiki wa Pythagoras]] '''a<sup>2</sup> + b<sup>2</sup>=c<sup>2</sup>''' inayomaanisha ya kwamba kwenye [[pembetatu mraba]] jumla ya miraba juu ya miguu inayokutana kwenye [[pembemraba]] ''(cathetus)'' ni sawa na mraba juu ya kiegema (''hypotenuse'', upande usiounganishwa na [[pembemraba]]).

*[[Fomula za fizikia]]: Fomula mashuhuri katika fizikia ni fomula ya [[nishati]], '''e = mc<sup>2</sup>''' , iliyoundwa na [[Albert Einstein]]. e inawakilisha [[nishati]], m inawakilisha uzito na c ni kasi ya [[mwanga]]. Hivyo, nishati = uzito× kasi ya mwanga mraba.

*[[Fomula za kemia]] hueleza uhusiano baina [[elementi]] ndani ya [[molekuli]]. Fomula mashuhuri ya kemia ni '''H<sub>2</sub>O''' kwa maji: [[atomi]] 2 za [[hidrojeni]] pamoja na atomi 1 ya [[oksijeni]] huunda [[molekuli]] 1 ya [[maji]]

[[Jamii:Hisabati]]
[[Jamii:Kemia]]

Pitio la 18:15, 25 Agosti 2018

Katika hisabati au sayansi fomula ni kanuni iliyoandikwa katika alama za kialjebra.

Fomula hutumia herufi au alama za pekee (kama π) badala ya maneno. Mfano rahisi wa formula ni y = x. Ikiwa x = 1, fomula y = x ingeweza kutoa taarifa kwamba x ni sawa na y, kwa hiyo, y = 1.