Mkoa wa Haut-Ogooué : Tofauti kati ya masahihisho
d Bot: Migrating 25 interwiki links, now provided by Wikidata on d:q654438 (translate me) |
svg version (GlobalReplace v0.6.5) |
||
Mstari 1: | Mstari 1: | ||
[[Image:Gabon Haut- |
[[Image:Gabon - Haut-Ogooué.svg|right|175px|Haut-Ogooué Province]] |
||
'''Haut-Ogooué''' ni moja kati ya [[Mikoa ya Gabon|mikoa]] tisa nchini [[Gabon]]. Mkoa umepewa jina baada ya [[Mto Ogooué]]. Mkoa umechukua eneo la kilomita za mraba zipatazo 36,547. Mji mkuu wa mkoa huu ni [[Franceville]]. Miongoni mwa viwanda vyake vikubwa ni pamoja na machimbo ya madini, pamoja na [[manganisi]], [[dhahabu]] na [[urani]] nazo zinapatikana kwenye mkoa huu. Hapa ni nyumbani pa kihistoria kwa tamaduni tatu, kina [[Obamba]], [[Ndzabi]] na [[Téké]]. Kama jinsi ilivyo mikoa mingi katika Afrika, matumizi mengi ya jadi katika ardhi yametupiliwa mbali na kukaribisha ujenzi wa miji mikubwa vijijini.<ref>[http://www.masuku.org/HO.html matumizi mengi ya jadi katika ardhi yametupiliwa mbali na kukaribisha ujenzi wa miji mikubwa vijijini]</ref> Mnamo mwezi wa Agosti 2006, klabu yake [[soka]] imeshinda [[Kombe la Uhuru la Gabon]].<ref>[http://www.panapress.com/newslatf.asp?code=eng001452&dte=17/08/2006 Pan Express Yanyakua Kombe la Uhuru la Gabon]</ref> |
'''Haut-Ogooué''' ni moja kati ya [[Mikoa ya Gabon|mikoa]] tisa nchini [[Gabon]]. Mkoa umepewa jina baada ya [[Mto Ogooué]]. Mkoa umechukua eneo la kilomita za mraba zipatazo 36,547. Mji mkuu wa mkoa huu ni [[Franceville]]. Miongoni mwa viwanda vyake vikubwa ni pamoja na machimbo ya madini, pamoja na [[manganisi]], [[dhahabu]] na [[urani]] nazo zinapatikana kwenye mkoa huu. Hapa ni nyumbani pa kihistoria kwa tamaduni tatu, kina [[Obamba]], [[Ndzabi]] na [[Téké]]. Kama jinsi ilivyo mikoa mingi katika Afrika, matumizi mengi ya jadi katika ardhi yametupiliwa mbali na kukaribisha ujenzi wa miji mikubwa vijijini.<ref>[http://www.masuku.org/HO.html matumizi mengi ya jadi katika ardhi yametupiliwa mbali na kukaribisha ujenzi wa miji mikubwa vijijini]</ref> Mnamo mwezi wa Agosti 2006, klabu yake [[soka]] imeshinda [[Kombe la Uhuru la Gabon]].<ref>[http://www.panapress.com/newslatf.asp?code=eng001452&dte=17/08/2006 Pan Express Yanyakua Kombe la Uhuru la Gabon]</ref> |
||
Pitio la 20:20, 20 Agosti 2018
Haut-Ogooué ni moja kati ya mikoa tisa nchini Gabon. Mkoa umepewa jina baada ya Mto Ogooué. Mkoa umechukua eneo la kilomita za mraba zipatazo 36,547. Mji mkuu wa mkoa huu ni Franceville. Miongoni mwa viwanda vyake vikubwa ni pamoja na machimbo ya madini, pamoja na manganisi, dhahabu na urani nazo zinapatikana kwenye mkoa huu. Hapa ni nyumbani pa kihistoria kwa tamaduni tatu, kina Obamba, Ndzabi na Téké. Kama jinsi ilivyo mikoa mingi katika Afrika, matumizi mengi ya jadi katika ardhi yametupiliwa mbali na kukaribisha ujenzi wa miji mikubwa vijijini.[1] Mnamo mwezi wa Agosti 2006, klabu yake soka imeshinda Kombe la Uhuru la Gabon.[2]
Kwa upande wa kaskazini-mashariki, mashariki, na kusini, Haut-Ogooué imepakana na mikoa kadhaa ya Jamhuri ya Kongo:
- Cuvette-Ouest - kaskazini-mashariki
- Cuvette - mashariki
- Plateaux - kusini-mashariki
- Lékoumou - kusini
- Niari - kusini-magharibi
Kwa nyumbani, mkoa umepakana na mikoa ifuatayo:
- Ogooué-Lolo - magharibi
- Ogooué-Ivindo - kaskazini
Departments
Haut-Ogooué imegawanyika katika departments 8:
- Djoue Department (Onga)
- Djououri-Aguilli Department (Bongoville)
- Lekoni-Lekori Department (Akieni)
- Lekoko Department (Bakoumba)
- Lemboumbi-Leyou Department (Moanda)
- Mpassa Department (Franceville)
- Plateaux Department (Leconi)
- Sebe-Brikolo Department (Okondja)
Marejeo
1°38′S 13°35′E / 1.633°S 13.583°E
Makala hii kuhusu maeneo ya Gabon bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkoa wa Haut-Ogooué kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |